Pre GE2025 Lissu atafanya vijana wengi wakapige Kura Uchaguzi Mkuu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuchaguliwa Lissu kuwa Mwenyekiti CHADEMA kutaamsha Ari ya vijana wengi kwenda kupiga Kura uchaguzi Mkuu Oktoba 2025. Tofauti na 2020.

Spana dhidi ya Mbogamboga zitazidi kupitia Mwenyekiti Lissu bila kupepesa mdomo
You are right bahati mbaya 2025 Chadema hatupeleki vijana kuuliwa sababu ya uchaguzi.

Life ni bora kuliko.Uchaguzi
 
Hata Sabaya alikuwa radical zaidi yako. Kapoteana. Hatukushangai.
 
Kuchaguliwa Lissu kuwa Mwenyekiti CHADEMA kutaamsha Ari ya vijana wengi kwenda kupiga Kura uchaguzi Mkuu Oktoba 2025. Tofauti na 2020.

Spana dhidi ya Mbogamboga zitazidi kupitia Mwenyekiti Lissu bila kupepesa mdomo
kwa utetezi wake wa haki, anaweza kuwafanya vijana wengi Chadema kujiingiza kwenye ndoa za jinsia moja na akawapeleka kuolewa ulaya kama njia ya kuwatafutia ajira ulaya. Hiyo ndiyo hatari ya huyo Kibaraka πŸ’
 
Kuchaguliwa Lissu kuwa Mwenyekiti CHADEMA kutaamsha Ari ya vijana wengi kwenda kupiga Kura uchaguzi Mkuu Oktoba 2025. Tofauti na 2020.

Spana dhidi ya Mbogamboga zitazidi kupitia Mwenyekiti Lissu bila kupepesa mdomo
Lissu ndio mtu pekee anae weza kumpiga Spana yeyote bila kufikiri mara mbili
 
Kuchaguliwa Lissu kuwa Mwenyekiti CHADEMA kutaamsha Ari ya vijana wengi kwenda kupiga Kura uchaguzi Mkuu Oktoba 2025. Tofauti na 2020.

Spana dhidi ya Mbogamboga zitazidi kupitia Mwenyekiti Lissu bila kupepesa mdomo
Alipogombania urais alipata vijana?
 
kwa utetezi wake wa haki, anaweza kuwafanya vijana wengi Chadema kujiingiza kwenye ndoa za jinsia moja na akawapeleka kuolewa ulaya kama njia ya kuwatafutia ajira ulaya. Hiyo ndiyo hatari ya huyo Kibaraka πŸ’
Kwanza utaolewa wewe ili ufurahie ndoa usilalamike ukiwa nje ya ndoa.
 
Kwanza utaolewa wewe ili ufurahie ndoa usilalamike ukiwa nje ya ndoa.
BAVICHA wote wa kiume wanaweza kuelewa ulaya mshenga akiwa Kibaraka wao na mtetezi wao huo ufirauni dah πŸ’
 
BAVICHA wote wa kiume wanaweza kuelewa ulaya mshenga akiwa Kibaraka wao na mtetezi wao huo ufirauni dah πŸ’
Akishashindwa Mbowe njoo na ngonjera nyengine ulizozifanyia utafiti uchwara.
Usiache kumsaliti mbowe na uandikishaji mada siku zote kama ulivyokuw unafanya kabla ya uchaguzi.
 
Kuchaguliwa Lissu kuwa Mwenyekiti CHADEMA kutaamsha Ari ya vijana wengi kwenda kupiga Kura uchaguzi Mkuu Oktoba 2025. Tofauti na 2020.

Spana dhidi ya Mbogamboga zitazidi kupitia Mwenyekiti Lissu bila kupepesa mdomo
Lissu kura 514 winner
 
Kuchaguliwa Lissu kuwa Mwenyekiti CHADEMA kutaamsha Ari ya vijana wengi kwenda kupiga Kura uchaguzi Mkuu Oktoba 2025. Tofauti na 2020.

Spana dhidi ya Mbogamboga zitazidi kupitia Mwenyekiti Lissu bila kupepesa mdomo
Sifa za kupiga kura hao vijana wanazo??
 
Kuchaguliwa Lissu kuwa Mwenyekiti CHADEMA kutaamsha Ari ya vijana wengi kwenda kupiga Kura uchaguzi Mkuu Oktoba 2025. Tofauti na 2020.

Spana dhidi ya Mbogamboga zitazidi kupitia Mwenyekiti Lissu bila kupepesa mdomo
Ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…