Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
hovyo sanaHulka yake ni kuropoka lolote bila kutathmini athari yake akisahau ule wimbo wa taarabu wa pembe la ng'ombe usemao maneno yakishatoka mdomoni hayarudi tena mdomoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hovyo sanaHulka yake ni kuropoka lolote bila kutathmini athari yake akisahau ule wimbo wa taarabu wa pembe la ng'ombe usemao maneno yakishatoka mdomoni hayarudi tena mdomoni.
Unafahamu kuwa mtoto wa rais wa Liberia George Weah, ni Mmarekani na anaichezea NATIONAL TEAM YA US?Hili la Mgombea Urais watoto wake kuwa na uraia wa USA sio dogo nalo.
Kwahiyo ilitakiwa ajibu vipi ili aonekane yupo sawa ?Huyu dishi liliyumbishwa na risasi, hayuko vizuri
Kama Lisu ni mzalendo Kwa nini asiwaombee Watoto wake uraia wa Tanzania?Akifanya mahojiano na Mwanahalisi, Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Tundu Lissu amejibu maswali kuhusu uraia wa watoto wake na pia kufunga ndoa na Mzungu.
Akijibu maswali hayo, Tundu Lissu amesema watoto wake ni Raia wa Marekani kwa kuzaliwa, na pia kuhusu kuoa yeye alimsikia Makonda "Makonda anawivu".
ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2898774
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️
Hao ccm wanaokabidhi mbuga Kwa waarabu na bandari bado Kwa Wachina si ndio wamewauza tayari!? Au hujui Hilo.!?Nimesema, CHADEMA wataenda kutuuza mapema.
Hukukataa hayo, ikiwa ina maana hayo yanawezekana ila hamtaki Wapiga kura wayafikirie au?
Kwani sio Lema aliyesema Canada mswano?
Tukija kwenye suala la Uraia, unaona kabisa nimeuliza maswali, hukuyajibu, badala yake umeshupaza shingo na mihemeko.
Unapata wapi haki ya kuhoji hoja zangu za msing?(ni zipi hizo?)kwani tunazungumzia faida za Uraia pacha hapa? Au majivuno ya Tundu Lissu?
Nye nye nye
George Weah alikuwa raisi wa Liberia ila mtoto wake ana uraia wa Marekani.Hili la Mgombea Urais watoto wake kuwa na uraia wa USA sio dogo nalo.
Uzalendo wa mtu unahusiana vip na watoto wake?.Kwani uzalendo niwawatoto au wakwake?.Ujinga mwingine bana.Lisu anambwela mbwela tu hapo.
Makonda ana hoja.
Huwezi kuwa mzalendo kwa nchi yako ukaachia watoto wako kuwa Raia wa nchi nyingine.
Lisu anatulaghai tu hapa.
Afanye siasa kama ajira basi maisha yaendelee ila kwa uzalendo hapo hana hata chembe.
Kwenye sifa zakikatiba za kugombea urais kuna mahali panamkataza asigombee kwasababu ya uraia wa watoto wake kua wamarekani?Sasa watoto ni wamarekani.... yeye anautaka uraisi wa Tanzania wa nini?