Course Coordinator
JF-Expert Member
- Jul 27, 2019
- 1,742
- 3,224
Hilo lipo wazi
Mama alianza vema akasema ataongea na vyama vya upinzani hadi leo.
Mwenye roho mbaya ni Waziri mkuu ndo wanayemuona meko aliyebaki
Majariwa ni hovyo muongo mnafiki amemdhibiti Samia kwa kutumia mfumo Dume
Majaliwa kamteka Siro,kamteka Diwani Athumani ili wamuogopeshe Samia
Na Samia ana hulka ya woga na uvivu
Mama alianza vema akasema ataongea na vyama vya upinzani hadi leo.
Mwenye roho mbaya ni Waziri mkuu ndo wanayemuona meko aliyebaki
Majariwa ni hovyo muongo mnafiki amemdhibiti Samia kwa kutumia mfumo Dume
Majaliwa kamteka Siro,kamteka Diwani Athumani ili wamuogopeshe Samia
Na Samia ana hulka ya woga na uvivu