Hahahaha😂😂Kwahiyo kaibiwa kura!?
Chama chenu Cha Matapeli kimewehuka
Lisu leo amekuwa Mbeligiji???Lisu leo siyo raia wa Tanzania tena?Lisu Mungu ambariki abariki makazi yake na jamii yake yote kule kwao Ikungi Singida.Wakuu,
Nimekaa nimetafakari sana Tundu Lissu ataiongozaje CHADEMA wakati anaishi Ubelgiji? Mke wake anafanya kazi huko na watoto wake wanasoma huko sio rahisi kuondoka kawa ghafla sasa huyu mwenyekiti ataongozaje chama akiwa Ubelgiji, au ataongoza kwa video call?
Unalo dogo!; la kuvunda limevunda Halina Ubani....Wakuu,
Nimekaa nimetafakari sana Tundu Lissu ataiongozaje CHADEMA wakati anaishi Ubelgiji? Mke wake anafanya kazi huko na watoto wake wanasoma huko sio rahisi kuondoka kawa ghafla sasa huyu mwenyekiti ataongozaje chama akiwa Ubelgiji, au ataongoza kwa video call?
Mke wake anafanya kazi huko na watoto wake wanasoma huko
Jibu hoja mkuuUnalo dogo!; la kuvunda limevunda Halina Ubani....
Mmeliwa na mtaendelea kuliwa sisi hatutaki kuliwa endeleeni na Wasira wenu.Waliomchagua ndio ambao akili hawana
Kwani TAL anaishi nje ya nchi?Ndio utuambie sasa ataongozaje akiwa nje ya nchi, sijawahi kuona kiongozi anaeongoza kutokea nje ya nchi
Yes, anaishi ubelgijiKwani TAL anaishi nje ya nchi?
MAUMIVU YAKIZIDI JIUWEWakuu,
Nimekaa nimetafakari sana Tundu Lissu ataiongozaje CHADEMA wakati anaishi Ubelgiji? Mke wake anafanya kazi huko na watoto wake wanasoma huko sio rahisi kuondoka kawa ghafla sasa huyu mwenyekiti ataongozaje chama akiwa Ubelgiji, au ataongoza kwa video call?
wako na mama yao ubelgiji wanasomaWatoto wake wapo USA na ni watu wazima...nilimsikia akusema hivi siku anahojiwa na Clouds TV home kwake
Shida iko wapi.Familia yake iko ubelgiji, muda mwingi anakuwa huko
Ni haki yake,acha wivu wa uke wenza wewe.Na sio.muda mrefu ataenda zake ubelgiji
Wakuu,
Nimekaa nimetafakari sana Tundu Lissu ataiongozaje CHADEMA wakati anaishi Ubelgiji? Mke wake anafanya kazi huko na watoto wake wanasoma huko sio rahisi kuondoka kawa ghafla sasa huyu mwenyekiti ataongozaje chama akiwa Ubelgiji, au ataongoza kwa video call?
HAKIKA.MAUMIVU YAKIZIDI JIUWE
Familia ya TAL haipo Ubeligiji,hilo ulijueYes, anaishi ubelgiji
mkuu, hoja hapa ni lisu kuongoza chama kutokea ubelgijiHahahaha, hii ni propaganda ya kijinga.
Siku watu wengi sio wajinga kama zamani, ndio chama kiko busy na akina Doto magari, akina Nandy nk huku makada mnaburuzwa tu
iko wapi?Familia ya TAL haipo Ubeligiji,hilo ulijue
mkuu, hoja hapa ni lisu kuongoza chama kutokea ubelgiji