Sasa tutafanyaje .....tumeshika makaliMala tuhamie burundi, nchi haina umoja, nchi haina mfumo wa kukwamua vijana nchi haina mfumo mzuri wa elimu wala ajira.. Nchi ina mifumo ya kinyonyaji, nchi imejaa watawala na viongozi wanyonyaji watu wenye tambaa mbaya na ubinafsi.. Na wanachi na sie tumeshikwa akili sijui dah π
Yes ana jipya, si unaona tuko naye pamoja tunapambana pamoja, Sasa huyu bash*** wa wazungu yeye Yuko ughaibuni huku akitupangia kipi cha kufanya, na Mara nyingine anatutaka eti tuandamane, huyu Ni mpuuzi tu!!Samiah ndio mwenye jipya?. Mgao na tozo na mfumuko wa Bei kwa kwenda mbele.
Huyo George weah umeona anavyo ifilisi Liberia wananchi hawana hamu naye kabisa, Mpaka wanahis hela anafcha kwa wanae huko usa. Anapata nguvu kwasabu mabeberu wameshamshika hakuna yyte wa kumtingaGeorge Weah ni Rais wa Liberia mtoto wake juzi kafunga bao na timu ya taifa ya marekani
So na George ni C.I.A?
Wakina Mandela waliishi Morogoro na Butiama wakati wa ubaguzi wa rangi south africa so hoja yako Haina mashiko.
Rais wa Congo wa Sasa aliishi Sana ubelgiji so na yeye ni mbelgiji?
Huyo trump mwenyewe na obama ukiwatazama hawana hata asili ya marekani lakini wametawala
Obama katumwa na kenya marekani na mke wake alitumwa na israel?
Hoja zako za kipumbavu Sana watu wataishi vipi kwenye nchi ambayo usalama wao hauna uhakika? Hakikisheni kwanza usalama wa watu ndio muanze kuwahukumu.
Wakina Akwilina, Azory, Mawazo wako wapi?
Na kuhakikishia hata wewe ukikalia kigoda kikuu, mambo yatateleza tuuu. Hutakiwi kuwa za saana kama akina Newton!!!!ππππππππMnyalu Balali anadunda tu kama Elizabeth!
FactI wish angekuwa kweli huo mpango wa CIA ili atusaidie kuiondoa ccm madarakani.
Baada ya hapo tutajua cha kufanya. Ila kwa sasa adui wetu namba moja kama Taifa, ni ccm! Na siyo Tundu Lissu, au hao CIA.
Tena siyo kwamba wako Oman tu kakini ni sehemu ya Royal Family ya OmanRais wako ana wajomba Oman mbona hujaanzisha uzi?
Mtu kuwa na watoto au wazazi nchi nyingine kama raia haina uhusiano wowote na uzalendo wa mtu binafsi juu ya nchi yake...
Naona mnawatete kina lisu wenu kwa Hali yoyotee nyinyi hamuoni shidaGeorge Weah ni Rais wa Liberia mtoto wake juzi kafunga bao na timu ya taifa ya marekani
So na George ni C.I.A?
Wakina Mandela waliishi Morogoro na Butiama wakati wa ubaguzi wa rangi south africa so hoja yako Haina mashiko.
Rais wa Congo wa Sasa aliishi Sana ubelgiji so na yeye ni mbelgiji?
Huyo trump mwenyewe na obama ukiwatazama hawana hata asili ya marekani lakini wametawala
Obama katumwa na kenya marekani na mke wake alitumwa na israel?
Hoja zako za kipumbavu Sana watu wataishi vipi kwenye nchi ambayo usalama wao hauna uhakika? Hakikisheni kwanza usalama wa watu ndio muanze kuwahukumu.
Wakina Akwilina, Azory, Mawazo wako wapi?
