Mwanasiasa mtata
JF-Expert Member
- Oct 25, 2022
- 1,520
- 3,781
Acha ujinga. Nani kakudanganya rais hawezi kuongea pumba?Ukali wa maneno ya Lissu ni dalili kuwa hawezi kuwa kiongozi wa watu. Hata angeshinda uRais 2020 sidhani kama angekuwa na muda wa kutawala.
Kama marais wamefanya mambo mengi ya kipuuzi na kijinga, watashinfwaje kuongea upuuzi?