Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,510
- 6,877
Kitu pekee unacho kijua humu duniani ni kuandika kingereza tu but akili hauna kabisa.Kwanini hamkuoversee hii possibility,,?,ndo maana nasemaga hamjawa tayari kuongoza,hii ilitakiwa muione kabla na muweke plan B,C,D
lands helcopta ya udongo ndio itaogopa hill wingu lakoUongo Mimi.pia Niko Dar Gongo LA mboto mvua imesimama hainyeshi ila kuna wingu LA mvua LA kufa MTU dakika yeyote mvua inashuka
hata akipata kura 0 we inakuuma nini una hata 100 umemchangia?Masikini Lisu pamoja na kutumia gharama kubwa za machopa lakini hatapata hata 20%
Kweli wewe ni KilazaOnce a mistake, twice a habit
Ni wafuasi wa CDM ndio wanaweza amini uongo wa Lissu. Kuna rubani anaweza ingia angani bila ya kuwa na mawasiliano.
Yaani rubani arushe ndege bila ya mamlaka ya anga labda kama anataka kufutiwa leseni yake.
Hakuna cha kucheleweshwa na mamlaka ya anga wala nini alikuwa anavuta upepo kama watu wamejaa kwanza uwanjani ndio aamue aende au aukache mkutano.
Sijui yukoje huyu mtu yaani anawadharau kweli wafuasi wa CDM mtu ana uongo wa kishamba kweli halafu unakuta mijitu inatetea tu.
Mbona kambania mwenzake kibali cha ndege
In your dreams
Mpumbavu wewe.Hivi kwann hapendi kutii sheria bila shuruti
Utazilinda ukiwa na nani mzee?πππ Huyo unaetegemea kulinda nae anakusubiria kwake akiwa katega Channel tenHatuwezi kuishi kwenye nchi ya kipuuzi namna hii. Yaaani binadamu mwenzetu anaonewa kiasi hiki tena waziwazi na wala tusichukue hatua...
Mkuu achana na hilo jamvi la wageni hapo Lumumbamwongo were. Dar hali ni shwari angalia mkutano Wa Lisu kufunga kampeni kama kuna hicho ukisemacho
Hii nchi ina safari ndefu sana kama watu ndio kama wewe wanaodhani uhai wa wenzao hauna maana kwa sababu tu ya madarakaSasa kibali hajapewa analazimisha kuruka,muhimu jeshi liwe makini akilazisha kurusha ipopolewe tu na kombora.
Msihofu, tutazilinda tu.Utazilinda ukiwa na nani mzee?πππ Huyo unaetegemea kulinda nae anakusubiria kwake akiwa katega Channel ten
Unaniita mimi mpumbavu?Mpumbavu wewe.
Unaambiwa kanyimwa kibali wewe unaropoka.
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Safi sanaHatimaye safari ya Lissu kwenda Dar imeingia shubiri baada ya Chopa yake iliyopo KIA kunyimwa kibali cha kuruka.
Tundu Lissu mwenyewe amethibitisha hilo.
Nazidi kukushauri upunguze munkari ndugu yangu. Umelishwa uongo mwingi na bahati mbaya unazikubali kama zilivyo. Hayo yote uliyoyaeleza hapo juu hazina hata chembe ndogo ya ukweli. Nazidi kukushauri, tunakupenda kama mtanzania mwenzetu punguza munkari. Pressure itakuuwa bure. Lingine nakushauri uwe unasemea nafsi yako na siyo kutumia neno tuta.....Ni wewe mwenyewe utakayemwaga damu yako. Siyo watanzania wengine.Hatuwezi kuishi kwenye nchi ya kipuuzi namna hii. Yaaani binadamu mwenzetu anaonewa kiasi hiki tena waziwazi na wala tusichukue hatua.
Walimpiga risasi wakitaka kumuua, akapona mauti ila wakamnyima matibabu, akapona kabis wakamvua ubunge na kukataa kumlipa hata kiinua mgongo kwa kipindi alichotumikia.
Sasa amegombea uraisi hawaachi figisu, mikoa ya kusini wamemzuia kufanya mikutano zaidi ya 10, na Mkoa wa Pwani pia, kisa magufuli ameshindwa kufanya kampeni kusini.
Sasa leo anakuja kufunga kampeni Dar wanamletea figisu tena kwa makusudi. Sasa tunasema imetosha!!!!
Kesho kwa hasira tunaenda kupiga kura nyingi kwa Lissu na tutalizilinda hakika kwa gharama ya damu zetu. Hata tukifa ila historia itatukumbuka.