Lissu: Kauli ikiwa haina maana hata kama aliyesema ni Rais haitabadilika kuwa na mantiki

Sasa kumtembelea mtu hospitali na kumlipa stahiki zake kisheria inakuwa ndio kinga ya kumtetea katika kufanya mambo ya hovyo au vipi? 🤣

Unafiqi ni mbegu mbaya sana iliopandwa na chama cha mambuzi to an extent inataka kufanywa kuwa norm ya watanzania. Yani usipokuwa mnafiki you become a threat to other guys.
 
Hivi Lisu kulipwa stahiki zake, na kufutiwa kesi yake, vilikuwa ni rushwa ya kumfanya Lisu asiseme hata akiona mambo ya hovyo yanatendeka?
Shangaa wewe yani ilikuwa tiketi ya kununua uhuru wake wa hoja maybe🤣
 
Sijakataa kumkosoa bali naongelea kauli zisizo na staha tu. Rudi usome post yangu, mbona na mimi mwenyewe nimemkosoa Samia!!
 
Sijakataa kumkosoa bali naongelea kauli zisizo na staha tu. Rudi usome post yangu, mbona na mimi mwenyewe nimemkosoa Samia!!
Wakati anakosolewa Magu kauli zilikuwa za staha. Ila kwa mama sio za staha. 😀😀😀
 
Sasa imegundulika kuwa video clip hiyo, mleta mada ameitengeneza ili kumchafua Lisu. Muda si mrefu usishangae nduguyo kuwa banned.
Mbona ueleweki Mkuu wewe muda si mrefu ulikuwa unaisifia hiyo video sasa umebadilika unaona inamchafua Lissu?

Kwa mantiki hii nimegundua wewe kila analolisema Lissu ata kama la hovyo unalikubali kwa kifupi wewe ni mpinzani wa jambo lolote linalofanywa na Serikali

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
🤣 Naona zile zilikuwa kauli za staha maana walimsifu sana kuwa ni mwanasheria nguli. 🤣
 
Kwa binadamu mwenye akili sawa ambaye ametendewa MEMA na Samia kama alivyotendewa Lissu angechagua lugha ya kutumia
Angechagua lugha kama yaliofanywa ni mambo ya kufurahisha. Huwezi kukasirishwa na jambo halafu ukatumia kauli za kusifu. Huko kutakuwa kukosa akili. Mtu timamu lazma akupe mbovu ukizingua.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Watu wanataka zitumike kauli za icing sugar kwenye mambo ambayo yamekaa hobela hobela.
 
Mkuu mbona wewe unaandika vizuri na tunaelewa!! Lakini huyu jamaa anamwita Rais ni akili au matope?? Sidhani hata kama familia yake inakubaliana kwenye hili
Raisi si ni binadamu na mtanzania mwenzetu. Hata yeye alichukia akaita watu stupid kabisa. Huwezi ku complain sababu ana hisia za furaha na hasira ni kama binadamu wengine tu. Sasa na watu wengine wakikasirishwa na mambo yake hawatakiwi kuitwa wahaini au kuchaguliwa cha kusema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…