Lissu: Kauli ikiwa haina maana hata kama aliyesema ni Rais haitabadilika kuwa na mantiki

Lissu: Kauli ikiwa haina maana hata kama aliyesema ni Rais haitabadilika kuwa na mantiki

Context matters. Context ya ukosoaji kwa wakati huu ni Mkataba wa DP World. Rais anasema mmesikia wanatukosoa huku, kule kila mahali. Yeyote anayesikia ukosoaji anaelewa DP World inahusika.

Tunaelewa kuwa Rais hakumaanisha huo mkataba pekee, kwani Huwezi kuingiza watu serikalini kwa kigezo Kimoja tu cha ukosoaji wa mkataba mmoja mbovu kama huu wa DPworld.

Lakini ukosoaji wa kisiasa hauwezi kuwa namna bora ya kuingiza watu kwenye utumishi wa serikali. Siasa iachwe ichukue mkondo wake na mambo ya kitaalamu yaachwe yachukue njia yake.

Bado kuna faulty logic kwenye maelekezo ya Mh. Rais. Aambiwe tu kuwa yatafanyiwa kazi. Na hao akina Lissu nao waendelee kuyapinga kwa lugha kali kabisa yale mauchafu yanayoletwa kinyume na sheria za nchi.
Huko ni kutafuta contradiction ya lazima kwa alichoongea raisi wakati the message was clear.

Kwanza hiyo tume ya bandari wajumbe wake wapo clear kwenye IGA na majukumu yao. Imeelezwa tume ya Tanzania itahusisha watumishi wa TPA, other external stakeholders wa bandari na watumishi kutoka wizara ya uchukuzi.

Majukumu ya tume ni kujadili maswala ya uwekezaji wa bandari na kujaribu kusuluhisha migogoro (early dispute resolution), na tume zote mbili ya Tanzania na DPW wana-report kwa katibu mkuu wa uchukuzi.

Kwa hivyo hakuna uhusiano wowote wa tume ya uwekezaji kwenye bandari na tume aliyoongelea raisi.

Na ilikuwa wazi tume gani raisi alikuwa ana maanisha ndio maana akamtaka Mafuru alifanyie kazi yeye kama ‘treasury registrar’ tume ya mipango wizarani ipo chini yake.

Ni hivi hakuna contradiction yeyote zaidi ya ‘listening bias’ watu kutaka kusikia wanachotaka wao; badala ya ku-decode the intended message.
 
Hapo watanzania ndipo tunapokosea yani asiseme ukweli wa sababu alipata feva hiyo sio sawa ni ubinafsi uliovuka mipaka na ndio mana Mano mengi hayaendi kwa kuoneana aibu.

lissu yuko sahihi kabisa na ana baraka zake kutoka kwa Mungu juu Kwa sababu anafanya Kwa ajili ya Taifa la Tanzania bila kujali yeye alifanyiwa nini na nani.
issuesiyo kusema ukweli shida iko kwem=nye matusi aliyotukana hivi kweli mtu akuambie matope kichwani yaani amekudharau sana huyu anahitaji akachunguzwe na kichwani pengine ubongo umegeukia sehemu isiyo yake
 
Nafuta kauli zote nilizowahi kumtetea Tundu Lissu. Huyu ni mnyama tu na alistahili risasi zilizo mpindisha miguu, na haiwezi kunyooka tena
Inakusaidia nini ukifuta au ukiziacha?
 
Nina declare interests. Hata mimi nina thread 2 zinazokosoa makubaliano ya DP WORLD na Tanzania kama:-

(1) Rais Samia unao muda wa kujisahihisha; Pokea maoni ya kuboresha mkataba au futa mkataba wa DP WORLD na thread nyingine ni kama ifuatavyo:

(2) Jebra, Mtobesya na Wanasheria wengine, fungueni kesi dhidi ya Mkataba wa DP World

Sikiliza hii clip ya dakika 5 halafu tathmini kama afya ya akili ya Tundu Lissu iko sawa. Kumbuka Rais Samia akiwa Makamu ndiyo kiongozi pekee wa nafasi ya juu aliyemtembelea kumuona Tundu Lissu akiwa Nairobi hospital.

Kisha akamtembelea Brussels baada ya kuwa Rais. Na akamlipa stahiki ambazo chini ya Magufuli asingeweza kupata. Akamfutia na kesi zake 2 mahakama ya Kisutu

View attachment 2692011
Hata wazazi walio kuzaa wakikosea una wajibu kuwakosoa, kukuelewa na kukubaliana nawe ni uchaguzi wao.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
..kinachotafutwa ni wakosoaji wote wa mkataba wa Dp wafunguliwe kesi na wafungwe.

..Ccm hawajishughulishi tena kujibu hoja kwenye majukwaa mbalimbali
Chongolo kahitimisha, swala la bandari ni la CCM ( kupata hela za uchaguzi ujao) , mjadala ufungwe.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Nina declare interests. Hata mimi nina thread 2 zinazokosoa makubaliano ya DP WORLD na Tanzania kama:-

(1) Rais Samia unao muda wa kujisahihisha; Pokea maoni ya kuboresha mkataba au futa mkataba wa DP WORLD na thread nyingine ni kama ifuatavyo:

(2) Jebra, Mtobesya na Wanasheria wengine, fungueni kesi dhidi ya Mkataba wa DP World

Sikiliza hii clip ya dakika 5 halafu tathmini kama afya ya akili ya Tundu Lissu iko sawa. Kumbuka Rais Samia akiwa Makamu ndiyo kiongozi pekee wa nafasi ya juu aliyemtembelea kumuona Tundu Lissu akiwa Nairobi hospital.

