Uchaguzi 2020 Lissu: Tume ikitaka amani, ihakikishe uchaguzi unakuwa wa haki

Piga kura kwa Mh Lissu achana na Jiwe aliyesukumiziwa ndani
 
Sisi tunajivunia kuwa na ilani ya uchaguzi iliyobora kabisa. Haturopoki tu kutoka kichwani kama tundu Lissu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sikujua kama mmezomewa aisee
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sikujua kama mmezomewa aisee
Huo uzi umefutwa sababu ni uzushi sasa wewe mpaka dakika bado unajitekenya tu.
 
Acha aendelee kuwadanganya ninyi wafuasi wake wa mitandaoni,huyu mtu wenu lisso hawezi kamwe kuwa rais wa jmt hadi anaenda kibrah,

Ashukuru kwa kuweka historia ya kuwa mnyaturu wa kwanza kugombea urais kupitia CHADEMA ,
Mkuu nje ya mada, jiwe atakuja kwenye mdahalo wa kupima uwezo wa Rais au haji?
 
Hahaha comrade usinitoe kwenye reli. Hebu tuache kujadili nyeti.
Mkuu sema mimi sikulaumu kwakuwa uko kazini, lakini ukweli hata wew unajua kuwa jiwe siyo mtu sahihi kuwa Rais wa hii Jamuhuri, naomba niishie hapa
 
Bora uje kwa RUNGWE mkuu sisi tunat kuhakikishia mchele wa Mbeya supa na kuku was kienyeji
 
AMANI ni TUNDA la HAKI
 
Lissu matako sana. Hakuna mtu anamtaka na hatakaa kuwa raisi wa nchi hii.
 
Chato ndio watampigia kura Magu maana nyie mmeona sio watu,

Mwaka huu mbona tutawafurahisha sana!
Mtajifurahisha misukule ya lumumba....
Tuwekee sera ya chato basi km unaona wivu mtoto sio riziki wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…