Lissu: Kauli ikiwa haina maana hata kama aliyesema ni Rais haitabadilika kuwa na mantiki

Bado Samia ni muungwana. You can talk any shut you want on her, but she remains an honest, righteous and God fearing president
 
Mkuu sijapingana na kukosoa mkataba, bali ni ukali wa maneno ya Lissu. Jamaa hama mshipa wa aibu wala chembe ya shukrani
Shukrani ya kitu Gani? Those were and still are his rights
 
Mkuu mbona wewe unaandika vizuri na tunaelewa!! Lakini huyu jamaa anamwita Rais ni akili au matope?? Sidhani hata kama familia yake inakubaliana kwenye hili
Yes kauli zake ni matope, siyo kuwa yeye ndiye matope
 
Mh: Lissu anajitambua vilivyo na ndiye mtetezi wa cc wanyonge, acheni uchawa wenu! Nchi hii inatuhusu hasa cc Watanganyika achana na hao wanaotaka kututumbukiza shimoni, stupid.
 
Bado Samia ni muungwana. You can talk any shut you want on her, but she remains an honest, righteous and God fearing president
Samia huyu aliyesaini mkataba na DPW kwa siri ndiye honest na righteous?

Huyu aliyesema askari wa CCM wangemuua Tundu Lissu kwani hawakosi shabaha ndiye righteous?

Huyu aliyesema watu wakimpigia kura au wasipompigia kura atashinda tu uchaguzi ndiye God fearing?

What are you smoking?
 
Mambo ya kumtembelea na ela za kumlipa stahiki zake hakutoa mfukoni mwake.
Nyie ndio majinga na machawa machache yanayoamini hata maendeleo haya yanafadhiliwa na mshahara wa raisi huyu wa kike.
Kuarque na mpumbavu ni fursa kwake kutumia uzoefu wake wa kijinga kukushusha na ikibidi kukudefeat uko ujingani alikokufikisha.
Tuepuke mabishano na hii mijitu michawa na mpumbafu
 
Samia alifanya yale kama binadamu. Ila waswahili walisema "Tenda wema uwende zako, usingoje shukrani"

Na huyu aliyetendewa wema ni PUNDA tu
Ule ni wajibu wa kiongozi kuonesha good will, usifanye kama vile Tundu Lissu alifanyiwa upendeleo kwenda kuangaliwa hospitali.

Tundu Lissu hakufanyiwa upendeleo kwenda kuangaliwa hospitali, na Samia asingeenda hilo lisingempunguzia lolote Tundu Lissu.

Unafanya kama vile Samia alikuwa na kifuko pekee cha dawa ambazo zimemponya Tundu Lissu, na bila Samia kumpa hicho kifuko, Tundu Lissu angefariki.

Samia hakuwa na umuhimu huo unaompa.
 
Sawa lakini Lissu si anatakiwa awe na staha basi katika kumkosoa Mama.

Akosoe Sawa... Ila akumbuke hata punje ya weka basi....

Hutaja kataaa kukosolewa Ila staha Kaka..

Imagine Kiranga wewe MTU anasema mawazo yako ni rubbish??
 
Sawa lakini Lissu si anatakiwa awe na staha basi katika kumkosoa Mama.

Akosoe Sawa... Ila akumbuke hata punje ya weka basi....

Hutaja kataaa kukosolewa Ila staha Kaka..

Imagine Kiranga wewe MTU anasema mawazo yako ni rubbish??
Hapana,

Samia kakosa kujistahi mwenyewe kwanza, hivyo, akivunjiwa staha ni sawa tu.

Kumstahi mtu asiyejistahi ni kosa.

Tatizo letu Watanzania wengi tunaendekeza sana staha, hata kwa mtu asiyejistahi.

Mtu akisaini mikataba kijinga, unamuita tu huyu mjinga, ukimstahi na kurembaremba hata yeye mwenyewe utakuwa humtendei haki ya kumjulisha kwamba ni mjinga apate nafasi kujiongeza.
 
Mkuu kunywa wine ntalipa
 
Nimekerwa na kauli za Tundu Lissu ambazo hazina staha wala shukrani. Binadamu wa kawaida mwenye akili sawa sawa hawezi kuongea kauli zile kwa Rais Samia kwa mema aliyomtendea
Shukrani haiombwi
 
Mkuu kunywa wine ntalipa
Mkuu na wewe unaona hili tatizo la kujifaragua na fake modesty na staha staha za kijinga pia?

Rais akiharibu unampa za uso tu, staha anapewa mtu anayejistahi.

Mtu rais mzima anasaini mikataba kama hajui kusoma, unamstahi ili iweje?

Unamchana kisawasawa tu.
 
Kumtembelea Lissu Hospitali siyo rushwa ya kumnyamazisha hata akafumbia macho mikataba ya aibu , kingine ni hiki , Stahiki alizolipwa Lissu haikuwa hisani ya mtu , ile ni halali yake kabisa .
 
Kumtembelea Lissu Hospitali siyo rushwa ya kumnyamazisha hata akafumbia macho mikataba ya aibu , kingine ni hiki , Stahiki alizolipwa Lissu haikuwa hisani ya mtu , ile ni halali yake kabisa .
Kwanini hakuzipata wakati wa Magufuli?
 
Huyo lissu ana mtindio wa ubongo zile risasi alizopigwa na magufuli zimemleteq madhara kichwani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…