Lissu: Sheria na Tamaduni za kitanzania haziungi mkono mapenzi ya jinsia moja, mimi pia siungi mkono jambo hilo

Lissu: Sheria na Tamaduni za kitanzania haziungi mkono mapenzi ya jinsia moja, mimi pia siungi mkono jambo hilo

Hayo masharti hayajawahi kuwepo katika misaada yetu tunayopewa!!???

Kuna siku serikali ilikana hadharani masharti yoyote na tukaendelea kudubda kwa kupokea misaada yenye masharti hayo!!??

Ref: Wanafunzi wanaopata mimba wakiwa shuleni.
Hatuna Budi kukubali wanafunzi wanaopata mimba warudi mashuleni kwa sababu fedha za elimu bure hazitokani na mapato yetu ya ndani au fedha zetu. Ndio Mana Zitto alipochokoza tu wakatishia mpaka kumuua! Hizi Ni fedha kutoka huko tunakoita kwa mabeberu na zipo katika kile kinachoitwa millennium development Goals! Ni watanzania wachache tu wanaojua source ya hizo fedha. Mpango huu Ni kwa nchi nyingi za Africa sio Tanzania pekee! Wenye akili wanajiongeza na kujua!

Ingekua Ni fedha zetu wakina Bulembo wangempuuza Zito alipoishtaki Tanzania huko duniani!
 
Alipokua huko kwao alisema vile, na amerudi hapa kwetu amesema hivi.
Nikama anacheza na wakati na hii ndio maana halisi ya siasa...😂
Ushimen wewe ni fala, Leta ushahidi hapa wapi aliunga mkono hoja za kusupport ushoga?
Sisi wote ni watanzania, tuache siasa za majitaka, tujadiri mustakabari wa maisha ya watanzania
 
Kwa hivyo Lissu anauga mkono Ushoga wa faragha. Jee sheria inasemaje kuhusu wale wanao tumia au kuuza Gongo, Mihadarati kwa faragha, wanaruhusiwa kuvamiwa na polisi na kupelekwa mbele ya sheria? Au katiba hai ruhusu kuwaingilia watu vyumbani?
Amesema haungi ushoga. Shule ulienda kujifunza ujinga!
Unaelewa tafsiri ya faragha, ludi shule yaekekea ulizungusha.
Nikusaidie. Kama ukisema wewe huungi mkono tabia ya wizi, maana yake uwe wa faragha au la wote ni wizi.
Sheria inakataza uuzaji wa gongo uwe wa faragha au la.
 
Lissu atakiharibia sana chama chake kwa kutetea haya mambo ya laana kwa kigezo cha kutoingilia faragha. Hata uuzaji madawa ya kulevya hufanyika kwa kificho Kwahiyo tusiingilie faragha zao?? Lissu kisiasa ni mdogo kuliko hata Abdul Nondo wa CHADEMA
 
Lissu atakiharibia sana chama chake kwa kutetea haya mambo ya laana kwa kigezo cha kutoingilia faragha. Hata uuzaji madawa ya kulevya hufanyika kwa kificho Kwahiyo tusiingilie faragha zao?? Lissu kisiasa ni mdogo kuliko hata Abdul Nondo wa CHADEMA
Soma Tena ulichoandika hakafu nenda kwenye title ya Uzi hakafu soma content ya Uzi hakafu njoo usome Tena ulichoandika Kama hutajiona uchi katika swala la maarifa ya kusikiliza, kusoma Jambo na baadae kukitolea maoni! You are lacking interpersonal and interpersonal skills! Ni hayo tu na tukiendelea kuwa na watu wa namna yako Hali ya nchi hii itakua mbaya!
Basically Serikali ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo imeingia bilateral band multilateral agreements inakigugumizi katika kukemea swala lanushoga na mapenzi ya jinsia moja!

Hii inathibitisha kwamba hakuna Sheria yoyote ya bunge iliyokwishakutungwa ambayo inavitaja vitendo vya mahusiano au ndoa za jinsia moja Ni kinyume Cha Sheria za nchi yetu na adhabu yake iko vipi!

Kwa mantiki hiyo mashoga na wasagaji wanaishi kwa Uhuru na tunao mtaani Kila siku and they think they are special groups that need special treatment!

