Baltazar Engongo
JF-Expert Member
- May 6, 2024
- 604
- 932
Upo usingizini. Uliza kwa nini ilitumika nguvu wenje kushinda uenyekiti wa kanda, uliza pia kwa nini ilitumika nguvu na pesa sugu kushinda uenyekiti KandaMapema mno kufanya hitimisho. Fedha siyo kila kitu Mkuu kwa kila Mtu.
Upi?Tuache Demokrasia ichukue mkondo wake
Usishangae, ni mtu ambaye japo sina affiliation na chama chochote cha siasa nilikuwa namkubali sana lakini 'kukosa kifua' kama mwanaume anavyopaswa kumesababisha nianze kuwa na wasiwasi nae upande wa leadership capabilities/capacities. Ni bingwa sana linapokuja suala la sheria na mambo yote yanayohusu mikataba lakini busara za kiuongozi na uwezo wa kuifanya institution kubwa kama CHADEMA kuwa kitu kimoja sioni kama uwezo huo licha ya kwamba kiukweli chama chao kinahitaji mtu mwenye charisma kama yake kwa sasa, a populist and vibrant kind of a person. A pushy motherfvcker yeah kwani huu mfumo unaotawala bila ya kutikiswa hakuna kitakachobadilika.Eeeh
Huyu Mbowe anatuona wajinga sana, kila siku mbinu zake ni hizo hizo tu. Sasa tumetambua rasmi kwamba anafanya kazi chafu ya CCM, muda si mrefu atabakia na chawa wake kwenye SACCOS yao na kuungana na VIBARAKA wenzake akina Lipumba, Cheyo n.kNa walifanya Kila juhudi asigombee ila wamegonga Ukuta 👇👇
View: https://www.instagram.com/reel/DD1pJAMiKC_/?igsh=M3N4ZHN5a2l2MGdo
Na nyie wapayukaji mtaenda wapi? Si Bora abakie peke yake kwani mna Msaada gani Sasa kwake? Yeye ni tajiri na yeye ndio kaifikisha hapo ChademaHuyu Mbowe anatuona wajinga sana, kila siku mbinu zake ni hizo hizo tu. Sasa tumetambua rasmi kwamba anafanya kazi chafu ya CCM, muda si mrefu atabakia na chawa wake kwenye SACCOS yao na kuungana na VIBARAKA wenzake akina Lipumba, Cheyo n.k
Ongea maneno yote unayoweza kusema, but remember..God knows the beginning and end of this great nation, usitumie nguvu nyingi za ushawishi km vile wewe ndie mwenye uchungu sana na nchi hii kuliko hata aliyeiumba..elewa mipaka yako! Mungu akishasema hata ulale na shetani hutabadilisha kitu!
Upi?
Uchaguzi hautakuwa wa haki
Majivuno yake yana majibu ya matokeo ya uchaguzi. Demokrasia mbuzi
Usishangae, ni mtu ambaye japo sina affiliation na chama chochote cha siasa nilikuwa namkubali sana lakini 'kukosa kifua' kama mwanaume anavyopaswa kumesababisha nianze kuwa na wasiwasi nae upande wa leadership capabilities/capacities. Ni bingwa sana linapokuja suala la sheria na mambo yote yanayohusu mikataba lakini busara za kiuongozi na uwezo wa kuifanya institution kubwa kama CHADEMA kuwa kitu kimoja sioni kama uwezo huo licha ya kwamba kiukweli chama chao kinahitaji mtu mwenye charisma kama yake kwa sasa, a populist and vibrant kind of a person. A pushy motherfvcker yeah kwani huu mfumo unaotawala bila ya kutikiswa hakuna kitakachobadilika.
Aliondoka Dr Slaa itakua Lissu??Aiseeh!
CCM hii game wameimaliza kibabe Sana.
Lisu akishindwa CCM wameimaliza Kazi waliyoianza ya kuizima CHADEMA.
Kila uchaguzi tumeibiwa kura zetu!;Sabato Njema Wakuu!
