Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Sasa kumtembelea mtu hospitali na kumlipa stahiki zake kisheria inakuwa ndio kinga ya kumtetea katika kufanya mambo ya hovyo au vipi? 🤣Nina declare interests. Hata mimi nina thread 2 zinazokosoa makubaliano ya DP WORLD na Tanzania kama:-
(1) Rais Samia unao muda wa kujisahihisha; Pokea maoni ya kuboresha mkataba au futa mkataba wa DP WORLD na thread nyingine ni kama ifuatavyo:
(2) Jebra, Mtobesya na Wanasheria wengine, fungueni kesi dhidi ya Mkataba wa DP World
Sikiliza hii clip ya dakika 5 halafu tathmini kama afya ya akili ya Tundu Lissu iko sawa. Kumbuka Rais Samia akiwa Makamu ndiyo kiongozi pekee wa nafasi ya juu aliyemtembelea kumuona Tundu Lissu akiwa Nairobi hospital.
Kisha akamtembelea Brussels baada ya kuwa Rais. Na akamlipa stahiki ambazo chini ya Magufuli asingeweza kupata. Akamfutia na kesi zake 2 mahakama ya Kisutu
View attachment 2692011
Unafiqi ni mbegu mbaya sana iliopandwa na chama cha mambuzi to an extent inataka kufanywa kuwa norm ya watanzania. Yani usipokuwa mnafiki you become a threat to other guys.