Uchaguzi 2020 Lissu: Tume ikitaka amani, ihakikishe uchaguzi unakuwa wa haki

mmeshazomewa
 
Naona hamna sera nyingine
 
Mwambieni wakuandamana hayupo, akamlete mkewe na wanawe wa tz tushachoka kutangulizwa.
 
Sasa mkuu wewe unadhani jiwe atashinda au atatangazwa? Safari hii Mungu haachiwiiii
 
Sasa mkuu wewe unadhani jiwe atashinda au atatangazwa? Safari hii Mungu haachiwiiii
Acha aendelee kuwadanganya ninyi wafuasi wake wa mitandaoni,huyu mtu wenu lisso hawezi kamwe kuwa rais wa jmt hadi anaenda kibrah,

Ashukuru kwa kuweka historia ya kuwa mnyaturu wa kwanza kugombea urais kupitia CHADEMA ,
 
Sera ya chato ndio kitu gani??? Unatafuta basha comrade mbona unaulizia urijali wangu??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi urijali umeshuka thamani, yani nini?? Kuwa na wewe ni rijali??????
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi urijali umeshuka thamani, yani nini?? Kuwa na wewe ni rijali??????
Hahaha comrade usinitoe kwenye reli. Hebu tuache kujadili nyeti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…