Uamuzi wa Mbowe ni sahihi kwa HAKI yake ya kikatiba ila kwa heshima sio uamuzi sahihi. Kwani kushindwa kwake haitakuwa Jambo la kufurahisha na Jambo la heshima. Kustaafishwa kwa kuangukia pua haitakuwa historia nzuri kwa Mhe. Mbowe.
Nina uhakika Lisu atamshinda Mbowe kwa Sababu zifuatazo;
1. Kuondoa uchagadema ndani ya CHADEMA.
Wanachadema wengi hasa wanaotoka kanda zingine hata humu ndani hawafurahishwi na propaganda zinazoendelea kuhusu CHADEMA ni uchagadema.
Kumtoa Mbowe pale kutapunguza hayo madai.
2. Kuondoa kumuabudu mtu.
Kiongozi anapokaa Muda mrefu inajengeka Hali ya kumuogopa, kumuabudu, na yeye kukita mizizi.
Kwa sasa Hapana Shaka Mbowe ni kama mungu mtu hapo CHADEMA. Umungu mtu hutengeneza machawa na worship teams.
3. Wanachadema wengi hawataki kudai HAKI kwa kubembelezana.
Mbowe yeye hupenda kudai HAKI kwa njia ya kumlambalamba mtu miguu. Kumnyenyekea, mazungumzo na njia zote ambazo ni passive.
Kama mjuavyo Njia passive haziletagi matokeo ya haraka. Huweza kuchukua Miaka hata Mia moja. Tofauti na njia active.
CHADEMA wengi wanaamini kwa njia active ambazo Lisu naye huamini hivyo.
Kama CHADEMA ingetumia Njia active kwa kumaanisha Leo hii tungekuwa tunazungumzia habari nyingine hapa. Kariba mpya ingekuwa tayari, hayo mambo ya tume Huru ya uchaguzi yangekuwa mambo madogomadogo kuyashughulikia.
4. Kushindwa kwa Lisu ni kuanguka kwa CHADEMA.
Hilo liko wazi. Wengi wataleta ulinganifu wa sijui wakina Zitto, kina Slaa n.k.
Lakini Lisu lazima ashinde ili CHADEMA iwe hai.
Kwa sasa pale CHADEMA mtu pekee mwenye nafasi ya juu ambaye watu wanaomuona ni mpinzani wa kweli. Yaani anayemaanisha ni Lisu.
Lisu kushindwa ni upinzani kushindwa.
Matokeo ya uchaguzi yataisha Lisu Akiwa mbele kwa 53% Mbowe 46%
Tupumzike
Aliondoka Dr Slaa itakua Lissu??
Kila uchaguzi tumeiba uchaguzi!
As Mwenyekiti na ww umeshindwa kuiba?
Au kubuni New Option!
Kuna kipindi CCM walikuwa wanapiga debe aachie Uenyekiti!; Lakini Kwa Sasa baada ya kumuona ni chui wa karatasi, wanapiga debe aendelee na Uenyekiti😇🙄
Ndoto za mchana!Sabato Njema Wakuu!
Uamuzi wa Mbowe ni sahihi kwa HAKI yake ya kikatiba ila kwa heshima sio uamuzi sahihi. Kwani kushindwa kwake haitakuwa Jambo la kufurahisha na Jambo la heshima. Kustaafishwa kwa kuangukia pua haitakuwa historia nzuri kwa Mhe. Mbowe.
Nina uhakika Lisu atamshinda Mbowe kwa Sababu zifuatazo;
1. Kuondoa uchagadema ndani ya CHADEMA.
Wanachadema wengi hasa wanaotoka kanda zingine hata humu ndani hawafurahishwi na propaganda zinazoendelea kuhusu CHADEMA ni uchagadema.
Kumtoa Mbowe pale kutapunguza hayo madai.
2. Kuondoa kumuabudu mtu.
Kiongozi anapokaa Muda mrefu inajengeka Hali ya kumuogopa, kumuabudu, na yeye kukita mizizi.
Kwa sasa Hapana Shaka Mbowe ni kama mungu mtu hapo CHADEMA. Umungu mtu hutengeneza machawa na worship teams.
