Kwa mke gani?kwamaoniyangu Mimi nimtoto wakuchepuka siunajuwa watu wampira tabiazao?lakini kama niwamke wake aliondani hapo kunashidaKawaida sana
George Weah ni Rais wa Liberia lakini mtoto wake ni raia wa Marekani na Juzi kaifungia goli nchi yake ya USA kwenye kombe la Dunia
Tupo hapa tangu 2009,tumeshuhudia mara zote mkiangukia pua,, madaraka hayatafutwi kwa style mnayotumia, step by step, pateni majority bungeni ili muweze ku effect agenda zenu,, vingnevyo mtalalama miitandaoni milele🤷🏻♀️pole dogo
Jamaa huyu Lissu amekosa vigezo vyote vya kuongoza Taasisi yoyote nchi.Kauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter.
Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi! Wanahamasisha watoto wetu waandamane, wapigwe rungu, wa kwao wako Trump Hotels wanakula baga na pizza.
Kwa nini Lissu hawaambii watoto wake wakane uraia wa Marekani ili wafaidi matunda ya anavyopigania? Je, Lissu sio mpango wa C.I.A katika taifa letu?
Muda utasema. Kwa sasa hana kazi ya kumuingizia kipato, lakini anatalii majiji ya Ulaya na Marekani akila maisha kwa fahari kuu, hatujui chanzo cha mapato yake.
Napiga picha ikulu yetu imejaa raia wa marekani, wanazurura tu katika bustani, wanajisaidia vyooni, na kuoga, wanaleta marafiki zao, ambao pengine no majasusi wanapandikiza kamera na vinasa sauti, wanachomoa mafaili na kuondoka nayo, na kuhaki computer zetu, au ku-recruit staff wa ikulu dhidi ya nchi yetu.
Acha wivu. Peleka na wewe wa kwako tuone.Kauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter.
Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi! Wanahamasisha watoto wetu waandamane, wapigwe rungu, wa kwao wako Trump Hotels wanakula baga na pizza.
Kwa nini Lissu hawaambii watoto wake wakane uraia wa Marekani ili wafaidi matunda ya anavyopigania? Je, Lissu sio mpango wa C.I.A katika taifa letu?
Muda utasema. Kwa sasa hana kazi ya kumuingizia kipato, lakini anatalii majiji ya Ulaya na Marekani akila maisha kwa fahari kuu, hatujui chanzo cha mapato yake.
Napiga picha ikulu yetu imejaa raia wa marekani, wanazurura tu katika bustani, wanajisaidia vyooni, na kuoga, wanaleta marafiki zao, ambao pengine no majasusi wanapandikiza kamera na vinasa sauti, wanachomoa mafaili na kuondoka nayo, na kuhaki computer zetu, au ku-recruit staff wa ikulu dhidi ya nchi yetu.
Sawa sawa mzee wa kubeba masanduku mchana kweupe na kuua wapinzaniTupo hapa tangu 2009,tumeshuhudia mara zote mkiangukia pua,, madaraka hayatafutwi kwa style mnayotumia, step by step, pateni majority bungeni ili muweze ku effect agenda zenu,, vingnevyo mtalalama miitandaoni milele🤷🏻♀️
Hii comment yako imepata likes nyingi kuliko Threat yenyewe🤣🤣I wish angekuwa kweli huo mpango wa CIA ili atusaidie kuiondoa ccm madarakani.
Baada ya hapo tutajua cha kufanya. Ila kwa sasa adui wetu namba moja kama Taifa, ni ccm! Na siyo Tundu Lissu, au hao CIA.
Bonge la.pointMaishani kwako ushawahi kukoswa koswa na manati? ushawahi kupigwa ngeta ukanyanganywa walau simu na wallet?, ushawahi kusikia mlio wa SMG close range? nafikiri ungetoa haja zako zote hapo hapo.
Lissu ni shujaa wa Taifa letu, usalama wake yeye na familia yake ni priority kubwa na sisi watanzania wapenda demokrasia ya kweli kwa umoja wetu unampa na tutaendelea kumpatia support kubwa.
Mungu amjalie maisha marefu.
Utaskia hata Mkatoloki wakasema ni FBI, watu jmn.George Weah ni Rais wa Liberia mtoto wake juzi kafunga bao na timu ya taifa ya marekani
So na George ni C.I.A?
Wakina Mandela waliishi Morogoro na Butiama wakati wa ubaguzi wa rangi south africa so hoja yako Haina mashiko.
Rais wa Congo wa Sasa aliishi Sana ubelgiji so na yeye ni mbelgiji?
Huyo trump mwenyewe na obama ukiwatazama hawana hata asili ya marekani lakini wametawala
Obama katumwa na kenya marekani na mke wake alitumwa na israel?
