Lilian Lema amesomeshwa shule za gharama ila anaumiza sana wazazi

Lilian Lema amesomeshwa shule za gharama ila anaumiza sana wazazi

Watu wamemjua huyu dogo juzi. Huyu dogo yupo mjini toka enzi za ud finest huko, 2016-2017.
Alishakuwaga fema huyu, baadae akawa sos diplomats na sehemu mbali mbali, hizo podcasts ni za juzi juzi tu. ajira kitu kigumu.
Alishasumbuwa huko nyuma huyu mtoto. Vijana wa 5 years ago ndio tunadunda Maisha club millenium tower. Ndioa maana kapauka.
Kwahiyo vijana wasasa msimuongelee sana. Hamumjui huyo. Alikua kisu ud and smart.
 
That's a right to self determination.

Hata ikiwa timu upinde, kama mtu kaamua kuwa timu upinde ni haki yake, hutakiwi kumlazimisha asiwe timu upinde wakati yeye ndiye kaamua kuwa hivyo.

Kama ambavyo yeye naye pia hatakiwi kukulazimisha ujiunge timu upinde kama wewe hupendo timu upinde.

Au unataka kuishi katika dunia ambayo mtu anaweza kukulazimisha uwe timu upinde hata kama wewe hupendi?
Huwa unanikoshaa sanaa na michango yakoo, [emoji122][emoji122][emoji122]
Umemaliza kila kitu.
 
matangazo ya biashara yana codes nyingi nimependa hizo lips za binti msomi mwenye namba yake naomba tafadhali
 
Huwa unanikoshaa sanaa na michango yakoo, [emoji122][emoji122][emoji122]
Umemaliza kila kitu.
Asante.

Wachangiaji wengi kwenye mada hizi na Watanzania kiujumla hawaelewi mambo ya msingi kabisa kwenye habari za uhuru binafsi wa mtu kujiamulia maisha yake anavyotaka mwenyewe.

Wamezoea maisha ya kupangiana.

Na hata huko kupangiana, mara nyingi ni wao kuwapangia wengine, wakipangiwa wao wasivyotaka mgogoro.
 
Mpe ajira..ni vile hizi nchi zetu watu wengi wamekariri, unadhani ingekua ulaya awe na ofisi ya consultation, gharama ya kumlipa kwa huduma kama hiyo watu wangeweza?

Nadhani ifike mahali mtu afanye kile awezacho for living as far as asivunje sheria za nchi.

Ambacho wengi hatujui ni kua wanawake na wanaume wengi wa kisasa ni weupe sana idara hiyo,ni vile tu haya mambo kwa tamaduni na maisha yetu yaliyojaa ku pretend na ku fake hatuongei kwa uwazi ila kuna uhitaji mkubwa wa waelimishaji wa eneo hilo,

may be ungesema njia anayotumia sio atumie njia ipi? Ila hata hapa soma tu maoni ya wadau utaona somo lake ni la muhimu sana ila labda jamii anayoipa darsa ndio haijazoea black and white.
 
That's a right to self determination.

Hata ikiwa timu upinde, kama mtu kaamua kuwa timu upinde ni haki yake, hutakiwi kumlazimisha asiwe timu upinde wakati yeye ndiye kaamua kuwa hivyo.

Kama ambavyo yeye naye pia hatakiwi kukulazimisha ujiunge timu upinde kama wewe hupendi timu upinde.

Au unataka kuishi katika dunia ambayo mtu anaweza kukulazimisha uwe timu upinde hata kama wewe hupendi?
Yani kutatuliwa linda ni haki ya mtu? 😂😂😂

We ni hasara kwa taifa.
 
Utakuta ukungwi unamlipa balaa, kuna yule video vixen wa ameloa....nae kungwi, ana group lina watu kama 300 hivi na ada kila mwezi kila mtu analipa 2000, kwa chap ni laki 6 hiyo mishahara ya mtu.

Nadhani kachangamkia fursa
 
Yani kutatuliwa linda ni haki ya mtu? 😂😂😂

We ni hasara kwa taifa.
Sasa kama mwenyewe kapenda, marinda yake, kaamua yatatuliwe kwa hiyari yake, wewe kinachokuuma hasa ni kipi?

Wewe ni nani umkatalie asitatuliwe anavyotaka?

Unamuonea wivu unataka utatuliwe wewe?

Hasara kwa taifa ni wewe kufuatilia maisha ya watu wasiokuhusu bila sababu wala tija.
 
Utakuta ukungwi unamlipa balaa, kuna yule video vixen wa ameloa....nae kungwi, ana group lina watu kama 300 hivi na ada kila mwezi kila mtu analipa 2000, kwa chap ni laki 6 hiyo mishahara ya mtu.

Nadhani kachangamkia fursa
Watanzania wengi wanaoshikia bango kuyasema vibaya haya mambo ni wanafiki tu.

