Lissu: Kauli ikiwa haina maana hata kama aliyesema ni Rais haitabadilika kuwa na mantiki

Lissu: Kauli ikiwa haina maana hata kama aliyesema ni Rais haitabadilika kuwa na mantiki

Mkuu umesikiliza vizuri, Rais alikuwa anaongelea tume ya mipango na wako watu wengi wanatoa maoni yao juu ya namna serikali inavyopanga mipango yake. Waingizwe kwenye tume ya mipango.
Sijui kama unanielewa mkuu
 
Nadhani tafsiri za rais alikuwa anamaanisha nini au alikuwa anataka kusema nini, ni kazi ya kurugenzi ya Rais, Msemaji wake alitakiwa atolee ufafanuzi kama jambo halijaeleweka na linapaswa kueleweka, ila likisemwa na mtu yeyeto ambaye sio muambata wake ni kuzidisha kuharibu taarifa, huna tofauti na unaye mkosoa maana na wewe umelewa unavyoelewa wewe, na yeye kaelewa ulivyoelewa yeye.

kama dalasani tu, tunaweza kuwa mia mbili, na kila mtu akaelewa kwa namna yake.
 
Mh. Rais wakati anawapisha waziri na watendaji wa juu wa wizara ya uchumi, mipango, na uwekezaji liitoa maono yake anavyotaka tume ya mipango ifanye kazi; akashauri watendaji wasiogope kuchukua watu kutoka nje serikalini hata wale wanaopinga namna serikali inavyopanga na kutekeleza mipango yake ya uchumi.
Wale wa kusikia bila kusikiliza wakalibeba kana kwamba Rais Samia amesema wale wanapinga makubaliano ya bandari waite kwenye tume ya mipango- na Mh. Lissu akauita ushauri wa rais , matope au presidential rubbish.



Mh. Lissu is sick and seriously sick
comte, mbona umehitimisha bandiko lako bila kutupa nafasi na sisi tulijadili!
Mh. Lissu is sick and seriously sick
 
Nadhani tafsiri za rais alikuwa anamaanisha nini au alikuwa anataka kusema nini, ni kazi ya kurugenzi ya Rais, Msemaji wake alitakiwa atolee ufafanuzi kama jambo halijaeleweka na linapaswa kueleweka, ila likisemwa na mtu yeyeto ambaye sio muambata wake ni kuzidisha kuharibu taarifa, huna tofauti na unaye mkosoa maana na wewe umelewa unavyoelewa wewe, na yeye kaelewa ulivyoelewa yeye.

kama dalasani tu, tunaweza kuwa mia mbili, na kila mtu akaelewa kwa namna yake.
Huwezi kutumia akili zako kisa Mh. Lissu kasema?! Mie natumia zangu, nilimskiliza rais wakati anasema, wala hakuwa ameongelea hata kidogo ujinga unaoendelea wa kupinga bandari kuboreshwa; ila kwa vile mnataka ligi hasa huyo Lissu. mnadhani alikuwa anaongelea bandari.
 
Sijui kama unanielewa mkuu
Nakuelewa- na nina kwambia hauko sahihi. Tume ya mipango na namna ya kupanga mipango havina uhusiano wowote na mjadala wa bandari; ila kwa vile ndilo mnalotaka kusikia na kusema- endeleeni huku mkijua rais Samia nadhani alimaanisha tume ya mipango na wakosoaji wa namna serikali inavyopanga mipango yake. Ndivyo mimi nilivyoelewa, sikulazimishi uwe mimi kwa sababu wewe siyo mimi
 
Huwezi kutumia akili zako kisa Mh. Lissu kasema?! Mie natumia zangu, nilimskiliza rais wakati anasema, wala hakuwa ameongelea hata kidogo ujinga unaoendelea wa kupinga bandari kiboreshwa; ila kwa vile manataka ligi hasa huyo Lissu. mnadhani analikuwa anaongelea bandari.
shida ukishikiwa akili ndio unabaki hivyo hivyo, na hata hiyo akili unayojinasibu kuwa nayo huna, mimi sio shabiki wa lisu na napinga alichokisema ,ila ungetumia akili kidogo ungeelewa, naangalia uzito wa neno na kuoanisha uzito wa jambo kwa jamii, hapo ndio kazi ya kurugenzi ya rais ifanye kazi.

kwa mfano rais kasema muda mwingi umepita na upotoshaji umekuwepo nani asemee tafsiri, ni wewe au tudhani? lakini kuna watu wanalipwa kwa shughuli hiyo, ya kutoa tafsiri sahihi ya nini kilichoongelewa. kwa hiyo kuja hapa na kuongea kitu ambacho hakijatolewa ufafanuzi, wewe na lisu hamna tofauti kwa sababu mko kwenye dalasa moja na mwalimu wenu kashasema na uwelewa wenu ni tofauti. kwa hiyo kujifanya wewe umemwelewa zaid samia kuliko lisu ni tafsiri ambayo kurugenzi ya ikulu ilitakiwa iieleze mkuu.

