ginyisi
JF-Expert Member
- Apr 6, 2023
- 287
- 465
Na akamlipa stahiki ambazo chini ya Magufuli asingeweza kupata. Akamfutia na kesi zake 2 mahakama ya Kisutu....
Ushasema stahiki zake, au hujui maana ya stahiki ndugu yangu....apo kafuata sheria tu ambapo sidhani kama anastahili kusifiwa, kupongezwa au kunyenyekewa kwa hilo!
Ushasema stahiki zake, au hujui maana ya stahiki ndugu yangu....apo kafuata sheria tu ambapo sidhani kama anastahili kusifiwa, kupongezwa au kunyenyekewa kwa hilo!