- Thread starter
- #61
Faida ya kuhifadhi tunaijua sisi waislam, waliosilimu kutoka kwenye dini nyegine wakifika katika uislam hutaka kulia, wanasema wamepoteza muda wao bure huko walipotokaNaskia mshindi anaenda straight peponi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Faida ya kuhifadhi tunaijua sisi waislam, waliosilimu kutoka kwenye dini nyegine wakifika katika uislam hutaka kulia, wanasema wamepoteza muda wao bure huko walipotokaNaskia mshindi anaenda straight peponi
Tuseme labda kuikariri biblia yote kichwani, inawezekana?Kuhifadhika(biblia)nadhani inahifadhika kabatini,mezani,kwenye mikoba nk.Au unaeleza kuhusu kukariri kichwani?
Jawabu rahisi. mfate padri wako kimya kimya halafu muulize ukweli kati ya uislam na dini nyengine. kama ameisoma kweli bibilia atakupa ukweli, atakwambia usimwambia mtu tuNielimishe na mm mkuu, natamani sana kuujua ukweli.
Me and you tufungue uzi mpya kabisa, let's debate kuhusu hizi dini mbili.
Mnawapa hadi fedha wataachaje kujiliza kinafiki?Faida ya kuhifadhi tunaijua sisi waislam, waliosilimu kutoka kwenye dini nyegine wakifika katika uislam hutaka kulia, wanasema wamepoteza muda wao bure huko walipotoka
anatoka kwenye upadri , kwenye viyoyozi na magari makubwa anakuja kwenye majamvi msikitini, huoni maajabu hayo?Mnawapa hadi fedha wataachaje kujiliza kinafiki?
Kwa hiyo wewe una uhakika wa kuwalala mabikira 72 na mito ya pombe?Faida ya kuhifadhi tunaijua sisi waislam, waliosilimu kutoka kwenye dini nyegine wakifika katika uislam hutaka kulia, wanasema wamepoteza muda wao bure huko walipotoka
Msome@Matunduizikomenti # 40Tuseme labda kuikariri biblia yote kichwani, inawezekana?
Maana Quran inahifadhika yote kichwani na ni kipaji kikubwa mtu kuhifadhi maelfu ya maneno kichwani bila kukosea.
Nipe salary scale zao mkuuPadri si analipwa? tena mshahara mnono. angalikuwa halipwi wote wangalikimbia makanisa
Allah anijaalie.Kwa hiyo wewe una uhakika wa kuwalala mabikira 72 na mito ya pombe?
au ndio unapokea?Nipe salary scale zao mkuu
Akujaalie tena kwa hiyo huna uhakika? kwa hiyo ukifa sasa hivi hujui unaenda wapi?Allah anijaalie.
yakula na Vinywaji vya Kupendeza
- Sura ya Al-Insan (76:14):"Na juu yao kutakuwa na kivuli cha bustani za mitende, ambapo yataandaliwa matunda na vinywaji."
- Sura ya Ar-Rahman (55:68):"Katika miamba ya Peponi kuna matunda na vinywaji vya aina mbalimbali."
Siamini kama huu mstari upo kwenye Quran na kama upo basi Quran itakuwa ya kitapeli sanaKwa hiyo wewe una uhakika wa kuwalala mabikira 72 na mito ya pombe?
Padre yupi huyo?anatoka kwenye upadri , kwenye viyoyozi na magari makubwa anakuja kwenye majamvi msikitini, huoni maajabu hayo?
Kwa hiyo Masheikh wanaotamka na kuhamasisha neno hili huwa ni waongo?Siamini kama huu mstari upo kwenye Quran na kama upo basi Quran itakuwa ya kitapeli sana
Mtajie wanalipwa daraja lipi la mshahara ili tujue wote!au ndio unapokea?
kitabu kimoja cha mt. Luke kina aya nyingi kuliko iko cha mud.biblia ni kichakaLini Mashindano ya kusoma Biblia? kama ilivyokuwa Quran?
Au ni vigumu kuihifidhali?
Wadau wanaosoma biblia hebu watwambie.
Hichi kitabu kinahifadhika?
dahMfahamu kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein AS ambaye hakunyonyeshwa na mama yake Fatima kwasababu babu yake Mtume Muhammad alikataa Pindi tu alipozaliwa akamtwaa na kumnyonyesha kwa ulimi wake .
Imam Hussein kwa muda wa miaka miwili hakunyonya titi la mama yake bali alinyonya ulimi wa mtume. Ndio maana kipenzi chetu cha dhati anatukuzwa.
kABLA YA KUUMBWA KWAKO, UNGALIAMBIWA UTAUMBWA BAADAE UTAINGILIANA MWANAMKE MTAZAA, UNGALISEMA UJINGA HUO HAUPO.Siamini kama huu mstari upo kwenye Quran na kama upo basi Quran itakuwa ya kitapeli sana