Hoja zako za kipumbavu Sana watu wataishi vipi kwenye nchi ambayo usalama wao hauna uhakika? Hakikisheni kwanza usalama wa watu ndio muanze kuwahukumu.
Wakina Akwilina, Azory, Mawazo wako wapi?
Kauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter.
Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi! Wanahamasisha watoto wetu waandamane, wapigwe rungu, wa kwao wako Trump Hotels wanakula baga na pizza.
Kwa nini Lissu hawaambii watoto wake wakane uraia wa Marekani ili wafaidi matunda ya anavyopigania? Je, Lissu sio mpango wa C.I.A katika taifa letu?
Muda utasema. Kwa sasa hana kazi ya kumuingizia kipato, lakini anatalii majiji ya Ulaya na Marekani akila maisha kwa fahari kuu, hatujui chanzo cha mapato yake.
Napiga picha ikulu yetu imejaa raia wa marekani, wanazurura tu katika bustani, wanajisaidia vyooni, na kuoga, wanaleta marafiki zao, ambao pengine no majasusi wanapandikiza kamera na vinasa sauti, wanachomoa mafaili na kuondoka nayo, na kuhaki computer zetu, au ku-recruit staff wa ikulu dhidi ya nchi yetu.
Hii post iwekwe kama bango kuubwa pale Askari Monument 🙏I wish angekuwa kweli huo mpango wa CIA ili atusaidie kuiondoa ccm madarakani.
Baada ya hapo tutajua cha kufanya. Ila kwa sasa adui wetu namba moja kama Taifa, ni ccm! Na siyo Tundu Lissu, au hao CIA.
Wapigania Uhuru wengi walilazimika kupata hifadhi nje ya nchi zao kukwepa kuuliwa na watesi wao. Ndiyo sababu hata Tz kukawa na kambi za ANC ya South Africa, Frelimo ya Msumbiji, ZANU PF ya Zimbabwe, nk.Jamaa huyu Lissu amekosa vigezo vyote vya kuongoza Taasisi yoyote nchi.
Ni raia wa nchi za nje.
Mkuu, it pays to think before jumping to the keyboard.Kauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter.
Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi! Wanahamasisha watoto wetu waandamane, wapigwe rungu, wa kwao wako Trump Hotels wanakula baga na pizza.
Kwa nini Lissu hawaambii watoto wake wakane uraia wa Marekani ili wafaidi matunda ya anavyopigania? Je, Lissu sio mpango wa C.I.A katika taifa letu?
Muda utasema. Kwa sasa hana kazi ya kumuingizia kipato, lakini anatalii majiji ya Ulaya na Marekani akila maisha kwa fahari kuu, hatujui chanzo cha mapato yake.
Napiga picha ikulu yetu imejaa raia wa marekani, wanazurura tu katika bustani, wanajisaidia vyooni, na kuoga, wanaleta marafiki zao, ambao pengine no majasusi wanapandikiza kamera na vinasa sauti, wanachomoa mafaili na kuondoka nayo, na kuhaki computer zetu, au ku-recruit staff wa ikulu dhidi ya nchi yetu.
Huo ni ufinyu wa mawazo.Wapigania Uhuru wengi walilazimika kupata hifadhi nje ya nchi zao kukwepa kuuliwa na watesi wao. Ndiyo sababu hata Tz kukawa na kambi za ANC ya South Africa, Frelimo ya Msumbiji, ZANU PF ya Zimbabwe, nk.
Mlitaka Lissu akae Tz mumuue?!!
Huo ni ufinyu wa mawazo.
Tuambie nani wa ANC, FRELIMO na ZANU PF waliouwawa ndani ya nchi zao huru.
Kulikuwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe, na Tanzania tukamwondoa Nduli...Yoweri Museveni yeye na familia yake waliishi ukimbizini.
Kulikuwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe, na Tanzania tukamwondoa Nduli.
Lissu hajawahi kufanya kazi Marekani.Watoto wa Lisu wamezaliwa Marekani wakati huo baba yao akifanya kazi huko ,kinacho kushangaza hapa ni kipi ?
Uganda, DRC si Tanzania...Yoweri aliondoa familia yake kabla vita vya Tanzania vs Uganda havijaanza.
..Mtu akishaona mahali fulani si salama kwake na familia yake anayo haki ya kuhama kujinusuru.
..Lissu wanawe na familia yake walikuwa Tanzania mpaka pale walipomtumwa watu wamuue.
Issue si kufanya kazi, ni mtoto kuzaliwa. Kinachotakiwa ni CHETI CHA KUZALIWA, hata akizaliwa Airport tu ni raia. It's a shenzitype sort ofLissu hajawahi kufanya kazi Marekani.