Lissu: Watoto wangu wana uraia wa Marekani, mbona Makonda kama ana Wivu

Lissu: Watoto wangu wana uraia wa Marekani, mbona Makonda kama ana Wivu

Makasiriko tu.

Hapo alipo ana nguvu ya ushawishi na mvuto....Sasa mwananchi ategemee nini akiwa na nguvu ya Dola?

Chagua kwa umakini 2025

Dadeki


..Lissu angekuwa mhuni angeanza kujadili ndoa ya Makonda lakini amejizuia.

..Makonda ndiye aliyeanza kuzusha kuhusu ndoa ya Lissu ktk mkutano wa hadhara.
 
Sasa watoto ni wamarekani.... yeye anautaka uraisi wa Tanzania wa nini?
 
USA baby [emoji631]!

Kila apataye fursa ya kuwekeza USA hafanyi ajizi.

Kumbe Lissu aliamua na mwenzake kuzalia Marekani ili asipitwe na maziwa na asali.

Hakuna kama USA!

Na Jumapili hii dunia itasimama kuzunguka kwenye mhimili wake kwa takriban masaa 4 when Mr. Irrelevant Brock Purdy takes on baby GOAT Patrick Mahomes.
Kwa hilo sipingani na wewe
 
..Ccm ina watu wengi wenye uwezo wa kuwa waenezi.

wamjaribu nani sasa ?

kuna yule kijana wa Zanzibar Samia akamjaribu... he didn't have any skin in the game
kuna yule dada Mjema, she couldn't find the girl's bathroom, she was so slow
akaja Mzee Ole Sendeka, wakamtosa in 2 days, he didn't know left from right
kuna Nape, aliyekiri CCM wanashinda kwa magoli ya mkono
kuna Polepole, akasema CCM ni chama la ma Landcruiser VX na ma Hardtop

hawa wanatupeleka miaka kumi, kumi na tano nyuma, ya uenezi wa CCM.

Ndani ya miezi miwili, sijui kama mitatu imefika, Paul Makonda - give the devil his due - ametatua kero za wananchi kuliko miaka 15 ya hao waenezi wengine.....

Fatuma Karume -wakiri wa Mahakama Kuu na mpinzani wa serikari kindaki ndaki - amekiri juzi kwamba Paulo Makonda peke yake - shetani apewe sifa zake - anafunga majalada mengi ya kesi za Wananchi ndani ya siku moja na kutoa nakala za hukumu kuliko mahakama zote za Tanzania combined.... Na Mwanasheria Mkuu wa serikali amelalamika! hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaa.....

Kwa hiyo Makonda - give the devil his due - ana haki ya kuhoji uadilifu wa Tundu Lissu, tumjibu, tusimtusi makalio yake.
 
wamjaribu nani sasa ?

kuna yule kijana wa Zanzibar Samia akamjaribu... he didn't have any skin in the game
kuna yule dada Mjema, she couldn't find the girl's bathroom she is so slow
akaja Mzee Ole Sendeka, wakamtoselea kule, he didn't know left from right
kuna Nape, aliyekiri CCM wanashinda kwa magoli ya mkono
kuna Polepole, akasema CCM ni chama la ma Landcruiser VX na ma Hardtop

hawa wanatupeleka miaka kumi, kumi na tano nyuma, ya uenezi wa CCM.

Ndani ya miezi miwili, sijui kama mitatu imefika, Paul Makonda - give the devil his due - ametatua kero za wananchi kuliko miaka 15 ya hao waenezi wengine.....

Fatuma Karume -wakiri wa Mahakama Kuu na mpinzani wa serikari kindaki ndaki - amekiri juzi kwamba Paulo Makonda peke yake - shetani apewe sifa zake - anafunga majarida mengi ya kesi za Wananchi ndani ya siku moja na kutoa nakala za hukumu kuliko mahakama zote za Tanzania combined.... hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaa.....

Kwa hiyo Makonda ana haki ya kuhoji uadilifu wa Tundu Lisu, tumjibu, tusimtusi....

..Makonda hakulenga kuhoji uadilifu wa Tundu Lissu. Yeye alikwenda jukwaani na kuanza kuzusha kwamba Lissu ameoa mwanamke wa kizungu.

..Mimi naamini si jambo zuri wanasiasa kupanda majukwaani na kuanza kushambulia ndoa za wanaotofautiana nao.

..Pia sidhani kama wapinzani wakianza kujadili au kushambulia ndoa za viongozi wa Ccm Msajili wa vyama atawaruhusu.

..Ukimsikiliza majibu ya Lissu utaona kwamba amefanya jitihada kubwa kutokurudisha mashambulizi kwa Makonda.
 
Nchi zenye uraia pacha wana maendelo kutuzidi sisi tusiyo na uraia pacha, hivyo unakosa hoja ya msingi. Kalale tu ndugu.
Nimesema, CHADEMA wataenda kutuuza mapema.

Hukukataa hayo, ikiwa ina maana hayo yanawezekana ila hamtaki Wapiga kura wayafikirie au?

Kwani sio Lema aliyesema Canada mswano?

Tukija kwenye suala la Uraia, unaona kabisa nimeuliza maswali, hukuyajibu, badala yake umeshupaza shingo na mihemeko.

Unapata wapi haki ya kuhoji hoja zangu za msing?(ni zipi hizo?)kwani tunazungumzia faida za Uraia pacha hapa? Au majivuno ya Tundu Lissu?

