Hivi Makonda kwa mfano, hicho ambacho angehitaji kukifata Marekani na hakipati Tanzania, ni nini Iphone 15 ????????
Marekani wanasiasa hawana hela ya kugawa kwenye viwanja vya mipira, li Makonda linagawa millions majukwaani, Tanzania nzima, kila uchwao, kuna bata gani atataka kuila hapa duniani ashindwe kwa vile eti hana visa ya Marekani ??????? Labda anakosa kumpeleka mtoto Disney World, Florida, nasikia kuna theme parks huko, mbuga bandia! Mbuga za ukweli ziko kwao Kanda ya Ziwa.
Kwa hiyo Makonda - give the devil his due - yuko vijijini as we speak, ana solve matatizo ya third world, singlehandedly by and large, President Samia kasafiri, Vice President Mpango doesn't know what day it is, nchi kaachiwa Makonda, for all intents and purposes, he is all the news, he is all the rage, he is all set, hahitaji visa ya Marekani.