johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Katika maeneo ambayo Chadema ina Nguvu za Asili ni Iringa, Mbeya, Arusha, Mara, Morogoro na MwanzaWenyewe huwa wanaona wanatetea "status quo" kumbe siyo Kila wakati ni wa vita.
Hapa Iringa kuna Siasa zinageuzwa za kitaifa kumbe ni za kwetu sisi wenyewe wanyalukolo.
Mwembetogwa mara kadhaa imetumika kuharibu urari wa Siasa za Iringa.
Hapo alilengwa Msigwa ambaye wapinzani wake ndiyo wanamtuhumu kutumia Hela za mama Abdullah.
Ukiwaambia walete ushahidi HAWANA.
Oh! PoleniLisu awe makini sana na mwenyekiti wake maana huyo ndio anaendekeza hizo pesa chafu za ccm.
Hilo la shetani na Yesu ni la kwako, mimi najua sisi wote ni watanzaniaWewe unapenda Yesu na Shetani washirikiane?πΌ
Wewe Ndio mtanzania Wengine ni Wazanzibar kwa mujibu wa Katiba ya 1984Hilo la shetani na Yesu ni la kwako, mimi najua sisi wote ni watanzania
Mimi nafikiri ni lazima kuelewa muktadha kwanza ndio maana nikaanza na utangulizi jinsi ya siasa za nchi hii zilivyokua kabla ya Samia kuingia madarakani, kulikuwa na chuki na uhasama mkubwa sana hadi watu kukimbia nchi kwa kuhofia kuuawa,Lakini pia hiki ni kitu cha ajabu kidogo ni sawa na Simba wawaalike Yanga kwenye mkutano wao mkuu unajadili jinsi ya kuchukua ubingwa.
Zanzibar ni sehemu ya TanzaniaWewe Ndio mtanzania Wengine ni Wazanzibar kwa mujibu wa Katiba ya 1984
Sasa Tundu Lissu anataka turudi kwenye zile siasa za chuki, kwenye mikutano yake huko Iringa anahoji kwa nini Samia alialikwa kwenye mkutano wa Chadema
Kunielewa hebu turudi kidogo nyuma kipindi cha Magufuli mambo yalivyokuwa
Kipindi cha Magufuli, siasa za CCM vs Chadema, zilikuwa ni siasa extreme sana, CCM na Chadema ilikuwa kama makundi ya Wahutu na Watusti kule Rwanda kabla ya mauaji ya kimbari
Kuna kipindi Wabunge wa CCM walipewa onyo kali kumtembelea mbunge mwenzao Lema gerezani alipowekwa rumande kwa miezi kadhaa
Wabunge wa CCM wakapigwa marufuku kumtembelea Lissu hospitalini alipopigwa risasi, na Lazaro Nyalandu mbunge pekee wa CCM aliyemtembelea Lissu aliingia matatizoni na chama chake kwa kufanya jambo hilo hadi ikambidi kuhama
Wananchi nao wakaambiwa waziwazi hawatatatuliwa shida zao kwa sababu walichagua wabunge wa upinzani
Bado kulikuwa na visa vingi vya kesi za kisiasa, kutekwa, mauaji hadi wapinzani akiwemo Lissu na Lema kukimbia nchi.
Fast Forward leo hii, Rais Samia pamoja na mapungufu yake ameondoa siasa hizo za extremism
Samia ameweka mbele kuwa sisi wote ni Watanzania kwanza kabla ya kuwa CCM ama Upinzani
Ndio maana hata Samia alialikwa kwenye mkutano wa Chadema akahudhuria, alikutana na viongozi wa Chadema, kufuta kesi, waliokuwa wamekimbia wakaambiwa warudi, mikutano imeruhusiwa na mengine mengi
Sasa Tundu Lissu anataka turudi kwenye zile siasa za chuki, kwenye mikutano yake huko Iringa anahoji kwa nini Samia alialikwa kwenye mkutano wa Chadema
Anasema pia anakusudia kumshtaki Samia kwa kuweka picha aliyopiga na viongozi wa Chadema kwenye bango
Hizi siasa za kuonana maadui kutokana tu na tofauti ya vyama vyetu tukirudi tena huko waathirika wakubwa ni Chadema, sio CCM, actually kundi kubwa la CCM linatamani turudi huko kwa sababu wao wanaweza kufanya lolote kwa upinzani bila kufanywa chochote kama tulivyoona kipindi cha Magufuli
Ni muda sasa viongozi wa Chadema wakamuonya Tundu Lissu
ila pesa na mabwenyenye wa ng'ambo ni tamu na zinafanya kibaraka awe na kiburi sana πLisu awe makini sana na mwenyekiti wake maana huyo ndio anaendekeza hizo pesa chafu za ccm.
