Lissu: Watoto wangu wana uraia wa Marekani, mbona Makonda kama ana Wivu

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
Akifanya mahojiano na Mwanahalisi, Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Tundu Lissu amejibu maswali kuhusu uraia wa watoto wake na pia kufunga ndoa na Mzungu.

Akijibu maswali hayo, Tundu Lissu amesema watoto wake ni Raia wa Marekani kwa kuzaliwa, na pia kuhusu kuoa yeye alimsikia Makonda "Makonda anawivu".

ANGALIA VIDEO HAPA
Your browser is not able to display this video.


Nini maoni yako?

Written by Mjanja M1 ✍️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…