Huwezi kuifananisha Libya ya Gaddafi, na hii Tanzania yetu ya ccm!Wahuni wa Benghazi walikuwa wanawaza hivi hivi!!! Yaliyowakuta, hawataki kuyasimulia.
Tujifunze madhara ya mawazo ya wahuni wa Benghazi tusije na sisi kuitwa "wahuni".
Najua ngumu kunielewa lakini jitahidi hivyo hivyo nitaeleweka.
Nchi hizi za magharibi zina ugomvi usioisha na zilizokua nchi za kijamaa, hawatapumzika hadi wameondoa madarakani mizizi yote ya ujamaa..Dah aiseeh!. CIA Agent Tena?. Yani CIA agent wanajulikana hadharani?. Mtatafutia majina mengi, Ila Cha muhimu alishinda mipango miovu.
Kwani hao wagombea ambao watoto wao hapa nchini, wana jipya lipi kwenye maisha yetu?Mgombea urais wanawe Wana urai was nchi nyingine!!!..hawaamini Kama watashinda achilia mbali Shaka ya uzalendo wao
Fikra za kijima. Hivi watoto wa Samia wanaishi ikulu? Rais wa Marekani akija Tanzania, hawezi kwenda chooni? Akienda chooni kunatokea nini?Hao walienda kuficha familia, sisi ikulu yetu ikaliwe na wamarekani kweli, wazurure huko na huko mpaka vyooni?
Kauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter.
Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi.! Wanahamasisha watoto wetu waandamane, wapigwe rungu, wa kwao wako Trump Hotels wanakula baga na pizza.
Kwa nini Lissu hawaambii watoto wake wakane uraia wa Marekani ili wafaidi matunda ya anavyopigania? Je, Lissu sio mpango wa C.I.A katika taifa letu?
Muda utasema. Kwa Sasa hana kazi ya kumuingizia kipato, lakini anatalii majiji ya Ulaya na Marekani akila maisha kwa fahari kuu, hatujui chanzo Cha mapato yake.
Napiga picha ikulu yetu imejaa raia wa marekani, wanazurura tu katika bustani, wanajisaidia vyooni, na kuoga, wanaleta marafiki zao, ambao pengine no majasusi wanapandikiza kamera na vinasa sauti, wanachomoa mafaili na kuondoka nayo, na kuhaki computer zetu, au ku-recruit staff wa ikulu dhidi ya nchi yetu
Wenye akili tulishalisoma lisu siku nyingi kabisa. Ni zombie likibaraka la western.Kauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter.
Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi.! Wanahamasisha watoto wetu waandamane, wapigwe rungu, wa kwao wako Trump Hotels wanakula baga na pizza.
Kwa nini Lissu hawaambii watoto wake wakane uraia wa Marekani ili wafaidi matunda ya anavyopigania? Je, Lissu sio mpango wa C.I.A katika taifa letu?
Muda utasema. Kwa Sasa hana kazi ya kumuingizia kipato, lakini anatalii majiji ya Ulaya na Marekani akila maisha kwa fahari kuu, hatujui chanzo Cha mapato yake.
Napiga picha ikulu yetu imejaa raia wa marekani, wanazurura tu katika bustani, wanajisaidia vyooni, na kuoga, wanaleta marafiki zao, ambao pengine no majasusi wanapandikiza kamera na vinasa sauti, wanachomoa mafaili na kuondoka nayo, na kuhaki computer zetu, au ku-recruit staff wa ikulu dhidi ya nchi yetu
Mimi nina akili timamu namuamini sana kuliko samia na magufuli,kisa cha kumuamini ni wakati ule alipowatoa jela watu zaidi ya 300 wakati huo wewe haujavunja ungoHuyo jamaa Hana jipya Hakuna mtanzania mwenye akili timamu anaweza muamini
Umeongea ukweli mtupu viongoz wengi watoto wao wapo njee na wamesoma huko!Akili kichwani mzee.. Hii nchi walicho nacho wanatengezea mazingira mazuri sana kwa watoto wao na vizazi vyao.. Kesheshe ipo kwa wasio nacho makapuku.. Ubinafai umetalamaki, hadi inafikia viongozi wanatoa matamko ya ajabu tusio na ajira tukachekiwe mirembe, mala tupo wazembe mala tujiajiri.. Ila tu kwakuwa wao wameshiba.. Jobless kama mzabzab atatoka hapo π π
Tate, you have made my day.[emoji1666][emoji1666][emoji1666]I wish angekuwa kweli huo mpango wa CIA ili atusaidie kuiondoa ccm madarakani.
