Cheap politics Kwa kiwango Cha elimu aliyonayo hakitendei haki kiwango chake Cha elimuSasa kama ni hivyo unavyo fikiria wewe, tatizo liko wapi?
Kwa vile watu anaohutubia watamwona kuwa na sifa hizo unazodai, si hiyo ndiyo itakuwa nafuu kwenu, au unatakaje?
ndilo Hilo nimeandika aeleze wazi kabisa huyo Abdul ni nani na mama Abdul ni nani na aweke ushahidi anapokuwa akiwaongeleaWeka andiko lako la kisomi tulione
Kitendo cha kuwafanya watu wawe wanakukubali na kukushabikia ndiyo akili yenyewe hiyo. Au unadhani akili ni kukariri maandishi peke yake? Akili ni jambo Pana sana.Kujulikana sana sio sifa kuwa uko Vizuri sana kichwani
Mfano hakuna mtanzania asiyejua mnyama aitwaye Mbwa
Lakini mbwa hajawahi kuwa mwanasiasa Wala kuhutubia popote na hatarajii lakini anajulikana sana
Timu Makamba ndiyo inamtuma Abdul kutembea na makapu ya fedha kujaribu kuhonga watu?nahisi tundu lisu ni timu makamba, rostamu &Co. raisi samia haendelei 2025 na ana wa kumwachia tayari, makamu wake na hilo wanalijua, tifu lote liko hapo kwani itavuruga kila kitu mpaka 2025/35 β¦
Washabakia halafu kura hawampigii akili hiyo? Akili ni kutafuta wapiga kura watakaokupigia kura sio washabikiKitendo cha kuwafanya watu wawe wanakukubali na kukushabikia ndiyo akili yenyewe hiyo. Au unadhani akili ni kukariri maandishi peke yake? Akili ni jambo Pana sana.
Unasubiri nini kumburuza?Mjinga tu Lisu akiburuzwa mahakamani utasikia Mimi sikusema Abdul mtoto wa mama Samia Raisi wa Tanzania na biliposemanMama Abdul nibwapi nilisema mama Abdul ambaye ni mama Samia Raisi wa Tanzania sijasema hovyo anashinda kesi
Kifupiblisu ni mjinga anayecheza na akili za watu wajinga wasiojielewa kama haonaliokuwa akiwahutubia habari za Hela ya za Abnuwasi za Abdul na Mama Abdul
Watu wanashangilia ujinga tu anapotezea watu muda tu
Dah!Cheap politics Kwa kiwango Cha elimu aliyonayo hakitendei haki kiwango chake Cha elimu
ulitaka achezi na siasa za namna gani wakati siasa zina angle nyingi za ku focas? Mbona anafanya siasa vema tu, umeambiwa akina ally hapi waliingia mpaka msikitini kufanya siasa na haitakiwi kufanya siasa kwenye nyumba za ibada za kidini, hiyo yote ni kutaka simple winning situation japo si nzuri kufanya siasa misikitiniUlimuona huyo Abdul akienda kwa Lisu? Na Lisu Katoa ushahidi upi akiongea wa kuhibitisha kuwa Abdul alienda Kwake?
Kifupi Lisu anachofanya ni wasoni kupoteza Imani naye kama layman tu wa mitaani ambaye hayuko professional kwenye hotuba zake kageuka kuwa. Mswahili mumbeya tu wa barabarani anayetunga vitu vya uongo asivyoweza kuongwa kwa ushahidi kuithibitishia hadhira anayoihutubia
Kwa vitu vya kijinga ambavyo yeye nwenyewe hata hajaweka ushahidi akiongea anaongea kama mwehu tuUnasubiri nini kumburuza?
Wewe umejuaje ni uongo?....Ila jamaa anajuaga kuwachota akili wajinga. Kwaakili ya kawaida tu anachosema hakiwezekani. Labda kama anamaanisha Abdul mwingine.
Kwa alichosema huwezi kujua ni Abdul yupi aliyepeleka rushwa, waropokaji wengine wajifunze kwa huyu jamaa anadanganya uongo ambao hauwezi kumtia hatiani.
Umemsikiliza?Mjinga tu Lisu akiburuzwa mahakamani utasikia Mimi sikusema Abdul mtoto wa mama Samia Raisi wa Tanzania na biliposemanMama Abdul nibwapi nilisema mama Abdul ambaye ni mama Samia Raisi wa Tanzania sijasema hovyo anashinda kesi
Kifupiblisu ni mjinga anayecheza na akili za watu wajinga wasiojielewa kama haonaliokuwa akiwahutubia habari za Hela ya za Abnuwasi za Abdul na Mama Abdul
Watu wanashangilia ujinga tu anapotezea watu muda tu
πππMimi nipo toka enzi za TANU π€£π€£π€£
Yaani wewe badala ya kuwaona Abdul na Mama yake kuwa ni wajinga wa mwisho, unalalamika upewe ushahidi wewe?Lissu aache siasa za kitoto aweke ushahidi wa kufikiwa na Abdul na kutaka kuhongwa, lakini pia apeleke TAKUKURU Ili wachukue hatua
Ni habari za udaku tu sio za kuaminikaMkuu 'Bush', taarifa yako hii uliipata wapi. Kama ni kweli, basi huyu abdul ni janga!
Aliyekwambia Tundu Lissu anachoka ni nani?Uchaguzi mkuu unakaribia, CHADEMA wanaweza kumpumzisha apumzike kuzunguka nchi atachoka na mwakani mbilinge za kampeni zitaanza na kama watampitisha kugombea atatakiwa kutembea tena nchi nzima kuomba kura. Vijana akina sosopi na wenzake wapo waendelee na mikutano hii. Hii nchi ni kubwa inataka mgombea mwenye nguvu za kimwili kuweza kupenya majimbo yote ya uchaguzi. Mheshimiwa Lissu ni bora muda huu akapumzika kuchanja mbunga ili asichoke kwa ajili ya safari ndefu za mwakani kusaka kura
Basi hukupashwa kuziendeleza humu kama unajuwa hivyo.Ni habari za udaku tu sio za kuaminika