Leo umemsikia TAL anasema asilani haungi mkono mapenzi au ndoa ya watu wa jinsia moja lakini lininserikali ama kupitia wizara yoyote imepinga hadharani? Matokeo yake Ni Meya huko Moshi alijitokeza na kuhudhuria part ya mashoga na kuahidi kuwasaidia?

Bwana bashite akaamua kuingia mtaani bila kuwa na instruments yaani Sheria inayomungoza katika kupambana na hao watu!

Baada ya muda tunakutana na hii
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    38.5 KB · Views: 3
Wewe ni mwongo. Lisu, hata siku moja hajawahi kutamka kuwa anaunga mkono ushoga. Yeye alifafanua juu ya katiba yetu, inasema nini juu ya mambo ya faragha.

Kama unaclip ambapo Lisu alusema anaunga mkono ushoga, uiweke hapa ili utuumbue tunasema wewe ni mwongo.

Tatizo la watanzania wengi wanaendeshwa na mihemko, Lisu wakati wote amekuwa makini sana, ndiyo maana kila mara atakuambia sheria au katiba inasemaje juu ya jambo analoongelea.
Mbona unatumia nguvu kumtetea kigeugeu?
 
Lissu atakiharibia sana chama chake kwa kutetea haya mambo ya laana kwa kigezo cha kutoingilia faragha. Hata uuzaji madawa ya kulevya hufanyika kwa kificho Kwahiyo tusiingilie faragha zao?? Lissu kisiasa ni mdogo kuliko hata Abdul Nondo wa CHADEMA
Bongo yenyewe sahvi mashoga wamejaa kedekede

Ova
 
Hapa sasa atakuwa amewavuruga kabisa Mataga na wafahidhina wasiompenda.
Kwanini hakujibu hivyo kwenye Hard Talk? Hapo anawachezea shere Manyumbu ya Ufipa! Tundu Lissu ni muungaji mkono wa ushoga na hata washirika wake wa Ubeleji na Ulaya yote wanajua hilo.
 
Huyu mwa
Lissu ameyasema hayo baada ya kuulizwa swali kwenye kipindi cha Clouds 360 ambapo mtangazaji alimuuliza Lissu yupo upande gani sababu mahasimu wake wa kisiasa wamekuwa wakimtuhumu kuwa supporter wa mapenzi ya jinsia moja kwakuwa anakaa ulaya.

Lissu amesema hizo ni siasa za maji taka na kwamba hajawahi kusema popote kuwa anaunga mkono mapenzi ya jinsia moja.

Anasema jambo hili liliibuliwa alipojibu swali kwenye kipindi cha Hard Talk BBC ambapo alisema mambo ya faragha serikali haitakiwi kuingilia na kwamba nchi ina katiba inayosema serikali hairuhusiwi chumbani.

Akielezea msimamo wake juu ya jambo hili Lissu amesema, "Watu wenye utamaduni huo waendelee na utamaduni wao, sisi wenye utamaduni tofauti tuendelee na utamaduni wetu, sheria na tamaduni zetu haziruhusu ushoga hivyo tuendelee na utamaduni wetu, siungi mkono ushoga."

View attachment 2504788
huyu mwamba yuko straight Forward

Namkubali sana
 
Lissu ameyasema hayo baada ya kuulizwa swali kwenye kipindi cha Clouds 360 ambapo mtangazaji alimuuliza Lissu yupo upande gani sababu mahasimu wake wa kisiasa wamekuwa wakimtuhumu kuwa supporter wa mapenzi ya jinsia moja kwakuwa anakaa ulaya.

Lissu amesema hizo ni siasa za maji taka na kwamba hajawahi kusema popote kuwa anaunga mkono mapenzi ya jinsia moja.

Anasema jambo hili liliibuliwa alipojibu swali kwenye kipindi cha Hard Talk BBC ambapo alisema mambo ya faragha serikali haitakiwi kuingilia na kwamba nchi ina katiba inayosema serikali hairuhusiwi chumbani.

Akielezea msimamo wake juu ya jambo hili Lissu amesema, "Watu wenye utamaduni huo waendelee na utamaduni wao, sisi wenye utamaduni tofauti tuendelee na utamaduni wetu, sheria na tamaduni zetu haziruhusu ushoga hivyo tuendelee na utamaduni wetu, siungi mkono ushoga."

View attachment 2504788
Amesemaje huyo mzee wa kutokuingilia faragha za watu?
Siasa za majitaka
 
Back
Top Bottom