Nye nye nye
 
..Makonda hakulenga kuhoji uadilifu wa Tundu Lissu. Yeye alikwenda jukwaani na kuanza kuzusha kwamba Lissu ameoa mwanamke wa kizungu.

..Mimi naamini si jambo zuri wanasiasa kupanda majukwaani na kuanza kushambulia ndoa za wanaotofautiana nao.

..Pia sidhani kama wapinzani wakianza kujadili au kushambulia ndoa za viongozi wa Ccm Msajili wa vyama atawaruhusu.

..Ukimsikiliza majibu ya Lissu utaona kwamba amefanya jitihada kubwa kutokurudisha mashambulizi kwa Makonda.
Lakini Makonda amewaweza sana…..
 
..hujasikia Mh.Mpina akisema serikali ya Ccm imenunua mtambo wa kuongeza makalio na umefungwa hospitali ya Mloganzila?
Kwani nawewe hujasikia majivuno ya Tundu Lissu? Ni haki yake, na hata mimi kama Baba ningweza kujivunia hivyo kama wanangu wangekuwa na Uraia Marekani. Lakini yule ni Kiongozi anayetafuta Ofisi ya Juu ya Nchi.

Sasa itokee watoto zake wamevunja sheria nchini halafu wakamatwe na Dola, au waandamane atokee askari "trigger happy" wawanyofoe mikono....Unafikiri kitu gani kitatokea?

Yake na Makonda watajijiu.

Naipenda Nchi yangu.
 
Nimesema, CHADEMA wataenda kutuuza mapema.

Hukukataa hayo, ikiwa ina maana hayo yanawezekana ila hamtaki Wapiga kura wayafikirie au?

Kwani sio Lema aliyesema Canada mswano?

Tukija kwenye suala la Uraia, unaona kabisa nimeuliza maswali, hukuyajibu, badala yake umeshupaza shingo na mihemeko.

Unapata wapi haki ya kuhoji hoja zangu za msing?(ni zipi hizo?)kwani tunazungumzia faida za Uraia pacha hapa? Au majivuno ya Tundu Lissu?

Nye nye nye

..watawauza vipi?

..kwani mkishawachagua mnakwenda kulala?

..hizi lugha za kusema " tutauzwa " ni kujidhalilisha.
 
Kwani nawewe hujasikia majivuno ya Tundu Lissu? Ni haki yake, na hata mimi kama Baba ningweza kujivunia hivyo kama wanangu wangekuwa na Uraia Marekani. Lakini yule ni Kiongozi anayetafuta Ofisi ya Juu ya Nchi.

Sasa itokee watoto zake wamevunja sheria nchini halafu wakamatwe na Dola, au waandamane atokee askari "trigger happy" wawanyofoe mikono....Unafikiri kitu gani kitatokea?

Yake na Makonda watajijiu.

Naipenda Nchi yangu.

..uraia wa Marekani ni sawa na uraia wa nchi nyingine yoyote.

..pia sidhani kama ni sahihi kumhukumu Lissu au kiongozi yeyote yule kwa maamuzi ya watoto wake haswa wakiwa ni watu wazima.

..The only time kiongozi anapaswa kulaumiwa kwa masuala ya watoto wake ni ikiwa atawafanyia upendeleo wa aina fulani ktk masuala ya kijamii, au kisiasa.

..Kuna viongozi hapa Tanzania na huko nje walioa wanawake toka nje ya nchi na hatukusikia matatizo yoyote.
 
wamjaribu nani sasa ?

kuna yule kijana wa Zanzibar Samia akamjaribu... he didn't have any skin in the game
kuna yule dada Mjema, she couldn't find the girl's bathroom, she was so slow
akaja Mzee Ole Sendeka, wakamtosa in 2 days, he didn't know left from right
kuna Nape, aliyekiri CCM wanashinda kwa magoli ya mkono
kuna Polepole, akasema CCM ni chama la ma Landcruiser VX na ma Hardtop

hawa wanatupeleka miaka kumi, kumi na tano nyuma, ya uenezi wa CCM.

Ndani ya miezi miwili, sijui kama mitatu imefika, Paul Makonda - give the devil his due - ametatua kero za wananchi kuliko miaka 15 ya hao waenezi wengine.....

Fatuma Karume -wakiri wa Mahakama Kuu na mpinzani wa serikari kindaki ndaki - amekiri juzi kwamba Paulo Makonda peke yake - shetani apewe sifa zake - anafunga majalada mengi ya kesi za Wananchi ndani ya siku moja na kutoa nakala za hukumu kuliko mahakama zote za Tanzania combined.... Na Mwanasheria Mkuu wa serikali amelalamika! hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaa.....

Kwa hiyo Makonda - give the devil his due - ana haki ya kuhoji uadilifu wa Tundu Lissu, tumjibu, tusimtusi makalio yake.

..Makonda akatatua kesi chache sana sana ukilinganisha na utitiri wa kesi na malalamiko yaliyoko kila mahali hapa.

..Kwa maoni yangu ziara za Makonda zinatuonyesha jinsi Ccm na serikali yake walivyoshindwa kutuongoza.

..Lingine ni vema ukakumbuka kwamba Magufuli alikuwa na utaratibu wa papo-kwa-papo kama huu wa Makonda lakini nchi bado ilikwama.
 
Back
Top Bottom