macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Wewe ni ndondocha kweli kweli wewe. Matishio ya kijinga namna hiyo yalishapitwa na wakati!Nashauri serikali imfungulie mashtaka Wakili Msomi Tundu LISSU kwa kutoa taarifa za uongo na kusababisha taharuki kuwa Rais ametekwa/amewekwa mateka na Waziri Mkuu ndiye anaongoza nchi. Hata Kama yupo nje ya nchi anapaswa kuheshimu uhuru wa maoni. Mara nyingi akihojiwa na vyombo vya habari amekuwa akipotosha taarifa. Na hii si mara ya kwanza kutoa taarifa hizi. Hata wakati alipohojiwa na BBC alisema hili.
Wenzako iliwachukuwa miaka 20 kumuelewa lissu.......ni mapema mno kuelewa.Kabisa nimeungana na wewe kwa maono yako hii ni kweli hakupaswa kusema hiz mambo!!
LISSU ni mtu mkubwa sana hapaswi kubase kwa taarifa ambazo zinaonotezwa Mtandaoni na alichosema siyo sahihi
Kwa hiyo kumbe alistahili kuuliwa?
Kwamba alikuwa anakejeli hatua za kupambana na ubeberu? Kumbe hafai
Natamani wangeelewa unachozungumzaEti halafu nyinyi ndio mpewe nchi muongoze??? Badala ya kushughulika na vitu vya maana mnaendekeza umbea tu.
Nyinyi endeleeni kupiga soga huku CCM inajipanga na mikutano ya mpaka kwenye matawi huko. Mkija mkishtuka ni July 2025, mnachezea kichapo tena ikifika October 2025 mnaanza kujazana ujinga wa muandamane.
Ama kweli CCM itaendelea kutawala for more years to come.
Viva CCM viva Mama Samia Suluhu Hassan.
Nashauri serikali imfungulie mashtaka Wakili Msomi Tundu LISSU kwa kutoa taarifa za uongo na kusababisha taharuki kuwa Rais ametekwa/amewekwa mateka na Waziri Mkuu ndiye anaongoza nchi. Hata Kama yupo nje ya nchi anapaswa kuheshimu uhuru wa maoni. Mara nyingi akihojiwa na vyombo vya habari amekuwa akipotosha taarifa. Na hii si mara ya kwanza kutoa taarifa hizi. Hata wakati alipohojiwa na BBC alisema hili.
Unaongelea huyu chizi na muongo wa kutupwa! Hakuna haja ya kupoteza muda na machizi na wachumia tumbo kama huyu na yule aliyeko Kanada aka Godcurse MremavuNashauri serikali imfungulie mashtaka Wakili Msomi Tundu LISSU kwa kutoa taarifa za uongo na kusababisha taharuki kuwa Rais ametekwa/amewekwa mateka na Waziri Mkuu ndiye anaongoza nchi. Hata Kama yupo nje ya nchi anapaswa kuheshimu uhuru wa maoni. Mara nyingi akihojiwa na vyombo vya habari amekuwa akipotosha taarifa. Na hii si mara ya kwanza kutoa taarifa hizi. Hata wakati alipohojiwa na BBC alisema hili.
Ukirusha jiwe gizani ukisikia maweeee ujue lishampata muhusika.Jiwe limewapata tunao jua ukwel tumeelw
CCM ya leo siyo ile aliyoiasisi NyerereYou truly a Great Thinker...
You are very intelligent...
Hii kitu inatafakarisha sana hasa uki connect dots za matukio ya ajabu ajabu yanayotokea...
Hata mijadala inayoendeshwa kule space ni ya kimkakati zaidi kuibua mambo yasiyoweza kuibukika ktk mazingira ya kawaida kufikisha ujumbe kwa serikali na umma kujipima..!!
Hizi stori zako zipeleke pale ufipa ila huyo mtu wenu ni debe tupu!Umesema hana maana, na ni “debe tupu.”
Tundu Lissu aliwauliza watu wake ndani ya utawala, nampataje Rais mpya?
Wakamwambia unataka namba yake kama mwanamke au unataka kuongea kazi, Lissu akasema namba ya kikazi zaidi. Wakampa, akapiga, ikapokelewa, akaambiwa nyakati hizi Rais anapokea madaraka, tutakutafuta mkuu.
Katibu wa Rais Suluhu akarudisha simu Ujerumani, Rais pembeni ya simu, wanamtafuta Tundu Lissu. Unamwitaje debe tupu ?
