Course Coordinator
JF-Expert Member
- Jul 27, 2019
- 1,742
- 3,224
Mkuu wangu pamoja na kunywa katika "coffee houses" ila ukiwa na "MOKA POTS" ama ESPRESSO light machine unajitengenezea mwenyewe na hakika "unainjoi sana"....sisi wengine huo ndio "ulevi wetu" 🤣Mkuu unaipigia wapi hii kitu??
Right after my shift ends I would like to join for a cup or two.
Hii hapa coffee house huku stone town karibu na mchamba wima pale nshaizoea sana
Hata kifo cha Magufuli mlisema umbea,wengine tena wenye vyeo vikubwa wakasema yupo anapitia mafaili kumbe alishakufa kitambo.
Hata kauli ya spika jana sikuelewa vizuri nilijiuliza mara 2 spika anamkemea nani juu matumizi ya serikali sikuwahi kuona hii kauli miaka ya nyuma.Mambo huanza hivi hivi.
Zinaanza kama tetesi lakini mwisho wa siku zinakuwa kweli kwa 100%, kama kifo cha Magu kilivyokuwa....
Kwa jinsi nchi inavyopelekwa kipuuzi fulani hivi na namna mama alivyogeuka ghafla ndani ya muda mfupi sana, bila shaka hana control na kiti chake tena. Lazima kuna kakikundi kamepora madaraka yake.
Tujipe muda.
Muda ni mwalimu mzuri sana.
Muvi eeenh ...unafikiri wenzenu hawa tu nzi historia kama wadanganyika ... !!?? Anza tu na Korean War iliyofanya mipasuko wa North na south halafu endelea kusoma historia yao kwa kurudi nyuma kidogo kidogo ndio utajua ni movieeee au hali halisi , MPAKA utakuta Japan alivyoitwaa Korea na kuitawala ...rudi nyuma zaidi hivyo hivyo ndio utajua vizuri. Hata BALHAE kingdom wanahangaishana na Mongolians ni haohao tu ... Jichoshe kusomasoma vitu mbalimbali.Movie za kikorea hizi
Jamung katokea hapa sio?
Ni kweli,lakini kwa yanayoendelea nchi hii,kujifanya huoni,ni Sawa na kuficha kichwa kwenye mchanga kama mbuni,ukifikiri umejistili,Ni upuuzi kuamini habari hii kisa tu tundu islu aemsema.
Bali kudai uthibitisho kwa tundu lissu juu ya alichosema ndio kuwa na akili kwenyewe.
Mtu anaweza kukuona unaenda guest kila siku akakuzushia kwqmba una malaya wako unagonga hapo na mtu ukaamini kutokana na mazingira yanavyoshabihiana lakini ushahidi hana.
Mtu anaweza kukuona unajuana na shoga fulani akakuzushia kwamba unapiga yule shoga na mtu akaamini kwamba ni kweli kutokana na mazingira yanavyoshabihiana,ushahihi ni kudai ushahidi wa madai.
Suala hili Tundu lissu anatakiwa atoe ushahidi badala ya kutumia mazingira ambayo yanaonekana kama kushabihiana na maneno yake.
Watanzania tunatakiwa tuache utumwa wa fikra usiamini moinzani wala mtawala mpaka uhoji kwa kina upewe ushahidi wa maneno yake
Cha ajabu aliyemtandika kafa.tena bila risasiHuwezi tandikwa risasi 16 na ukawa vizuri upstairs
🤣🤣
Mkuu wangu kwa hiyo mh.Tundu Lissu alisema ukweli juu ya KIFO cha yule mlinzi mweusi ?!!!khaaa 😲😲😲
Hadi inafika 2025 Lisu atakuwa anasubiri kuona waliomteka Rais.Jiwe limewapata pabaya... kumbe ni kweli maneno ya Lissu!
Mnahangaika na akina Lisu wakati siku nyingi hawaja trend sasa lazima watafute taarifa za uongo Ili kuwatoa watu kwenye reli nao wapate kiki.Nimeshangazwa na logic ya kitoto ya ndugu lissu eti Rais yupo under hostage taking situation halafu akatoa mifano yake ya uongo.
Kwa ufupi niseme hata Yeye Tundu Lissu angefanikiwa kuwa Rais tungemuhesabu kuwa ni mateka wa mfumo wa ulinzi na usalama kwani hakuna ambalo angeweza kulifanya kinyume na maelekezo ya mfumo huo.
Huu ni mfumo wa kidunia na haujaanza leo na utaendelea.
Kamanda Lissu amemwaga mafuta ya taa kwenye shimo la nyoka..Hilo mabaga fresh haliko sawa upstairs.
Mi nakushangaa sana wewe unayemshangaa Lisu. Hata Lisu aliposema Magufuli amekufa ulimshangaa. Ndiyo maana nakushangaa kushangaa kauli ya sasa ya LisuNimeshangazwa na logic ya kitoto ya ndugu lissu eti Rais yupo under hostage taking situation halafu akatoa mifano yake ya uongo.
Kwa ufupi niseme hata Yeye Tundu Lissu angefanikiwa kuwa Rais tungemuhesabu kuwa ni mateka wa mfumo wa ulinzi na usalama kwani hakuna ambalo angeweza kulifanya kinyume na maelekezo ya mfumo huo.
Huu ni mfumo wa kidunia na haujaanza leo na utaendelea.
Mkuu,huoni unamweka pabaya Mwenyekiti Mh. Mbowe? Kwenye kesi yake ya kupanga..... viongozi wa kitaifa. Endelea kufunguka inawezekana Kuna jamboMagufuli alimfungulia mashtaka, akampiga risasi kwa kusudi la kumwua, akavuruga Uchaguzi na kujipa kura ambazo hakupigiwa...and what happened in the end? Magufuli amekufa na Lissu anaishi...
Sasa chukua neno langu, Hangaya na yule Ibili wa Jeshi la Polisi watakufa kabla ya 2025 na Lissu na wapenda haki wote wataendelea kuishi na kumtukuza Mungu kwa mambo makuu anayotundea..
Take my world, mtazika mwingine kabla ya 2025; the bad thing you won't learn
Ila unapendezwa na zile Lisu kupigwa risasi dodomaMkuu Mimi ni raia Kama wewe, ila nimekuwa sipendezwi na taarifa Kama hizi.