Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
You are right bahati mbaya 2025 Chadema hatupeleki vijana kuuliwa sababu ya uchaguzi.Kuchaguliwa Lissu kuwa Mwenyekiti CHADEMA kutaamsha Ari ya vijana wengi kwenda kupiga Kura uchaguzi Mkuu Oktoba 2025. Tofauti na 2020.
Spana dhidi ya Mbogamboga zitazidi kupitia Mwenyekiti Lissu bila kupepesa mdomo
HakikaKama kweli CHADEMA wanataka mabadiliko leo ndio leo
Hata Sabaya alikuwa radical zaidi yako. Kapoteana. Hatukushangai.Hao Vijana wapumbavu wakaimize wenzao wa Msumbiji kilichowakuta.
Wameuwawa Frelimo imepita na mgombea wao kibaraka ambae wakati wanauwawa alikuwa Nje amerudi na ataingia kwenye maridhiano
Sasa kazi ni kwao baada ya matokeo ya 2025 maana Lisu hawezi kuwa Rais iwe jua au mvua wamachague au wasimchague.
kwa utetezi wake wa haki, anaweza kuwafanya vijana wengi Chadema kujiingiza kwenye ndoa za jinsia moja na akawapeleka kuolewa ulaya kama njia ya kuwatafutia ajira ulaya. Hiyo ndiyo hatari ya huyo Kibaraka πKuchaguliwa Lissu kuwa Mwenyekiti CHADEMA kutaamsha Ari ya vijana wengi kwenda kupiga Kura uchaguzi Mkuu Oktoba 2025. Tofauti na 2020.
Spana dhidi ya Mbogamboga zitazidi kupitia Mwenyekiti Lissu bila kupepesa mdomo
Lissu ndio mtu pekee anae weza kumpiga Spana yeyote bila kufikiri mara mbiliKuchaguliwa Lissu kuwa Mwenyekiti CHADEMA kutaamsha Ari ya vijana wengi kwenda kupiga Kura uchaguzi Mkuu Oktoba 2025. Tofauti na 2020.
Spana dhidi ya Mbogamboga zitazidi kupitia Mwenyekiti Lissu bila kupepesa mdomo
Alipogombania urais alipata vijana?Kuchaguliwa Lissu kuwa Mwenyekiti CHADEMA kutaamsha Ari ya vijana wengi kwenda kupiga Kura uchaguzi Mkuu Oktoba 2025. Tofauti na 2020.
Spana dhidi ya Mbogamboga zitazidi kupitia Mwenyekiti Lissu bila kupepesa mdomo
Aligombea Enzi za jiweAlipogombania urais alipata vijana?
Kwa hivyo inategemea nani anagombea ? Palestina hujawaona dhidi ya Isreal?Aligombea Enzi za jiwe
Enzi za jiwe Hata ungekua Nani lazima ukaeKwa hivyo inategemea nani anagombea ? Palestina hujawaona dhidi ya Isreal?
Kwanza utaolewa wewe ili ufurahie ndoa usilalamike ukiwa nje ya ndoa.kwa utetezi wake wa haki, anaweza kuwafanya vijana wengi Chadema kujiingiza kwenye ndoa za jinsia moja na akawapeleka kuolewa ulaya kama njia ya kuwatafutia ajira ulaya. Hiyo ndiyo hatari ya huyo Kibaraka π
BAVICHA wote wa kiume wanaweza kuelewa ulaya mshenga akiwa Kibaraka wao na mtetezi wao huo ufirauni dah πKwanza utaolewa wewe ili ufurahie ndoa usilalamike ukiwa nje ya ndoa.
Akishashindwa Mbowe njoo na ngonjera nyengine ulizozifanyia utafiti uchwara.BAVICHA wote wa kiume wanaweza kuelewa ulaya mshenga akiwa Kibaraka wao na mtetezi wao huo ufirauni dah π
Lissu kura 514 winnerKuchaguliwa Lissu kuwa Mwenyekiti CHADEMA kutaamsha Ari ya vijana wengi kwenda kupiga Kura uchaguzi Mkuu Oktoba 2025. Tofauti na 2020.
Spana dhidi ya Mbogamboga zitazidi kupitia Mwenyekiti Lissu bila kupepesa mdomo
Haitawahi kutokea hiyoLissu kura 514 winner
Sifa za kupiga kura hao vijana wanazo??Kuchaguliwa Lissu kuwa Mwenyekiti CHADEMA kutaamsha Ari ya vijana wengi kwenda kupiga Kura uchaguzi Mkuu Oktoba 2025. Tofauti na 2020.
Spana dhidi ya Mbogamboga zitazidi kupitia Mwenyekiti Lissu bila kupepesa mdomo
UjingaKuchaguliwa Lissu kuwa Mwenyekiti CHADEMA kutaamsha Ari ya vijana wengi kwenda kupiga Kura uchaguzi Mkuu Oktoba 2025. Tofauti na 2020.
Spana dhidi ya Mbogamboga zitazidi kupitia Mwenyekiti Lissu bila kupepesa mdomo