Ukali wa maneno ya Lissu ni dalili kuwa hawezi kuwa kiongozi wa watu. Hata angeshinda uRais 2020 sidhani kama angekuwa na muda wa kutawala.
..Samia ana kauli tamu kwelikweli, lakini ufisadi wake kama huu wa bandari ni mchungu kama shubiri.
..sidhani kama ukali wa kauli za mhusika ni kipimo sahihi cha uongozi au uadilifu wake.
..kinachomdhibiti kiongozi; matendo, na tabia zake, ni katiba na sheria nchi.