Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Hayo majeshi yatahitaji miondombinu na huduma nyingine katika majimbo yafanye kazi zake kwa ufanisi,serikali kuu lazima ihakikishe uwepo wa mambo hayo katika majimbo husika.
Pesa za jeshi haziendi majimboni zinatoka serikali kuu kwenda jeshini moja kwa moja Jeshi ni jukumu la serikali kuu sio Jimbo gharama zinaebwa na serikali kuu ya baada ya kupokea michango ya majimbo ya gharama za uendeshaji serikali kuu