Pre GE2025 Lissu: Abdul aliniletea rushwa nyumbani kwangu nikamwambia "Shenzi, kahonge wanaohongeka"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kama ni kweli hakuna haja ya kutangazia umma ,yeye ni mwanasheria nguli angemshtaki!!

Kwahiyo amekataa za Abdul halafu anapokea za walala hoi kama mchango wa Gari,anatia aibu!!

Chama chake kimeshindwa kumnunulia gari!!?stahiki zake zimeshindwa kununua gari!!?

Inasikitisha
 
Ushahidi hutolewa mahakamani we bush lawyer.
Huyo Abduli aende mahakamani atapewa ushahidi.Anaogopa nini?
Kwa msomi anayejielewa anatakiwa anapoongea aweke na evidence sio kuongea tu kama mlevi wa pombe za kienyehi ohh Abdul alitaka kunipa rushwa Abdul Tanzania wako mamilioni wenye Hilo Jina unataka Abdul yupi aende Mahakamani? Lisu anaongea kitoto sana lugha za uswahilini Kwa mashambenga waongea mipasho

Yaani uongeaji wake haupo full weledi kwenye tuhuma haongei Kwa vielelezo vya ushahidi anabweka tu halafu anayebwekea hajulikani halafu anataka huyo asoyejulikana ndie aende atoe ushahidinkana hakutaka kumhonga mbona utoto sana huo

Anageuza jukwaa la siasa kuwa sehemu ya vichekesho
Jukwaa la siasa linataka Watu serious sio comedians kama Lisu alivyogeuka Sasa hivi
 
Sasa hivi ukisoma habari za Lisu inabidi utumie na akili zako.
 
Usikute nawe au wewe ndiwe mwongo.

Jambo la msingi lingekuwa kumtaka athibitishe alichosema.

Kumbuka watoa-rushwa wengi (hasa hao wabobevu) huwa wana engo fulani za kuzungukia kabla ya tukio lenyewe.

Halafu ukizingatia na nafasi yao serikalini, ndiyo kabisaa!

Nadhani akili yako ingali haijapata uwezo wa kuchekecha haya mambo yanavyofanywa kisayansi gizani.
 
Kwanini aseme leo. Kwamba alikaa kimya mpaka hapo atakapoishiwa cha kusema au
 
Kwa nini umpangie muda wa kuongea?
Punishment becomes punishment when it is given immediately after wrong action. Otherwise haitakiwa punishment itakuwa uonevu. Kwank lisu hajasoma kabisa? Nina wasiwasi hata chuo kama kafika au inaweseka alikuwa anadesa mambo ya watu
 
.
..anaweza kushtaki Polisi.

..anaweza kushtaki kwa wananchi.

..hajavunja sheria yoyote ile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…