Lissu: Watoto wangu wote ni raia wa Marekani

Lissu: Watoto wangu wote ni raia wa Marekani

Kawaida sana

George Weah ni Rais wa Liberia lakini mtoto wake ni raia wa Marekani na Juzi kaifungia goli nchi yake ya USA kwenye kombe la Dunia
Kwa mke gani?kwamaoniyangu Mimi nimtoto wakuchepuka siunajuwa watu wampira tabiazao?lakini kama niwamke wake aliondani hapo kunashida
 
pole dogo
Tupo hapa tangu 2009,tumeshuhudia mara zote mkiangukia pua,, madaraka hayatafutwi kwa style mnayotumia, step by step, pateni majority bungeni ili muweze ku effect agenda zenu,, vingnevyo mtalalama miitandaoni milele🤷🏻‍♀️
 
Kauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter.

Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi! Wanahamasisha watoto wetu waandamane, wapigwe rungu, wa kwao wako Trump Hotels wanakula baga na pizza.

Kwa nini Lissu hawaambii watoto wake wakane uraia wa Marekani ili wafaidi matunda ya anavyopigania? Je, Lissu sio mpango wa C.I.A katika taifa letu?

Muda utasema. Kwa sasa hana kazi ya kumuingizia kipato, lakini anatalii majiji ya Ulaya na Marekani akila maisha kwa fahari kuu, hatujui chanzo cha mapato yake.

Napiga picha ikulu yetu imejaa raia wa marekani, wanazurura tu katika bustani, wanajisaidia vyooni, na kuoga, wanaleta marafiki zao, ambao pengine no majasusi wanapandikiza kamera na vinasa sauti, wanachomoa mafaili na kuondoka nayo, na kuhaki computer zetu, au ku-recruit staff wa ikulu dhidi ya nchi yetu.
Jamaa huyu Lissu amekosa vigezo vyote vya kuongoza Taasisi yoyote nchi.
Ni raia wa nchi za nje.
 
Kauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter.

Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi! Wanahamasisha watoto wetu waandamane, wapigwe rungu, wa kwao wako Trump Hotels wanakula baga na pizza.

Kwa nini Lissu hawaambii watoto wake wakane uraia wa Marekani ili wafaidi matunda ya anavyopigania? Je, Lissu sio mpango wa C.I.A katika taifa letu?

Muda utasema. Kwa sasa hana kazi ya kumuingizia kipato, lakini anatalii majiji ya Ulaya na Marekani akila maisha kwa fahari kuu, hatujui chanzo cha mapato yake.

Napiga picha ikulu yetu imejaa raia wa marekani, wanazurura tu katika bustani, wanajisaidia vyooni, na kuoga, wanaleta marafiki zao, ambao pengine no majasusi wanapandikiza kamera na vinasa sauti, wanachomoa mafaili na kuondoka nayo, na kuhaki computer zetu, au ku-recruit staff wa ikulu dhidi ya nchi yetu.
Acha wivu. Peleka na wewe wa kwako tuone.
 
Tupo hapa tangu 2009,tumeshuhudia mara zote mkiangukia pua,, madaraka hayatafutwi kwa style mnayotumia, step by step, pateni majority bungeni ili muweze ku effect agenda zenu,, vingnevyo mtalalama miitandaoni milele🤷🏻‍♀️
Sawa sawa mzee wa kubeba masanduku mchana kweupe na kuua wapinzani
 
Maishani kwako ushawahi kukoswa koswa na manati? ushawahi kupigwa ngeta ukanyanganywa walau simu na wallet?, ushawahi kusikia mlio wa SMG close range? nafikiri ungetoa haja zako zote hapo hapo.

Lissu ni shujaa wa Taifa letu, usalama wake yeye na familia yake ni priority kubwa na sisi watanzania wapenda demokrasia ya kweli kwa umoja wetu unampa na tutaendelea kumpatia support kubwa.

Mungu amjalie maisha marefu.
Bonge la.point
 
George Weah ni Rais wa Liberia mtoto wake juzi kafunga bao na timu ya taifa ya marekani

So na George ni C.I.A?

Wakina Mandela waliishi Morogoro na Butiama wakati wa ubaguzi wa rangi south africa so hoja yako Haina mashiko.

Rais wa Congo wa Sasa aliishi Sana ubelgiji so na yeye ni mbelgiji?

Huyo trump mwenyewe na obama ukiwatazama hawana hata asili ya marekani lakini wametawala

Obama katumwa na kenya marekani na mke wake alitumwa na israel?

Hoja zako za kipumbavu Sana watu wataishi vipi kwenye nchi ambayo usalama wao hauna uhakika? Hakikisheni kwanza usalama wa watu ndio muanze kuwahukumu.

Wakina Akwilina, Azory, Mawazo wako wapi?
Utaskia hata Mkatoloki wakasema ni FBI, watu jmn.
Me pia Niko karbuni kuhama hii nvhi
 
Kauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter.

Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi! Wanahamasisha watoto wetu waandamane, wapigwe rungu, wa kwao wako Trump Hotels wanakula baga na pizza.

Kwa nini Lissu hawaambii watoto wake wakane uraia wa Marekani ili wafaidi matunda ya anavyopigania? Je, Lissu sio mpango wa C.I.A katika taifa letu?

Muda utasema. Kwa sasa hana kazi ya kumuingizia kipato, lakini anatalii majiji ya Ulaya na Marekani akila maisha kwa fahari kuu, hatujui chanzo cha mapato yake.

Napiga picha ikulu yetu imejaa raia wa marekani, wanazurura tu katika bustani, wanajisaidia vyooni, na kuoga, wanaleta marafiki zao, ambao pengine no majasusi wanapandikiza kamera na vinasa sauti, wanachomoa mafaili na kuondoka nayo, na kuhaki computer zetu, au ku-recruit staff wa ikulu dhidi ya nchi yetu.

Wewe kweli ni empty set , umejuaje hana kazi ya kumuingizia kipato? Lissu si mwanasheria au umesahau? Hafanyi kazi za uwakili/Uanasheria na consultation? Lissu si kiongozi chadema?
 
Jamaa huyu Lissu amekosa vigezo vyote vya kuongoza Taasisi yoyote nchi.
Ni raia wa nchi za nje.
Wapigania Uhuru wengi walilazimika kupata hifadhi nje ya nchi zao kukwepa kuuliwa na watesi wao. Ndiyo sababu hata Tz kukawa na kambi za ANC ya South Africa, Frelimo ya Msumbiji, ZANU PF ya Zimbabwe, nk.
Mlitaka Lissu akae Tz mumuue?!!
 
Kauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter.

Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi! Wanahamasisha watoto wetu waandamane, wapigwe rungu, wa kwao wako Trump Hotels wanakula baga na pizza.

Kwa nini Lissu hawaambii watoto wake wakane uraia wa Marekani ili wafaidi matunda ya anavyopigania? Je, Lissu sio mpango wa C.I.A katika taifa letu?

Muda utasema. Kwa sasa hana kazi ya kumuingizia kipato, lakini anatalii majiji ya Ulaya na Marekani akila maisha kwa fahari kuu, hatujui chanzo cha mapato yake.

Napiga picha ikulu yetu imejaa raia wa marekani, wanazurura tu katika bustani, wanajisaidia vyooni, na kuoga, wanaleta marafiki zao, ambao pengine no majasusi wanapandikiza kamera na vinasa sauti, wanachomoa mafaili na kuondoka nayo, na kuhaki computer zetu, au ku-recruit staff wa ikulu dhidi ya nchi yetu.
Mkuu, it pays to think before jumping to the keyboard.
 
Wapigania Uhuru wengi walilazimika kupata hifadhi nje ya nchi zao kukwepa kuuliwa na watesi wao. Ndiyo sababu hata Tz kukawa na kambi za ANC ya South Africa, Frelimo ya Msumbiji, ZANU PF ya Zimbabwe, nk.
Mlitaka Lissu akae Tz mumuue?!!
Huo ni ufinyu wa mawazo.
Tuambie nani wa ANC, FRELIMO na ZANU PF waliouwawa ndani ya nchi zao huru.
 
Kulikuwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe, na Tanzania tukamwondoa Nduli.

..Yoweri aliondoa familia yake kabla vita vya Tanzania vs Uganda havijaanza.

..Mtu akishaona mahali fulani si salama kwake na familia yake anayo haki ya kuhama kujinusuru.

..Lissu wanawe na familia yake walikuwa Tanzania mpaka pale walipomtumwa watu wamuue.
 
..Yoweri aliondoa familia yake kabla vita vya Tanzania vs Uganda havijaanza.

..Mtu akishaona mahali fulani si salama kwake na familia yake anayo haki ya kuhama kujinusuru.

..Lissu wanawe na familia yake walikuwa Tanzania mpaka pale walipomtumwa watu wamuue.
Uganda, DRC si Tanzania.
Lissu hawezi kuaminika na mtu yeyote Tanzania, na umaarufu wake kufanya siasa kupitia mtandao ni bure kabisa.
 
Lissu hajawahi kufanya kazi Marekani.
Issue si kufanya kazi, ni mtoto kuzaliwa. Kinachotakiwa ni CHETI CHA KUZALIWA, hata akizaliwa Airport tu ni raia. It's a shenzitype sort of
provision but kumbuka walitoka wapi. Mtamkumbuka Mbunge Nassari wa Arumeru? Naye alifukuzwa Ubunge na Supika Anna Makinda kwa kutohudhuria vikao? Alikuwa Marekani sponsorship ya chama chake CHADEMA, akahakikisha mama anatunga mimba na kuilea na kuzaa USA, patella mbali Ubunge. Hawo nao ni raia wa Marekani, sijui Nassari yuko wapi siku hizi? Hawa ndiyo jamaa zetu, wamefuta Uchaguzi 2025 watafanya vurugu.
 
Back
Top Bottom