Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
- Thread starter
- #221
Bado Samia ni muungwana. You can talk any shut you want on her, but she remains an honest, righteous and God fearing presidentMuungwana nani sasa?
Samia? Huyo aliyesema askari wa CCM hawakosei kupiga risasi, wangemuua Lissu?
Huyo aliyesema watu wakimpigia kura au wasipompigia kura yeye hajali, kwa sababu ana uhakika wa kushinda?
Huyo anayesaini mikataba kama mtu asiyejua kusoma?