Mpinzani Kambona akiwa Uingereza miaka 30 hakuwahi kupigiwa simu na Nyerere. He couldn’t shake up Nyerere’s regime.
When Tundu Lissu speaks the Tanzanian regime pays attention.
Unaongelea huyu chizi na muongo wa kutupwa! Hakuna haja ya kupoteza muda na machizi na wachumia tumbo kama huyu na yule aliyeko Kanada aka Godcurse Mremavu
Kama wewe unayemuona mgonjwa wakati ni chizi mwenzio?Chizi alisema jamaa mgonjwa 📡
Kama wewe unayemuona mgonjwa wakati ni chizi mwenzio?
Tupo wengi wa kutosha kabisa.Hivi Kuna watu leo wanamsikiliza huyu mbwatukaji?
MBONA MAGUFURI ALIWEZA KUWADHIBITI IWEJE MAMA TENA MKWE WAKE NDO MSIMAMIZI WA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA
Fanya hivyo ... Utaijua vizuri zaidi .. North and south korea(ancient Korea=koryo/Goryeo).Asante nitafuatila,
Walikuwa wanawekwa ..wasimamizi kwa niaba ya watawala ..na mlolongo ukienda hivyo ..sio storry teller mzuri ... Nitajaribu enteresting sana hawa majamaa ....Very interesting. Nimeipenda hii...
Ukipata wasaa wa kutosha, tueleze hili kwa mapana yake na uhusiano wake na hali ya nchi yetu sasa ktk uzi maalumu kabisa..
SSH lazima awe mwoga kwa sababu anakijua fika kilichomsibu Mwendachato. Wenye akili na weledi wa kutosha na wanaoijua NJI hii itokako na iendako hawashangai wala hawadanganyiki asilan! Ni swala la muda tu! Wanaojifanya wajanja watajua kwamba hawajui kitu! If you can't CHANGE, CHANGE itself will CHANGE YOU! Hiyo ni kanuni ya maumbile sio yangu mimi kapurwa!Akiongea katika kipindi cha Maria Sarungi Space Jana akijibu maswali mbalimbali ya washiriki wa mjadala huo, Tundu Lissu ametoa taarifa serious kidogo kuhusu Rais na nchi yetu...
Kwamba, taarifa walizonazo kwa sasa ni kuwa "....Madam President Samia Suluhu Hassan is held hostage..." , kwamba si yeye anayeongoza nchi kwa sasa. Ameshauriwa yeye akae pembeni na swala la usalama wa nchi awaachie PM Majaliwa na waziri wa usalama, Mchengelewa washughulike nalo...
View attachment 1932324
MAONI YANGU:
Kama hii ni kweli, kikatiba imekaaje? Kama Rais huyu mama kakubali ushauri huu, atakuwa anajua kweli jukumu na wajibu wake kama Rais wa nchi...? Kwanini washauri wake wakuu wamefanya hivi..?
Kuna possibility kubwa hili linaweza kuwa la kweli kwa kuangalia viashiria fulani fulani...
Hebu chunguzeni ziara na matukio ambayo Rais Samia Suluhu anapangiwa kushiriki kwa takribani miezi miwili iliyopita....
Ni yale ya utoto utoto tu ambayo siyo level yake kuyafanya kwani yangeweza kufanywa na wasaidizi wake kama waziri wa sekta husika, RC au DC...
Inashangaza kuwa anajihusisha ktk mambo madogo madogo mno huku akiacha kuumiza akili kushughulika na maswala serious kama vile hali ngumu ya uchumi, tozo kandamizi, hali tete na mbaya ya kisiasa na mengine mengi yanayohusu nchi na wananchi ambayo kwa sasa yanaelea elea hewani tu bila mwongozo thabiti toka kwa Rais kiongozi makini wa nchi...
Angalia matukio anayoshiriki Rais; mfano Royal Tour, kushiriki tamasha la ngoma za kienyeji Magu Mwanza nk nk ni ya kupumbaza tu, yasiyo na positive impact yoyote katika maisha ya watu kwa ujumla. Nyuma ya matukio haya lipo lengo fulani baya nyuma ya pazia. THE TIME WILL TELL...
Naweza kuamini hili la Tundu Lissu kwa 99%...
Narudia tena , niliisema sehemu Anayeongoza nchi ni Mabeyo na Vyombo vya Usalama Mama akiwa kama kivuli ila Majaliwa na mchengelwa hawana wanalojua hapo LISSU naye kachemka!!! Nchi iko kwa Mabeyo kitambo sana
Britanicca