Unaumwa kichwa meza headex! Unapata shida sana mkuu relax.Utamwambia nini mwananchi aliyefikiwa na huduma zote za Jamii zilizoboreshwa kwa kipindi kifupi namna hii? Ongea kuhusu maji, umeme, afya, miundombinu, utawala bora, usalama nk
Hakuna mtanzania unaweza kumtapeli kwa propaganda nyepesi
Watanzania Wameamua kumpuuza Lissu kwa kususia mkutano wake, Hakuna mtu huko.Unaumwa kichwa meza headex! Unapata shida sana mkuu relax.
Si ndiye kiongozi wa uvccm?Sasa kapigwa ban Makonda mie nakula kwa Makonda?? Labda apigwe ban madereva
Halafu?? Haya Makonda kafungiwa nyie msiofungiwa kwa hili nyomi lenu la leo Kitundu Lisusu anazama ikulu kwa msaada wa Pompeo anaewahusudu sana
Makonda kakataliwa na wana dsm, poleni sana wapambe maana tayari mbuzi kesha kula mkeka sijui mtaishi vipi!Halafu?? Haya Makonda kafungiwa nyie msiofungiwa kwa hili nyomi lenu la leo Kitundu Lisusu anazama ikulu kwa msaada wa Pompeo anaewahusudu sana
Swali zuriHivi hamna at picha za nyomi huko Mbagala?
Tupia ata kapicha basi ka huko Mbagala mkuuKama mlo tu wa siku unakushinda unaanzaje kuipenda ccm? View attachment 1550754
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mlo tu wa siku unakushinda unaanzaje kuipenda ccm? View attachment 1550754
Sent using Jamii Forums mobile app