Ulivyo mjibu ni kama wewe ndio Samia mwenyewe vile..Eti halafu nyinyi ndio mpewe nchi muongoze??? Badala ya kushughulika na vitu vya maana mnaendekeza umbea tu.
Nyinyi endeleeni kupiga soga huku CCM inajipanga na mikutano ya mpaka kwenye matawi huko. Mkija mkishtuka ni July 2025, mnachezea kichapo tena ikifika October 2025 mnaanza kujazana ujinga wa muandamane.
Ama kweli CCM itaendelea kutawala for more years to come.
Viva CCM viva Mama Samia Suluhu Hassan.
Kinachowatesa chadema sasa hivi ni kwamba walimsifia sana mama mwanzoni pale.Hii story asilimia kubwa ina ukweli, mambo anayofanya Samia currently at the middle of kesi za ajabu za kina Mbowe yana prove point. Huu ukandamizaji wapinzani kwa kesi za kubambika sio hulka ya Samia ile, kuna watu nyuma yake.
Na hilo ndio lina mfanya Lisu aendelee kuteka akili za wajingaSijawahi kumpuuza Tundu, aliwahi kutuambia jamaa haonekani kanisani wala ikulu watu wakabisha na kutoa mapovu lakini baadae wakaona aibu wenyewe!
Kwahyo hata kwenye hili anaweza asiwe sahihi 100% lakini kwa kiasi fulani kuna harufu ya ukweli!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii mitandao jamaniBraza Lissu kaniangusha kwa hili. Nilimuomba asubiri kidogo tu wikendi ipite awahabarisge umma. Ila nimemuelewa ni mihemko tu ya Uzalendo. Kuna very sensitive issue nataka nimsogezee huyu mzalendo kutoka jikoni. Kuna classified documents nilizifumania jikoni yani zikimfikia Lissu taifa litasimama. Nimeshawaandaa vijana wangu Rama na Frenki kufanikisha kila kitu
Mbona mnazidi kutuchanganya asee. Si muweke kikao mje na kauli moja wanduguNarudia tena , niliisema sehemu Anayeongoza nchi ni Mabeyo na Vyombo vya Usalama Mama akiwa kama kivuli ila Majaliwa na mchengelwa hawana wanalojua hapo LISSU naye kachemka!!! Nchi iko kwa Mabeyo kitambo sana
Britanicca
CCM inafanya vikao lakini wengine hawaruhusiwi kufanya vikao hiyo wewe unaona ni sahihi ?Eti halafu nyinyi ndio mpewe nchi muongoze??? Badala ya kushughulika na vitu vya maana mnaendekeza umbea tu.
Nyinyi endeleeni kupiga soga huku CCM inajipanga na mikutano ya mpaka kwenye matawi huko. Mkija mkishtuka ni July 2025, mnachezea kichapo tena ikifika October 2025 mnaanza kujazana ujinga wa muandamane.
Ama kweli CCM itaendelea kutawala for more years to come.
Viva CCM viva Mama Samia Suluhu Hassan.
Udaku!!Akiongea katika kipindi cha Maria Sarungi Space Jana akijibu maswali mbalimbali ya washiriki wa mjadala huo, Tundu Lissu ametoa taarifa serious kidogo kuhusu Rais na nchi yetu...
Kwamba, taarifa walizonazo kwa sasa ni kuwa "....Madam President Samia Suluhu Hassan is held hostage..." , kwamba si yeye anayeongoza nchi kwa sasa. Ameshauriwa yeye akae pembeni na swala la usalama wa nchi awaachie PM Majaliwa na waziri wa usalama, Mchengelewa washughulike nalo...
View attachment 1932324
MAONI YANGU:
Kama hii ni kweli, kikatiba imekaaje? Kama Rais huyu mama kakubali ushauri huu, atakuwa anajua kweli jukumu na wajibu wake kama Rais wa nchi...? Kwanini washauri wake wakuu wamefanya hivi..?
Kuna possibility kubwa hili linaweza kuwa la kweli kwa kuangalia viashiria fulani fulani...
Hebu chunguzeni ziara na matukio ambayo Rais Samia Suluhu anapangiwa kushiriki kwa takribani miezi miwili iliyopita....
Ni yale ya utoto utoto tu ambayo siyo level yake kuyafanya kwani yangeweza kufanywa na wasaidizi wake kama waziri wa sekta husika, RC au DC...
Inashangaza kuwa anajihusisha ktk mambo madogo madogo mno huku akiacha kuumiza akili kushughulika na maswala serious kama vile hali ngumu ya uchumi, tozo kandamizi, hali tete na mbaya ya kisiasa na mengine mengi yanayohusu nchi na wananchi ambayo kwa sasa yanaelea elea hewani tu bila mwongozo thabiti toka kwa Rais kiongozi makini wa nchi...
Angalia matukio anayoshiriki Rais; mfano Royal Tour, kushiriki tamasha la ngoma za kienyeji Magu Mwanza nk nk ni ya kupumbaza tu, yasiyo na positive impact yoyote katika maisha ya watu kwa ujumla. Nyuma ya matukio haya lipo lengo fulani baya nyuma ya pazia. THE TIME WILL TELL...
Naweza kuamini hili la Tundu Lissu kwa 99%...
Leo wabunge walimshangilia sana Kassimu Majaliwa bungeni tunaodadisi kila kitu hali ile haikuwa ya kawaida.LISSU anatakiwa mambo mengine akae Kimya yanamshushia credibility, nchi inajulikana anayeongoza ni nani hata Majaliwa hana ubavu huo! Na take over ilifanyika tokea mwezi March 13 ,2021 … LISSU ajichunge sana na Rwehumbiza atamuingiza Chaka kwa baadhi ya Taarifa
Kabisa nimeungana na wewe kwa maono yako hii ni kweli hakupaswa kusema hiz mambo!!Braza Lissu kaniangusha kwa hili. Nilimuomba asubiri kidogo tu wikendi ipite awahabarisge umma. Ila nimemuelewa ni mihemko tu ya Uzalendo. Kuna very sensitive issue nataka nimsogezee huyu mzalendo kutoka jikoni. Kuna classified documents nilizifumania jikoni yani zikimfikia Lissu taifa litasimama. Nimeshawaandaa vijana wangu Rama na Frenki kufanikisha kila kitu
Ni yeyeeee!!
Lisu ni debe tupu yule!
Yani haya uliyosema ndio unaona lisu ni mtu wa maana?
Hata kabla ya TAL, niliambiwa na afisa mkubwa wa wasiojulikana kuwa wao kwa sasa wanaripoti kwa Maajaliwa.
Kwa ujumla hanangaya, yupo ka alama tu lakini siyo kiutendaji.
Of course itatawala milele, out of prescription.Eti halafu nyinyi ndio mpewe nchi muongoze??? Badala ya kushughulika na vitu vya maana mnaendekeza umbea tu.
Nyinyi endeleeni kupiga soga huku CCM inajipanga na mikutano ya mpaka kwenye matawi huko. Mkija mkishtuka ni July 2025, mnachezea kichapo tena ikifika October 2025 mnaanza kujazana ujinga wa muandamane.
Ama kweli CCM itaendelea kutawala for more years to come.
Viva CCM viva Mama Samia Suluhu Hassan.