Weston Songoro
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 2,793
- 1,085
Wenzako walishapeleka mahakamani hilo suala na wakashindwa kisheria. Nenda kakate rufaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjinga n wewe mwenyewe na Misukule wenzako hapo Kinondoni
Kiuhalisia viwanja vyote hivyo ni wananchi wote maana vilijengwa wakati wa chama kimoja na wananchi wote walishiriki kuvijenga kwa nguvkazi au kodi zao.
ccm imekufa but yu as mbumbumbu yu will neva know. ccm is a dead pat also jk is a dead spiriti
Mi sio mbumbumbu, CCM ipo, haijafa wacha siasa za kijinga, ina maana wale wanaovaa sare za kijani na wanaoshangalia wakati mgombea wa CCM anapotangazwa mshindi kwenye uchaguzi ni watu wanaotoka kwenye ukoo wenu?
Kwahiyo wanaovaa sare za CCM zenye picha ya Rais kifuani tunaowaona mitaani ni UKAWA? wewe ni mbumbumbu wa siasa. Ukijamba kwa hasira unaweza kujichafua mwenyewe.narudia ww ni mbumbumbu ccm hawajawahi kushinda uchaguzi isipokuwa wao kutangazwa viongozi. familia yangu haiwezi kuwa kwenye ukoo wa panya. slaa pekee atarudisha viwanja si mwingine. umelewa?