Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Hizi ndio sababu japo ‘oral agreements’ zina nguvu za kisheria lakini ni ngumu kuthibitisha mahakamani.
‘A’ anaweza kuongelea mto, ‘B’ akatafsiri maporomoko.
Raisi alikuwa anaongelea kuweka critics kama sehemu ya civil servants (full-time employees) kwenye wizara ya mipango wasaidie kwenye maswala ya kuandaa na kushauri government policy strategies maana kuna mijitu kazi yao kukosoa tu.
Hakuna sehemu kazungumzia maswala ya tume inayohusu mambo ya bandari. Mpaka mtu unashangaa ukisoma tafsiri za mitandaoni, jamani si ata context yenyewe ilikuwa kuhusu wizara mpya akasema kabisa na jina Mafuru lifanyie kazi hilo ndani ya wizara na ukiona watu sahihi peleka majina wafanyiwe vetting.
Sasa sijui wengine wametoa wapi tafsiri zao. Mtu unabaki unajiuliza shida ni lack of ‘listening skills’ au ‘upotoshaji’ ni tatizo kiasi kikubwa hivyo; on this one I think it’s the former.
Tanzania kuna watu wengi sana wana ‘bias listening’ mizizi yake ni permeated social culture ya majungu, wivu na jamii ya watu waongo waongo; mpaka imekuwa tabia inayokubalika ndani ya jamii.
‘A’ anaweza kuongelea mto, ‘B’ akatafsiri maporomoko.
Raisi alikuwa anaongelea kuweka critics kama sehemu ya civil servants (full-time employees) kwenye wizara ya mipango wasaidie kwenye maswala ya kuandaa na kushauri government policy strategies maana kuna mijitu kazi yao kukosoa tu.
Hakuna sehemu kazungumzia maswala ya tume inayohusu mambo ya bandari. Mpaka mtu unashangaa ukisoma tafsiri za mitandaoni, jamani si ata context yenyewe ilikuwa kuhusu wizara mpya akasema kabisa na jina Mafuru lifanyie kazi hilo ndani ya wizara na ukiona watu sahihi peleka majina wafanyiwe vetting.
Sasa sijui wengine wametoa wapi tafsiri zao. Mtu unabaki unajiuliza shida ni lack of ‘listening skills’ au ‘upotoshaji’ ni tatizo kiasi kikubwa hivyo; on this one I think it’s the former.
Tanzania kuna watu wengi sana wana ‘bias listening’ mizizi yake ni permeated social culture ya majungu, wivu na jamii ya watu waongo waongo; mpaka imekuwa tabia inayokubalika ndani ya jamii.