baki na akili zako zuhura
 
shida ukishikiwa akili ndio unabaki hivyo hivyo, na hata hiyo akili unayojinasibu kuwa nayo huna, mimi sio shabiki wa lisu na napinga alichokisema ,ila ungetumia akili kidogo ungeelewa, naangalia uzito wa neno na kuoanisha uzito wa jambo kwa jamii, hapo ndio kazi ya kurugenzi ya rais ifanye kazi.

kwa mfano rais kasema muda mwingi umepita na upotoshaji umekuwepo nani asemee tafsiri, ni wewe au tudhani? lakini kuna watu wanalipwa kwa shughuli hiyo, ya kutoa tafsiri sahihi ya nini kilichoongelewa. kwa hiyo kuja hapa na kuongea kitu ambacho hakijatolewa ufafanuzi, wewe na lisu hamna tofauti kwa sababu mko kwenye dalasa moja na mwalimu wenu kashasema na uwelewa wenu ni tofauti. kwa hiyo kujifanya wewe umemwelewa zaid samia kuliko lisu ni tafsiri ambayo kurugenzi ya ikulu ilitakiwa iieleze mkuu.

baki na akili zako zuhura
Mkuu sijui kwa nini hujiamini? Jiamini, una Mungu wako. Nakubaliana na wazo lako kuwa, baada ya alichosema Lissu, ofisi ya rais inatakiwa kuja na ufafanuzi ambao utaondoa hii sintofahamu.
 
Mh. Rais wakati anawapisha waziri na watendaji wa juu wa wizara ya uchumi, mipango, na uwekezaji liitoa maono yake anavyotaka tume ya mipango ifanye kazi; akashauri watendaji wasiogope kuchukua watu kutoka nje serikalini hata wale wanaopinga namna serikali inavyopanga na kutekeleza mipango yake ya uchumi.
Wale wa kusikia bila kusikiliza wakalibeba kana kwamba Rais Samia amesema wale wanapinga makubaliano ya bandari waite kwenye tume ya mipango- na Mh. Lissu akauita ushauri wa rais , matope au presidential rubbish.



Mh. Lissu is sick and seriously sick
Yaani lisu na mbowe ni viumbe visivyo na shukrani. Rais wala hakutamka kabisa neno bandari, yaani wao wamekurupuka mno. Ila inasikitisha sana.
 
Mh. Rais wakati anawapisha waziri na watendaji wa juu wa wizara ya uchumi, mipango, na uwekezaji liitoa maono yake anavyotaka tume ya mipango ifanye kazi; akashauri watendaji wasiogope kuchukua watu kutoka nje serikalini hata wale wanaopinga namna serikali inavyopanga na kutekeleza mipango yake ya uchumi.

Wale wa kusikia bila kusikiliza wakalibeba kana kwamba Rais Samia amesema wale wanapinga makubaliano ya bandari waite kwenye tume ya mipango- na Mh. Lissu akauita ushauri wa rais , matope au presidential rubbish.

View attachment 2692925

Mh. Lissu is sick and seriously sick
Unafafanua kwa utashi wako.
 
Msikilize Tundu Lisu! Kwa hili nampa tano [emoji817] Tundu Lissu


 
Ujinga wa Lissu ni kuwa, yeye anafikiri anachokisema yeye ndio 100% sahihi. Anasema law s. wameshatoa mapendekezo yao na anahoji kuwa hawa Law S. kwenye kamati watajadili nini. Nani alimwambia kuwa hakuna mapendekezo ya upande mwingine.

Lissu huwa simsikilizi, nimepitia hapa kwa bahati mbaya tu baada ya kuona picha ya Samia ktk Klipp.
 
Ukali wa maneno ya Lissu ni dalili kuwa hawezi kuwa kiongozi wa watu. Hata angeshinda uRais 2020 sidhani kama angekuwa na muda wa kutawala.
Kwa kweli hata kumchagua kule Jimboni wakati ule, ilikuwa ni bahati yake sana. Hawezi kupata nafasi ya juu kama hiyo tena. Ni chafua chafua huyu.

Hata CHADEMA wanahangaika jinsi ya kumtosa ktk nafasi ya makamu mwenyekiti. Ndio maana wanataka wamlete Dr Slaa, japo naye kachoka akili, lakini ndio atayemuweza huyu ropoka ropoka.
 
Watanzania utamaduni wetu ni kuwa wanafiki na kutopenda ukweli .kila mtanzania anajua kuwa kuwakaribisha wakosoaji kujiunga na uchafu kuwa ni presidential rubbish ila Kwa kuwa kasema lissu ndo anaonekana mbaya .lissu is right naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom