Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
CCM kumejaa matapeli tupuKama Makonda alimtapeli GSM kwa kutumia jina la rais kwa mujibu wa Lissu je Makonda kama Mwenezi wa CCM anaeneza nini kwa niaba ya CCM?
Lissu kama Mwanasheria tunaamini hakukurupuka kumuhusisha makonda na utapeli. Otherwise makonda akanushe tena kwa kupitia mahakama.
Vinginevyo Makonda ni kama wale matapeli wanaowatapeli wananchi KWA majina ya viongozi!
CCM jitengeni na Makonda ni mchafu mtanikumbuka.
Kwani aliyetoa hizo tuhuma ametoa tuhuma kwa ithibati?Makonda akikanusha kwa ithibati thabiti narudi CCM
Mtetee basi na uvamizi wa Clouds Media akiwa na silaha za kivita na jeshi la IkuluMimi sio shabiki wa mambo ya kisiasa hapa JF ila unataka Makonda akanushe tena kwa kupitia Mahakama kwa tuhuma ambazo zimetolewa kwenye media!
Kwahiyo kila anayetuhumiwa kwenye media anatakiwa awe anaenda Mahakamani kukanusha? huu ushabiki wenu wa kisiasa uliopitiliza, kuna muda mnafanya muonekane kama vile hamnazo.
Ukiona mtu anarudia matukio mabaya yawe yake au ya wengine basi huyo mtu ana depression mbaya sana hata kujiuwa anaweza
Simzungumzii yeye tu bali yeyote unaemjua mchunguze sana akiwa na tabia za kurudia mabaya ya mtu basi ni mgonjwa sana na anahitaji msaada wa hali ya juu
Wahi matibabu.GSM NI RAIA FEKI WANAO MILIKI KIKUNDI CHA RAIA FEKI KUAKIKISHA WANAIMILIKI SERIKALI KUWA MALI YAO BINAFSI ....GSM NI JIZI LA TAIFA.....MBONA L8SSU ASWMI CHOCHOTE KUHUSU GSM ?kama MAKONDA ALIFANYA HIVYO NI SAWA KABISA MAANA NI HALALI KUSAMBALATISHA MAFISADI KWA NJIA YOYOTE.
Hakuna sehemu nimesema namtetea mtu hapa,hapa najadili mada na sio kumjadili mtu,jaribu kua muelewa,hii mada haihusu clouds media au hujaelewa mada inahusu nini?Mtetee basi na uvamizi wa Clouds Media akiwa na silaha za kivita na jeshi la Ikulu
AiseeKama Makonda alimtapeli GSM kwa kutumia jina la rais kwa mujibu wa Lissu je Makonda kama Mwenezi wa CCM anaeneza nini kwa niaba ya CCM?
Lissu kama Mwanasheria tunaamini hakukurupuka kumuhusisha makonda na utapeli. Otherwise makonda akanushe tena kwa kupitia mahakama.
Vinginevyo Makonda ni kama wale matapeli wanaowatapeli wananchi KWA majina ya viongozi!
CCM jitengeni na Makonda ni mchafu mtanikumbuka.
HahahaMnataka ushahidi gani zaidi kwani hamkuona clips akivamia Clouds? Acheni utomaso
Hapa anajadiliwa Makonda na uhalifu, ndio maana issues zake zinahusishwa na uenezi kwamba kwa matendo yale anaeneza nini?Hakuna sehemu nimesema namtetea mtu hapa,hapa najadili mada na sio kumjadili mtu,jaribu kua muelewa,hii mada haihusu clouds media au hujaelewa mada inahusu nini?
Lissu na utu uzima wake bado anamwogopa sana Dogo Makonda. Nilitegemea Lissu atuambie sera za CDM na, pia CDM itaondoa VIP kukatika kwa umeme, matatizo ya sukari. Lakin sera, ya Lissu ni Makonda. Kutembea kote huko barabarani unaenda kumwongelea Dogo Makonda?? This is nonsense. We have a long way to go.Kama Makonda alimtapeli GSM kwa kutumia jina la rais kwa mujibu wa Lissu je Makonda kama Mwenezi wa CCM anaeneza nini kwa niaba ya CCM?
Lissu kama Mwanasheria tunaamini hakukurupuka kumuhusisha makonda na utapeli. Otherwise makonda akanushe tena kwa kupitia mahakama.
Vinginevyo Makonda ni kama wale matapeli wanaowatapeli wananchi KWA majina ya viongozi!
CCM jitengeni na Makonda ni mchafu mtanikumbuka.
Asimwogope we unadhani Uhai unanunuliwa Kiwandani?Lissu na utu uzima wake bado anamwogopa sana Dogo Makonda. Nilitegemea Lissu atuambie sera za CDM na, pia CDM itaondoa VIP kukatika kwa umeme, matatizo ya sukari. Lakin sera, ya Lissu ni Makonda. Kutembea kote huko barabarani unaenda kumwongelea Dogo Makonda?? This is nonsense. We have a long way to go.
Shabiki maandazi wa bashiteHakuna sehemu nimesema namtetea mtu hapa,hapa najadili mada na sio kumjadili mtu,jaribu kua muelewa,hii mada haihusu clouds media au hujaelewa mada inahusu nini?
Jambazi makonda AKA bashite haliogopeki na LISU pekee linaogopeka hata na weweLissu na utu uzima wake bado anamwogopa sana Dogo Makonda. Nilitegemea Lissu atuambie sera za CDM na, pia CDM itaondoa VIP kukatika kwa umeme, matatizo ya sukari. Lakin sera, ya Lissu ni Makonda. Kutembea kote huko barabarani unaenda kumwongelea Dogo Makonda?? This is nonsense. We have a long way to go.
Huna akili wewe,mimi naongelea hoja wala sina ushabiki na mtu.Shabiki maandazi wa bashite
Mada inahusu GSM na Makonda kwenye issue ya Nyumba,kua muelewa.Hapa anajadiliwa Makonda na uhalifu, ndio maana issues zake zinahusishwa na uenezi kwamba kwa matendo yale anaeneza nini?
Lissu toka, atwange risasi amekuwa poyoyo tu. Yaan dogo kama Makonda nae, anawanyima usingiz? I remembered in the election of Tanzania in 1995 Mrema didn't discuss his party policy, instead he talked irrelevant issues.Jambazi makonda AKA bashite haliogopeki na LISU pekee linaogopeka hata na wewe
Ahaaaaaa!!!!Asimwogope we unadhani Uhai unanunuliwa Kiwandani?
Kwa upande wangu nitarejea asubuhi mapema.Makonda akikanusha kwa ithibati thabiti narudi CCM
Muulize lissuWe mtoa mada nae makonda Ali toa wapi kiwanja masaki na alinunua lini akiwa anafanya kazi ipi ?