Kisha akamtembelea Brussels baada ya kuwa Rais. Na akamlipa stahiki ambazo chini ya Magufuli asingeweza kupata. Akamfutia na kesi zake 2 mahakama ya Kisutu

View attachment 2692011
Maana ya kumruhusu Lissu aongee huko majukwaani mpaka achoke ni pana sana. Kwamba wanaomsikiliza wanapima anachokiongea na kadri muda unavyopita anakosa kipya chenye kuvutia akili na masikio.

Suala la bandari hana hoja yoyote ya maana ila anafanyia kazi tumbo lake. Unapopinga mkataba uje na hoja kuuhusu huo huo mkataba ambayo itakuwa na jipya lenye kujenga nchi.

Ni vurugu tupu ambazo ameamua kuzifanya baada ya kukosa hoja zenye mashiko kuhusu bandari.
 
Ukali wa maneno ya Lissu ni dalili kuwa hawezi kuwa kiongozi wa watu. Hata angeshinda uRais 2020 sidhani kama angekuwa na muda wa kutawala.
Kutawala ni zaidi ya kuwasilisha hoja juu ya jukwaa kwenye mkutano wa hadhara.

Ni sanaa inayosomewa inayochanganyika na kipaji cha asili cha mtu binafsi.

Lissu hajawahi kufanya kazi yenye mrejesho unaoweza kupimwa moja kwa moja na watu anaowaongoza na pia sidhani kama anacho kipaji cha kuvumilia kukosolewa akiwa ndio kiongozi mkuu.

Alimsema sana hayati JPM lakini simuoni akiwa na tofauti nae katika suala zima la uongozi wa juu.
 
Mh. Rais wakati anawapisha waziri na watendaji wa juu wa wizara ya uchumi, mipango, na uwekezaji liitoa maono yake anavyotaka tume ya mipango ifanye kazi; akashauri watendaji wasiogope kuchukua watu kutoka nje serikalini hata wale wanaopinga namna serikali inavyopanga na kutekeleza mipango yake ya uchumi.

Wale wa kusikia bila kusikiliza wakalibeba kana kwamba Rais Samia amesema wale wanapinga makubaliano ya bandari waite kwenye tume ya mipango- na Mh. Lissu akauita ushauri wa rais , matope au presidential rubbish.

View attachment 2692925

Mh. Lissu is sick and seriously sick
Taahira yule ni mtu aliyezowea kusema uongo na kupinduwa pinduwa maneno.
 
Sijawahi kupigwa risasi mkuu kwa hiyo nina akili timamu
Wagonjwa wote wa akili, huwa hawakiri ni wagonjwa. Lakini hakika wewe ni mgonjwa.

Mtu mwenye akili timamu hawezi kusema kuwa yeye siyo mgonjwa wa akili eti kwa sababu hajawahi kupigwa risasi!! Hivi wale wagonjwa waliojazana Milembe Hospitali, walipigwa risasi? Hawa wagonjwa wanaobeba makopo na kula majalalani, wamepigwa risasi? Ndiyo maana tunasema wewe ni mgonjwa wa akili ambaye hujafikia critical stage, lakini unaenda huko taratibu.
 
Wagonjwa wote wa akili, huwa hawakiri ni wagonjwa. Lakini hakika wewe ni mgonjwa.

Mtu mwenye akili timamu hawezi kusema kuwa yeye siyo mgonjwa wa akili eti kwa sababu hajawahi kupigwa risasi!! Hivi wale wagonjwa waliojazana Milembe Hospitali, walipigwa risasi? Hawa wagonjwa wanaobeba makopo na kula majalalani, wamepigwa risasi? Ndiyo maana tunasema wewe ni mgonjwa wa akili ambaye hujafikia critical stage, lakini unaenda huko taratibu.
Fanya tafiti kidogo, utaona kuwa kweli Tundi hamnazo, jisomee wataaalaam wanasema nini:

What is trauma?​

Traumatic events are those that put you or someone close to you at risk of serious harm or death. Our usual ways of coping are overwhelmed, leaving us feeling frightened and unsafe. We can be traumatised through:

  • one-off events such as an accident, violent attack or natural disaster...

The long-term effects of trauma​

Trauma can make you more vulnerable to developing mental health problems. It can also directly cause post-traumatic stress disorder (PTSD). Some people misuse alcohol, drugs, or self-harm to cope with difficult memories and emotions.

Soma zaidi: long term trauma can cause serious mental health - Google Suche
 
Huwezi kutumia akili zako kisa Mh. Lissu kasema?! Mie natumia zangu, nilimskiliza rais wakati anasema, wala hakuwa ameongelea hata kidogo ujinga unaoendelea wa kupinga bandari kuboreshwa; ila kwa vile mnataka ligi hasa huyo Lissu. mnadhani alikuwa anaongelea bandari.
Rubbish
 
Back
Top Bottom