Lini Viwanja vinavyomilikiwa na CCM vitakuwa chini ya umiliki wa Serikali Kuu au Halmashauri husika?

Lini Viwanja vinavyomilikiwa na CCM vitakuwa chini ya umiliki wa Serikali Kuu au Halmashauri husika?

kweli bujibuji umenena, inabidi haya yajadiliwe bungeni nadhani kuna wabunge wapo hapa waandae hoja binafsi huu ni wizi wa mchana kweupe,
 
Meya wa manispaa ya Moshi bw. Jaffary (chadema) amewaburuza mahakamani viongozi wa ccm akiwemo mkurugenzi wa manispaa ya Moshi kwa kosa la kupora viwanya vya michezo na kuvigeuza vya ccm.

Kesi bado inaendelea tunasubiri hukumu, na wakitoa hukumu ya kuipendelea ccm mijengo yao walioijenga huko inakula kiberiti yote.

KAMA NOMA NAIWE NOMA.
 
Meya wa manispaa ya Moshi bw. Jaffary (chadema) amewaburuza mahakamani viongozi wa ccm akiwemo mkurugenzi wa manispaa ya Moshi kwa kosa la kupora viwanya vya michezo na kuvigeuza vya ccm. kesi bado inaendelea tunasubiri hukumu, na wakitoa hukumu ya kuipendelea ccm mijengo yao walioijenga huko inakula kiberiti yote. KAMA NOMA NAIWE NOMA
<br />
<br />
Jina lako babu...u made my evening!
 
Meya wa manispaa ya Moshi bw. Jaffary (chadema) amewaburuza mahakamani viongozi wa ccm akiwemo mkurugenzi wa manispaa ya Moshi kwa kosa la kupora viwanya vya michezo na kuvigeuza vya ccm. kesi bado inaendelea tunasubiri hukumu, na wakitoa hukumu ya kuipendelea ccm mijengo yao walioijenga huko inakula kiberiti yote. KAMA NOMA NAIWE NOMA
. Huu ni mwanzo mzuri sana, ni lazima tuhakikishe mali za umma. CCM ni waharibifu, angalia uwanja wa Sokoine Mbeya, Samora Iringa na vingine vingi imeshindwa kuvitunza na kuviendeleza, kwa kuwa hata kwenye bajeti yake hawana fungu la kuendeleza viwanja. Kuna kipindi uwanja wa Sokoine Mbeya ulikuwa hauna hata makufuli na badala yake mageti yakawa yanafungwa kwa waya. Hii ni aibu kubwa sana.
 
Sio Viwanja vya michezo pekee hata ardhi pia wanawanyang'anya wenye nchi na kuwapa wageni kama karanga tena kwa ubabe wa kuwafukuza wazawa
 
CCM walipokonga viwanja hivyo kwa mabavu kwa kuwa wana dola, viwanja vyote vinatakiwa virudi chini ya umma na hili lazima kitatikea with time kwani hawa magamba wanafanya watu hawana akili kwani hawatofautishi kati ya mali ya umma, serikali na CCM wao kwa kuwa wapo kwenye madaraka wanaona kila kitu chao, in due time hivi vitu vyote vitarudi kwa umma
 
Inasemekana na vile viwanja vya tanganyika pekazi kule kawe wanapewa N.H.C
 
04.jpg


Jukwaa kuu la Stadium ya Ali Hassan Mwinyi Tabora uwanja uliokuwa nyumbani kwa timu ya Milambo iliyoanzishwa na hayati Laurence Mtazama Gama. Kwa sasa uwanja huu ni maficho ya makahaba kufanya ufuska na maficho ya vibaka. Je Majimaji, Singida, CCM Kirumba nk viwanja vikoje? Vinatunzwa?




picha kwa hisani ya Mjengwa.
 
iko kazi kama si ubadhilifu wa mali ya umaa then sijui nini?
 
04.jpg


Jukwaa kuu la Stadium ya Ali Hassan Mwinyi Tabora uwanja uliokuwa nyumbani kwa timu ya Milambo iliyoanzishwa na hayati Laurence Mtazama Gama. Kwa sasa uwanja huu ni maficho ya makahaba kufanya ufuska na maficho ya vibaka. Je Majimaji, Singida, CCM Kirumba nk viwanja vikoje? Vinatunzwa?




picha kwa hisani ya Mjengwa.

its time now wavirejeshe serikalini.
Huko CCM fikra za mwenyekiti zinadumu hata leo, hakuna wa kusema hatima yavyo. Walio nje ya CCM nao wanaona kuwa haviwahusu kwa kuwa vinanufaisha wachache.
By the way, sio viwanja tu, hata parking hapa mjini.
 
Hili la viwanja kama ni kweli CCM walivichukuwa Serikalini wakati wa chama kimoja, inabidi wavirudishe Serikalini, SIO haki hata kidogo. Viwanja vya Watanzania wote na si vya CCM pekee.

Siongelei uchama hapa naongelea utaifa, kwa hiyo tunzeni adabu zenu na msianze kunizozomokea.
 
Hili la viwanja kama ni kweli CCM walivichukuwa Serikalini wakati wa chama kimoja, inabidi wavirudishe Serikalini, SIO haki hata kidogo. Viwanja vya Watanzania wote na si vya CCM pekee.

Siongelei uchama hapa naongelea utaifa, kwa hiyo tunzeni adabu zenu na msianze kunizozomokea.

FF hata vikirudishwa serikalini, serikali itaweza kuviendeleza?
 
FF hata vikirudishwa serikalini, serikali itaweza kuviendeleza?

Wanaweza au wasiweze, kwanza virudishwe Serikalini. Halafu huko tutajuwa wanaweza au hawawezi. Ijulikane kabisa kuwa hiyo siyo mali ya CCM.
 
Wanaweza au wasiweze, kwanza virudishwe Serikalini. Halafu huko tutajuwa wanaweza au hawawezi. Ijulikane kabisa kuwa hiyo siyo mali ya CCM.

Vikirudishwa vitapigwa bie kiaina.
 
Back
Top Bottom