Mungu kwanza, cha pili kuanza na kutumia tulicho nacho ambacho Mungu ameturiki. Musa aliulizwa una nini kwanini kunililia mimi? Akasema nina fimbo, Bwana akamuambia inyoshe kuelekea baharini na bahari ikatawanyika ( Miracles from Above). Tutumie kidogo ambacho Mungu kutujalia kujikwamua tulipo huenda muujiza ukawa mbele yetu kwakuwa tumechukua hatua.. Nchi hii imejaaa waovu na makatili sana na wabinafsi waliopitiliza kiwango na kuwa kama wana wa mashteniSasa tutafanyaje .....tumeshika makali
Ulitaka mpaka waue na familia yake,wasiwasi ndio akili.Bongo hakuna mpinzani wa kweli
Bongo hakuna mpinzani wa kweli
Umeme na maji umewashinda nyie mbwa mnabaki mnabweka bweka "mama anaupiga mwingi". Wapuuzi nyie fungeni mabakuli yenu hayoKauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter.
Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi.! Wanahamasisha watoto wetu waandamane, wapigwe rungu, wa kwao wako Trump Hotels wanakula baga na pizza.
Kwa nini Lissu hawaambii watoto wake wakane uraia wa Marekani ili wafaidi matunda ya anavyopigania? Je, Lissu sio mpango wa C.I.A katika taifa letu?
Muda utasema. Kwa Sasa hana kazi ya kumuingizia kipato, lakini anatalii majiji ya Ulaya na Marekani akila maisha kwa fahari kuu, hatujui chanzo Cha mapato yake
Ndio maana hata CCM yenyewe haiaminiki kwa watanzania kamwe!Mbona Wanaccm wengi tu Wana uraia wa Marekani na wengine Cuba na tumewapa hadi uwaziri
Ni kawaida sana
Bongo kamwe usimuamini mwanasiasa na wasanii.wote wanaishi kimaigizo
Yani hii nchi hata ambao hatuchokagi tumechokaAkili kichwani mzee.. Hii nchi walicho nacho wanatengezea mazingira mazuri sana kwa watoto wao na vizazi vyao.. Kesheshe ipo kwa wasio nacho makapuku.. Ubinafai umetalamaki, hadi inafikia viongozi wanatoa matamko ya ajabu tusio na ajira tukachekiwe mirembe, mala tupo wazembe mala tujiajiri.. Ila tu kwakuwa wao wameshiba.. Jobless kama mzabzab atatoka hapo [emoji28][emoji28]
Mzeeya hawa wanatuina sie majinga tuu. Wote walamba asali tuu aliyeshiba hamjui mwenye njaa
Sawa mkuu wacha ninywe chai hapa ya mama wa kambo alafu nianze kujiona wa thamaniWewe ndio unajioana mjinga. Jione wa maana kwanza acha kuangalia mwingine anakuonaje.
Wanasiasa bwana aligombea urais huku amekata TICKET ya go and return ππ, mh. Lowasa alisema kipaumbele na moja mpaka tatu Ni ELIMU. aliona mbali Sana mzee wetu..mtu asababishe vulugu watu wavunjwe yy familia yake yote ipo kwa mabeberu huko.
Tatizo la hawa wakwetu wanataka maandamano yasiyo na kikomo.George Weah ni Rais wa Liberia ila mwanae raia wa Marekani
Wahuni wa Benghazi walikuwa wanawaza hivi hivi!!! Yaliyowakuta, hawataki kuyasimulia.Baada ya hapo tutajua cha kufanya. Ila kwa sasa adui wetu namba moja kama Taifa, ni ccm! Na siyo Tundu Lissu, au hao CIA
Na kenya na MarekaniNa kwa sababu huijui historia ya Liberia na Marekani, sioni ajabu kwako kusema hayo uyasemayo.
Ila nakushauri uelewe hivi.
"Liberia is a country in West Africa founded by free people of color from the United States. The emigration of African Americans, both free and recently emancipated, was funded and organized by the American Colonization Society. The mortality rate of these settlers was the highest in accurately recorded human history."
Kwa hayo Machache wewe ...
johnthebaptist !
Unapaswa kujua kwamba hata yule Mama Johnson Sirleaf alikuwa Rais Liberia,lakini familia yake ikiwa USA.
Hilo taifa liliundwa na Marekani. Ni masalia ya watumwa waliorudishwa Africa ili kupunguza uzao na ongezeko la idadi yao,dhidi ya wamarekani weupe!
Kwa hiyo Wa-Liberia wengi,Marekani ndio kwa mababu zao.