Tanzania INATOKANA na Muungano wa Nchi mbili, inasema Katiba ya Zanzibar 1984Zanzibar ni sehemu ya Tanzania
Hizo pesa za wazungu hakuna asiyezipata, kuanzia serekali mpaka wananchi wake. Kama kupata hela ya mzungu ni ukibaraka na kiburi, basi serekali ndio kibaraka namba moja kwenye hilo.ila pesa na mabwenyenye wa ng'ambo ni tamu na zinafanya kibaraka awe na kiburi sana π
sawa πHizo pesa za wazungu hakuna asiyezipata, kuanzia serekali mpaka wananchi wake. Kama kupata hela ya mzungu ni ukibaraka na kiburi, basi serekali ndio kibaraka namba moja kwenye hilo.
Kumezuka huu mtindo ambao kwangu nauona ni mbaya, wa kubeza vyuo vikuu, hasa UDSM. Ni ajabu jambo hili kutokea kwenye jamii ya wastaarabu. Huenda wanaofanya hivi sio alumni wa Mlimani. Natamani vyuo vikuu vipewe heshima yake.1. Jamii yoyote yenye kubagaza wasomi wake ni jamii ya ki wenda wazimu.
Ule Moto wa nyika wa migomo Marekani, wapindukia Canada!
2. Wasomi ni tunu na ndiyo pekee watakao tukomboa!
3. Wajinga, wapumbavu wenye macho kwenye maokoto, ubunge na udiwani ni Laana!
Migomo vyuo vikuu imeangusha serikali; Marekani siyo kisiwa, la sasa halimwachi salama!
4. Haipo shaka, Proved, Zawadini Lissu ana wakati mgumu sana Chadema.
5. Lissu huru asingeacha kumpa Biden vidonge vyake lakini siyo hizi mbuzi zingine!
Kwenye mazishi ya Lowassa hamkusikia Samia akisema "mdogo wangu Freeman"!!? huo ukoo ni mkubwaLissu amesema fedha hiyo ni ya Abdul na Mama yake maana chadema hawana hela hata kufanya mikutano
Mzee hii ni ishu nyingine ambayo haikuwa kwenye mada yangu, mada yangu ililenga umoja wa Watanzania katika vyama tofauti vya siasa na sio mambo ya MuunganoTanzania INATOKANA na Muungano wa Nchi mbili, inasema Katiba ya Zanzibar 1984
Haisemi " ilitokana"
Hivyo zipo Nchi 2 na Katiba 2 Ndio sababu DP World anaitazama Nchi ya Zanzibar akiwa mbali πππ
Magufuli alivuruga vyama kwa kufanya kazi zaidi ya maneno ya wanasiasa kwa hiyo wakabaki hawana hoja zaidi ya kuleta visingizio vya demokrasiaNani kakuambia Marekani ndio role model wetu kwenye kila kitu? Marekani wanaruhusu ushoga, so turuhusu ushoga kisa Marekani anaruhusu?
Marekani kulishatokea Rais kichaa kama Magufuli na kuvuruga nchi vile? Nchi ikivurugwa kwa misingi ya vyama kama alivyofanya Magufuli unadhani haihitaji kuileta pamoja tena?
yule maza ni kigeugeu kwa masilahi yake binafsi haaminiki hafaiAisee sikujua Tundu Lissu ana chuki hivi hadi awamu hii ya Samia....Kwa hiyo Samia kualikwa kwenye mkutano wa Chadema kuna na akahudhuria ameona ni shida kubwa, anataka zile siasa za Kihutu na Kitutsi na sio siasa za kuona CCM na Chadema wote ni watanzania
Haya mambo tuliyaonja kidogo kipindi cha Magufuli na Lissu alikuwa mhanga, ila ndio anayatamani?
Huku ni kumdhalilisha mwenyekiti....acha hii tabiaLisu awe makini sana na mwenyekiti wake maana huyo ndio anaendekeza hizo pesa chafu za ccm.
Ni toleo jipya la lipumba.Mbowe ni "mpinzani poa". Ni aina ya Mwenyekiti ambaye CCM wanadhani wanaweza kufanya naye kazi kupitia ile dhana ya "zimwi likujualo"
Nani kakuambia Marekani ndio role model wetu kwenye kila kitu? Marekani wanaruhusu ushoga, so turuhusu ushoga kisa Marekani anaruhusu?
Marekani kulishatokea Rais kichaa kama Magufuli na kuvuruga nchi vile? Nchi ikivurugwa kwa misingi ya vyama kama alivyofanya Magufuli unadhani haihitaji kuileta pamoja tena?