Baada ya hapo tutajua cha kufanya. Ila kwa sasa adui wetu namba moja kama Taifa, ni ccm! Na siyo Tundu Lissu, au hao CIA.
Kauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter.
Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi.! Wanahamasisha watoto wetu waandamane, wapigwe rungu, wa kwao wako Trump Hotels wanakula baga na pizza.
Kwa nini Lissu hawaambii watoto wake wakane uraia wa Marekani ili wafaidi matunda ya anavyopigania? Je, Lissu sio mpango wa C.I.A katika taifa letu?
Muda utasema. Kwa Sasa hana kazi ya kumuingizia kipato, lakini anatalii majiji ya Ulaya na Marekani akila maisha kwa fahari kuu, hatujui chanzo Cha mapato yake.
Napiga picha ikulu yetu imejaa raia wa marekani, wanazurura tu katika bustani, wanajisaidia vyooni, na kuoga, wanaleta marafiki zao, ambao pengine no majasusi wanapandikiza kamera na vinasa sauti, wanachomoa mafaili na kuondoka nayo, na kuhaki computer zetu, au ku-recruit staff wa ikulu dhidi ya nchi yetu
Sasa Tanzania haina uraia pacha hivyo lazima wawe raia wa taifa moja tuWatoto wake hawana uraia wa nchi moja wana uraia wa nchi tatu na wengine mbili
Wana uraia wa marekani, liberia na ufaransa na wengine ni raia wa marekani na liberia
Hivyo sio wamarekani pekee bali wana sifa sawa ktk nchi zote tatu
Kama ilivyo kwa Elon ambaye ana uraia wa US, CA na SA
hapo kwenye bold...you are very very correctMarekani haujaundwa kwaajili ya MINORITIES hasa hasa mtu Mweusi.
Saaana utaishi Kama Mbweha mpaka ukome.
Wahuni wa Benghazi walikuwa wanawaza hivi hivi!!! Yaliyowakuta, hawataki kuyasimulia.
Tujifunze madhara ya mawazo ya wahuni wa Benghazi tusije na sisi kuitwa "wahuni".
Najua ngumu kunielewa lakini jitahidi hivyo hivyo nitaeleweka.
Uunde wewe huo unaodhani ndio upinzani wa kweli.Bongo hakuna mpinzani wa kweli
πππππππJf Ingekuwa kama twitter hili bandiko lilitakiwa liwe "pinned".I wish angekuwa kweli huo mpango wa CIA ili atusaidie kuiondoa ccm madarakani.
Baada ya hapo tutajua cha kufanya. Ila kwa sasa adui wetu namba moja kama Taifa, ni ccm! Na siyo Tundu Lissu, au hao CIA.
Sawa wewe mwanachama wa genge la uhujumu uchumi,genge la ufisadi,genge la uuaji,genge la uzinzi,genge la ushirikina,genge la kishetani kwa ujumla liitwalo CCM.Hamna chama hapo, hiyo ni saccoss ya wachaga
Ukitaka kujua kazi ya CIA mkuu fatilia historia ya Patrice Lumumba na Congo utaelewa.I wish angekuwa kweli huo mpango wa CIA ili atusaidie kuiondoa ccm madarakani.
Baada ya hapo tutajua cha kufanya. Ila kwa sasa adui wetu namba moja kama Taifa, ni ccm! Na siyo Tundu Lissu, au hao CIA.