Pre GE2025 Lissu: CHADEMA ipo nusu kaputi, Mbowe hataki kupambana na Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
ndo mjue effect ya asali. mbowe alilamba asali ya mama na kula sega kabisa sasa mdomo mzito balaa
 
Japo Lisu naye kuna maneno anayaongea yanamfunga. Kama kuna mabadiliko ya katiba na sera za chama kwann hakutumia nafasi yake ya makamu mwenyekiti kuchagiza yafanyike?
Chama ni mali ya Mzee Mbowe ,unadhani kura moja ya Lissu ndani ya vikao inasaidia nini?imagine hela ya chama inaingia kwenye account binafsi hadi leo ?
 
Tatizo team Mbowe wameanza kumtungia Lissu mizengwe, wanatengezeza chats za whatsapp fake kuonyesha Lissu anatumiwa na Msigwa.
Kuna kiongozi mmoja wa kanda alinidekeza hiki kwa masikitiko makubwa.
Walau msigwa anayo akili ya kumzidi Mzee Mbowe ,hapa wanazidi kujiharibia tu.
 
Hakuna kosa mkuu, ndo demokrasia tunayoipigania, ni uamuzi wake, kama walivyo wengine wameamua kuendeshwa na mwamba
Machawa wa mzee Mbowe wanaamini kuwa huyu mzee ni malaika anaeishi🙆‍♂️🙆‍♂️
 
CCM hawataki Lisu awe Mwenyekiti sababu hawezi kuhongwa kirahisi.Aliyepo akioewa 500ml au bilion anauza mechi. Lisu yupo vizuri ila yupo kwenye 'chama maslahi'.Mpango uliyopo ni kuhakikisha mbowe anaendelea kubaki mwenyekiti,hili ndo ccm wanalitaka.Lisu ana watu wengi hata ndani ya ccm(nikiwemo mimi)ambao watamuunga mkono popote atakapoenda ila asije ccm.
 
Hivi ukiwaweka hata kwenye mizani kati ya Mbowe na Lisu nani mwenye CV nzito? nani msomi? bilashaka Lisu ana CV ya kueleweka.
 
Hebu tuwekeeni CV ya Mbowe na CV ya Lisu hapa ili tuone nani zaidi.
 
Kama hii ni Kweli, Erythrocyte wangu tafuta kazi ingine
 
Nani alikuwa anauliza ubinafsi wa Tundu Lissu? Kama hujauona basi husaidiki katika kusoma between lines
 
Lissu lazima awe mbaya kwa kuwa amemchalenji kipenzi chenu.

Mbowe anafanya biashara ya siasa.

Ajawai jitokeza kujibu tuhuma za rushwa kutoka kwa Abdul kwenye chaguzi za ndani za chama zilizotolewa na msadizi wake Tundu Lissu.

Mbowe hataki kupisha wengine waongoze chama sasa kugombea kwa Lissu anakuwa mbaya. Lazima alazimishwe kutoka kama hataki kutoka kwa heshima na ukishaingia kwenye uchaguzi utawekwa wazi madudu yako.

Mbowe hajawai sema maridhiano ajenda zilikuwa ni zipi anadanganya wafuasi wake na vitu cheap kama kuruhusiwa mikutano ya hadhara ila issues za maridhiano anafanya siri ila anataka watu wamuamini kwa kuwa yeye ni malaika.

Mbowe kaitaka mwenyewe aibu angesoma alama za nyakati watu wamemchoka.
 
Kama Chadema inapokea pesa za CCM,yeye atashindia wapi Sasa zaidi ya kubwabwaja?
 
Wananchi wa Nchi gani hao ambao watakuwa mbuzi wa kafara Kwa maslahi ya Chadema? 😆😆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…