CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Jinai haifiPunishment becomes punishment when it is given immediately after wrong action. Otherwise haitakiwa punishment itakuwa uonevu. Kwank lisu hajasoma kabisa? Nina wasiwasi hata chuo kama kafika au inaweseka alikuwa anadesa mambo ya watu
Dogo acha ubwegePunishment becomes punishment when it is given immediately after wrong action. Otherwise haitakiwa punishment itakuwa uonevu. Kwank lisu hajasoma kabisa? Nina wasiwasi hata chuo kama kafika au inaweseka alikuwa anadesa mambo ya watu
Ccm hawana mda na mtu wa hivyo. Wamempuuza. Mpinzani wa kweli ni zitto na mbowe tu. Wale siyo walopokajiNenda hapo kwenye vibaraza vya Lumumba kawaimbie Lissu hajui sheria uwasikie.
SASA ulitaka TAL akamshtaki Mwana wa malkia? yaani kabisa mtoto wa namba one ashtakiwe utegemee haki kwenye mahakama zetu? mkuu uwe siriazi basi
wewe bado mdogo sana ndugu yangu. watoto wa elfu mbili munarahissisha sana mamboHapana mvuvi kamili au .kulima haswa anaface udongo wa aina yoyote kwa mazao tofauti
Nipe kifungu. Acha kurukarukaKama hulijui hilo wewe ni mjinga. Halafu utakuwa mhamiaji haramu wewe kukalilisha ndiyo lugha gani hiyo.
Kesi ya mbuzi unapelekea fisi,hapo nani boya sasa🤪Au chadema au lisu wameona watanzania hawana reasoning capacity wakaona waanze kiwadanganga baada ya kuona mama anafanya kazi zinazogusa kila mtu.
Ndo mana jpm alitaka kliua mana ni liongo na lijuaji
Sahihi aliyekuwa anajua Sheria Tanzania wakati Sio meanasheria na kujua namna ya kutumia Sheria Mahakamani kuleta mabadiliko chanya ni Mtikila tuBasi hajui sheria. Asiwe anatudanganya kwamba yeye ni bingwa wa sheria wakati mambo madogo tu kama haya hajui pa kuanzia
Basi hajui sheria. Maana ni mwoga sanaKesi ya mbuzi unapelekea fisi,hapo nani boys sasa🤪
Kw hiyo mnamuogopa kama ukoma. Basi nyie ni waoga hamfai kabisa. Mtikila ndo bingwa wa sheria hakuogopa mtu yeyote mpaka rais..na Abduli akija kukuhonga kwa mambo ya kisiasa ujue katumwa na Maza.
..Ni mjinga ndiye anayeweza kumshtaki Abduli Polisi au Takukuru.
Yani ukamshitaki mtoto wa rais tena tanzania hii ukitegemea polisi watamfanya chochote. Takukuru yenyewe katu haithubutu kumchunguza kigogo yeyote mpaka iagizwe na kigogo aliye na madaraka kumzidi yeye sasa ije Lisu tena kiongozi wa chama pinzani. Mbona kuna waziri aliyesema kuwa aliletewa rushwa na wachina akaikataa mbona hukumuuliza kwanini hakuwaita polisi wawakamate?Au chadema au lisu wameona watanzania hawana reasoning capacity wakaona waanze kiwadanganga baada ya kuona mama anafanya kazi zinazogusa kila mtu.
Ndo mana jpm alitaka kliua mana ni liongo na lijuaji
Niondolee upuuzi wako hapa.Nipe kifungu. Acha kurukaruka
Basi ingekuwa kweli siku hiyo hiyo angeandik akwenye mitandao ya kijamii au kumpiga picha siyo kuteletea uongo haapYani ukamshitaki mtoto wa rais tena tanzania hii ukitegemea polisi watamfanya chochote. Takukuru yenyewe katu haithubutu kumchunguza kigogo yeyote mpaka iagizwe na kigogo aliye na madaraka kumzidi yeye sasa ije Lisu tena kiongozi wa chama pinzani. Mbona kuna waziri aliyesema kuwa aliletewa rushwa na wachina akaikataa mbona hukumuuliza kwanini hakuwaita polisi wawakamate?
Kwa hiyo kwako kusoma ni nothing ispokuwa kupayuka tu kama lisu..kwa taarifa yako Mama Abduli alipata ZERO form 4, leo yuko pale. Nakushauri uache dharau. Kitu cha msingi ktk maisha ni mchango wako kwa familia yako, na nchi yako.
Nimekuuliza swali, hivi Tanzania hii unaweza kumshataki mtoto wa rais polis au takukuru wakaja kumkamata?Basi ingekuwa kweli siku hiyo hiyo angeandik akwenye mitandao ya kijamii au kumpiga picha siyo kuteletea uongo haap