Wengine ndio hao hao wanachama, wakija hapa wanasagia.
 
Habari wadau.

Huna binti anatred sana mtandaoni huyo hapo kwenye picha anaitwa LILIAN LEMA.

Huyu binti ana elimu nzuri tu na ana degree ya uchumi kutoka chuo kikuu cha taifa udsm

Huyu binti hajasoma kayumba toka shule ya msingi ni shule za ada kubwa maarufu kama english medium.

Baada ya kumaliza chuo kajiajiri kama kungwi mtandaoni anafundisha watu jinsi ya kupigana miti.

Imagine mzazi Mtu anapata mshahara wa 1 M kwa mwezi halafu analazimisha kulipa ada ya mtoto 3-4M kwa mwaka, huku pato lake kwa mwaka likienda 12M kabla ya kutoa kodi na matakataka mengine anajikuta zaidi ya 40% ya pato lake kwa mwaka analitumia kulipa ada, halafu baada ya kumaliza chuo mwanae huyo anaishia kuwa kungwi mtandaoni hapa ni lazima afe kwa msongo wa mawazo

Hili ni somo kubwa sana kwamba hichi kizazi cha kisasa Kuliko usomeshe mtoto shule za gharama kwa kujinyima sana bora asome shule za kawaida tu. Maana ajira za maana hakuna. Hata angesoma shule za serikali ukungwi angeumudu tu
Unaweza kuta alisha andika na bandiko hapa la kuomba ajira ila ndo hivyo tena mkampa kashfa na maneno ya dharau kaona bora aonyeshe kile wajinga wengi wa Tanzania wanapenda kuona na kusikia.
 
kusoma ni kuelimika na kukusaidia kujitegemea kwa maisha ya badae.
dada wa watu ameamua kujiajiri, mwache afanye anachotaka.

huu ndo ubunifu wa kisomi,
badala ya wale makungwi wa zamani somo lilikuwa linafanyikia uswahili kwenye nyumba inayovuja maji ya mvua. huyu kaamua kuboresha biashara yake.
 
Habari wadau.

Huna binti anatred sana mtandaoni huyo hapo kwenye picha anaitwa LILIAN LEMA.

Huyu binti ana elimu nzuri tu na ana degree ya uchumi kutoka chuo kikuu cha taifa udsm

Huyu binti hajasoma kayumba toka shule ya msingi ni shule za ada kubwa maarufu kama english medium.

Baada ya kumaliza chuo kajiajiri kama kungwi mtandaoni anafundisha watu jinsi ya kupigana miti.

Imagine mzazi Mtu anapata mshahara wa 1 M kwa mwezi halafu analazimisha kulipa ada ya mtoto 3-4M kwa mwaka, huku pato lake kwa mwaka likienda 12M kabla ya kutoa kodi na matakataka mengine anajikuta zaidi ya 40% ya pato lake kwa mwaka analitumia kulipa ada, halafu baada ya kumaliza chuo mwanae huyo anaishia kuwa kungwi mtandaoni hapa ni lazima afe kwa msongo wa mawazo

Hili ni somo kubwa sana kwamba hichi kizazi cha kisasa Kuliko usomeshe mtoto shule za gharama kwa kujinyima sana bora asome shule za kawaida tu. Maana ajira za maana hakuna. Hata angesoma shule za serikali ukungwi angeumudu tu
Wazazi wake walikufuata wakakwambia kuwa anawaumiza??
 
Habari wadau.

Huna binti anatred sana mtandaoni huyo hapo kwenye picha anaitwa LILIAN LEMA.

Huyu binti ana elimu nzuri tu na ana degree ya uchumi kutoka chuo kikuu cha taifa udsm

Huyu binti hajasoma kayumba toka shule ya msingi ni shule za ada kubwa maarufu kama english medium.

Baada ya kumaliza chuo kajiajiri kama kungwi mtandaoni anafundisha watu jinsi ya kupigana miti.

Imagine mzazi Mtu anapata mshahara wa 1 M kwa mwezi halafu analazimisha kulipa ada ya mtoto 3-4M kwa mwaka, huku pato lake kwa mwaka likienda 12M kabla ya kutoa kodi na matakataka mengine anajikuta zaidi ya 40% ya pato lake kwa mwaka analitumia kulipa ada, halafu baada ya kumaliza chuo mwanae huyo anaishia kuwa kungwi mtandaoni hapa ni lazima afe kwa msongo wa mawazo

Hili ni somo kubwa sana kwamba hichi kizazi cha kisasa Kuliko usomeshe mtoto shule za gharama kwa kujinyima sana bora asome shule za kawaida tu. Maana ajira za maana hakuna. Hata angesoma shule za serikali ukungwi angeumudu tu
Kwani wazazi wake wamelalamika? Kuwa kungwi ni kinyume na sheria? Kwa nini unafuatilia mambo yasiyokuhusu?
 
Back
Top Bottom