Lissu afunguliwe mashtaka kwa kutoa taarifa za uongo

We bado ni mtoto sana!! Kati ktk tawala za kiraia hilo haliwezi tokea na ndo maana ktk katiba na utendaji kwa ujumla rank ya jeshi iko mbali sana!!
Asante kwa Mchango wako Lakin unaongea usiyoyajua
 
Kwahiyo unakubali kwamba alikuwa anakwambisha jitihada za serikali kulinda rasilimali madini

then he is a freak of nature

far from “debe tupu”

kama mtu mmoja anaweza kukwamisha jitihada zetu wooooote sisi milioni 60 kulinda rasilimali zetu then hatu deserve hizo mali… we are all a bunch of degenerate dunderheads!

mtu mmoja anawatikisa mpaka mnampiga risasi…. Kisa ? Kasema Waziri mpya mwenye dhamana ya Usalama wa Taifa kaoa binti wa Rais mpya Samia Suluhu!

Weak nation, weak leadership.
 
..kwa hiyo Mabeyo ndio asiyependa makongamano?

..Na Mabeyo ndiye aliyetupandishia kodi na tozo za miamala?

Hawa watoto wakionaga gwanda za Jeshi wanapatwa na nyege za ubongo!!

Kiongozi gani wa Afrika naweza thubutu huo upuuzi….

Hapa TZ CCM wenye nguvu na kuliko jeshi leo Mabeyo aongoze nchi hahahahaha!
 
Utamuamini Lissu kama Tanzania itashitakiwa na MIGA! Bila hivyo anatunga uongo kama alivyo zoea!
 
Inaonekana mmeumia sana baada ya ukweli huu kuwekwa hadharani ma Lissu.

Siku 100 alijaribu...ila baada ya speech yake tu ... wenye nchi yao wameichukua kabakia cerebrete president.
Mkuu Mimi ni raia Kama wewe, ila nimekuwa sipendezwi na taarifa Kama hizi.
 
Eti ngoma za jadi unadharau 😇😇😇 ndio maana cdm mmekoswa mvuto kabisa kanda ya ziwa
 


Wewe mwenyewe uliyeandika hapa ndiye Lissu, unataka kujua hisia za Watz humu ndani ya Jf kuhusu kauli yako kwamba Rais katekwa (anaendeshwa na watu wengine).

Tumeisha kushitukia, isipokuwa tuache tufanye upelelezi ili tuone kama hicho usemacho ni kweli kama sio kweli tutakuburuza mahakamani in absentia.
 
Hujui kitu chochote wewe. Hizi info ziko mitaani na hata mimi nimesikia kutoka kwa mtu credible sana. Wewe saizi yako ni hii thread za vijembe vya Chadema vs CCM. Habari nyeti kama hizi nina uhakika huwezi kuzijua.

Halafu anaonesha mtoto sana
 
Well said
 
Hayo chini ni maoni yako au ya tundu lisu?kama ni wewe basi utakuwa nzi mfuata kinyesi na mizoga
 
Dadadadadeki
 
Narudia tena , niliisema sehemu Anayeongoza nchi ni Mabeyo na Vyombo vya Usalama Mama akiwa kama kivuli ila Majaliwa na mchengelwa hawana wanalojua hapo LISSU naye kachemka!!! Nchi iko kwa Mabeyo kitambo sana

Britanicca
Mabeyo tena? Wala hana muda mrefu huyo 'anastaafu', yule aliyeteuliwa kuwa mnadhimu mkuu anachukuwa nafasi yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…