Nzagambaaa
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,135
- 1,826
Natamani niwakusanye vijana wotee Tz,hasa wanaotesekaa kukosaa Ajira kwa jeuri tu ya serikali wampigie Lisu kura 2025 chaguo la Mungu.
Imagine Kuna uhabaa wa waalimu,msingi unakuta walimu 5 shule inawatoto 600,halafu kazi kununua mapikipiki na mabus ya Chama,vijana walosoma wapo wanazururaaa.Nchi kama imekatwa kichwaa! Vijana wote wakosa Ajira vote for Lisu2025.
Imagine Kuna uhabaa wa waalimu,msingi unakuta walimu 5 shule inawatoto 600,halafu kazi kununua mapikipiki na mabus ya Chama,vijana walosoma wapo wanazururaaa.Nchi kama imekatwa kichwaa! Vijana wote wakosa Ajira vote for Lisu2025.