The mountain lion
JF-Expert Member
- Oct 6, 2014
- 1,153
- 418
Si mpaka hao CCM wawepo hiyo 2019 maana sa hivi wananchi wana hasira nayo balaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uadilifu wa ccm na mwelekeo wake juu ya ufisadi ndio maana unatiliwa shaka kwa maana hivi viwanja na mali zingine za umma walivipora kwa nguvu na wala hawakumilikishwa. Kuna tume halali kabisa ya kijaji ilibainisha jinsi hivi viwanja na mali zingine zilivyo mali za umma na sio chama lakini wakaiweka kapuni.kikitawala chama kingine kitavichua vyote viwe vyake ndio utaratibu usiokuwa rasmi
nimeshindwa kujizuia , andiko lako limeniporomosha machozi !hayo yote yanafahamika hata walioiba Escrow wanafahamika ila hatuna serikali ya kuchukua hatua kaka, wewe ushangai waliomuua mwangosi wanaonekana wazi kwenye picha jinsi walivyomuua lakini mpaka leo hakuna chochote,hii ni serikali kandamizi la muhimu ni kuiweka pembeni kwanza alafu lianzwe moja baada ya moja