Nilikuwa sifahamu huu ukorofi wa Lissu😂Hilo dongo la Lissu kwa Makonda babu kubwa🤣🤣🤣
Nishalewa😂Eeeh, hii ya Leo Kali[emoji28]
Aebdelee soon ataambiwa hadi anayemkaza DAB😂Nimekuja kufahamu, Lissu ana vituko sana.
Makonda kama anataka ligi aendelee.
Kama ni mjanja utaelewa kuna kitu alitaka kusema akaacha, akatumia maneno ya hekima na utani.Aebdelee soon ataambiwa hadi anayemkaza DAB😂