3. Wanachadema wengi hawataki kudai HAKI kwa kubembelezana.
Mbowe yeye hupenda kudai HAKI kwa njia ya kumlambalamba mtu miguu. Kumnyenyekea, mazungumzo na njia zote ambazo ni passive.
Kama mjuavyo Njia passive haziletagi matokeo ya haraka. Huweza kuchukua Miaka hata Mia moja. Tofauti na njia active.
CHADEMA wengi wanaamini kwa njia active ambazo Lisu naye huamini hivyo.
Kama CHADEMA ingetumia Njia active kwa kumaanisha Leo hii tungekuwa tunazungumzia habari nyingine hapa. Kariba mpya ingekuwa tayari, hayo mambo ya tume Huru ya uchaguzi yangekuwa mambo madogomadogo kuyashughulikia.
4. Kushindwa kwa Lisu ni kuanguka kwa CHADEMA.
Hilo liko wazi. Wengi wataleta ulinganifu wa sijui wakina Zitto, kina Slaa n.k.
Lakini Lisu lazima ashinde ili CHADEMA iwe hai.
Kwa sasa pale CHADEMA mtu pekee mwenye nafasi ya juu ambaye watu wanaomuona ni mpinzani wa kweli. Yaani anayemaanisha ni Lisu.
Lisu kushindwa ni upinzani kushindwa.
Matokeo ya uchaguzi yataisha Lisu Akiwa mbele kwa 53% Mbowe 46%
Tupumzike
We mgeni na siasa za bongo. Anaanzia wapi kushinda?Sabato Njema Wakuu!
Uamuzi wa Mbowe ni sahihi kwa HAKI yake ya kikatiba ila kwa heshima sio uamuzi sahihi. Kwani kushindwa kwake haitakuwa Jambo la kufurahisha na Jambo la heshima. Kustaafishwa kwa kuangukia pua haitakuwa historia nzuri kwa Mhe. Mbowe.
Nina uhakika Lisu atamshinda Mbowe kwa Sababu zifuatazo;
1. Kuondoa uchagadema ndani ya CHADEMA.
Wanachadema wengi hasa wanaotoka kanda zingine hata humu ndani hawafurahishwi na propaganda zinazoendelea kuhusu CHADEMA ni uchagadema.
Kumtoa Mbowe pale kutapunguza hayo madai.
2. Kuondoa kumuabudu mtu.
Kiongozi anapokaa Muda mrefu inajengeka Hali ya kumuogopa, kumuabudu, na yeye kukita mizizi.
Kwa sasa Hapana Shaka Mbowe ni kama mungu mtu hapo CHADEMA. Umungu mtu hutengeneza machawa na worship teams.
3. Wanachadema wengi hawataki kudai HAKI kwa kubembelezana.
Mbowe yeye hupenda kudai HAKI kwa njia ya kumlambalamba mtu miguu. Kumnyenyekea, mazungumzo na njia zote ambazo ni passive.
Kama mjuavyo Njia passive haziletagi matokeo ya haraka. Huweza kuchukua Miaka hata Mia moja. Tofauti na njia active.
CHADEMA wengi wanaamini kwa njia active ambazo Lisu naye huamini hivyo.
Kama CHADEMA ingetumia Njia active kwa kumaanisha Leo hii tungekuwa tunazungumzia habari nyingine hapa. Kariba mpya ingekuwa tayari, hayo mambo ya tume Huru ya uchaguzi yangekuwa mambo madogomadogo kuyashughulikia.
4. Kushindwa kwa Lisu ni kuanguka kwa CHADEMA.
Hilo liko wazi. Wengi wataleta ulinganifu wa sijui wakina Zitto, kina Slaa n.k.
Lakini Lisu lazima ashinde ili CHADEMA iwe hai.
Kwa sasa pale CHADEMA mtu pekee mwenye nafasi ya juu ambaye watu wanaomuona ni mpinzani wa kweli. Yaani anayemaanisha ni Lisu.
Lisu kushindwa ni upinzani kushindwa.
Matokeo ya uchaguzi yataisha Lisu Akiwa mbele kwa 53% Mbowe 46%
Tupumzike