Lissu: Watoto wangu wote ni raia wa Marekani

Lissu: Watoto wangu wote ni raia wa Marekani

Ila ma CCM wako uninformed kweli kweli. Hawajui watoto wa rais wao waliomba ukimbizi UK miaka hiyo na sasa ni raia wa Uingereza.

Sasa hao na watoto wa Lissu ambao uraia wao ni kwasababu walizaliwa huko, ipi mbovu?
 
I wish angekuwa kweli huo mpango wa CIA ili atusaidie kuiondoa ccm madarakani.

Baada ya hapo tutajua cha kufanya. Ila kwa sasa adui wetu namba moja kama Taifa, ni ccm! Na siyo Tundu Lissu, au hao CIA.
Kwa sasa hata shetani akiibuka kutoka kuzimu akasema atusaidie kuitoa ccm...sisi wananchi tutakuwa upande wake.

Stage iliyopo hata kura ipigwe kati ya Nabii tito na Sa100 watu ni heri waende na nabii tito
 
Kauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter.

Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi.! Wanahamasisha watoto wetu waandamane, wapigwe rungu, wa kwao wako Trump Hotels wanakula baga na pizza.

Kwa nini Lissu hawaambii watoto wake wakane uraia wa Marekani ili wafaidi matunda ya anavyopigania? Je, Lissu sio mpango wa C.I.A katika taifa letu?

Muda utasema. Kwa Sasa hana kazi ya kumuingizia kipato, lakini anatalii majiji ya Ulaya na Marekani akila maisha kwa fahari kuu, hatujui chanzo Cha mapato yake
Sasa ulitaka watoto wake wasote kama wa ndugu zako wanaolilia mikopo ya elimu ya juu bila mafanikio!
 
George Weah ni Rais wa Liberia mtoto wake juzi kafunga bao na timu ya taifa ya marekani

So na George ni C.I.A?

Wakina Mandela waliishi Morogoro na Butiama wakati wa ubaguzi wa rangi south africa so hoja yako Haina mashiko.

Rais wa Congo wa Sasa aliishi Sana ubelgiji so na yeye ni mbelgiji?

Huyo trump mwenyewe na obama ukiwatazama hawana hata asili ya marekani lakini wametawala

Obama katumwa na kenya marekani na mke wake alitumwa na israel?

Hoja zako za kipumbavu Sana watu wataishi vipi kwenye nchi ambayo usalama wao hauna uhakika? Hakikisheni kwanza usalama wa watu ndio muanze kuwahukumu.

Wakina Akwilina, Azory, Mawazo wako wapi?
Mzee nawe umeandika hoja mfu Sana aisee...aliyekuwa anatishia maisha ya Lissu na serikali yake wote sasa hivi hawapo...Mama Samia alimtembele mpaka ubeligiji akamwambia Rudi nyumbani..na zaidi akamlipa na stahiki zake za ubunge...akahojiwa na BBC aksema atakuja nchini mwezi Nne mwaka huu.., hivi sasa ni mwezi wa 11, jamaa anadunda ulaya Kisha anatoa matamko ya kijinga...why asirudi bongo kama.mwenzake mbowe baada ya kusikia magu kafa akarudi chap..
 
Ma CCM ni majinga majinga sana. Yana roho mbaya kuhusu watu wengine huku viongozi wao wakuu hata ni hovyo sana.

Kama huyu aliyeanzisha hii post alifikiri watoto wa Lissu kuwa na uraia wa Marekani ni kitu cha ajabu.

Hakujua rais wake mwenyewe ana watoto na ndugu wengi tu raia wa UK na Oman.

Ukliwa na roho mbaya shida sana.

Hawa hawa ndio walimpig Lissu risasi 37
 
Kauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter.

Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi.! Wanahamasisha watoto wetu waandamane, wapigwe rungu, wa kwao wako Trump Hotels wanakula baga na pizza.

Kwa nini Lissu hawaambii watoto wake wakane uraia wa Marekani ili wafaidi matunda ya anavyopigania? Je, Lissu sio mpango wa C.I.A katika taifa letu?

Muda utasema. Kwa Sasa hana kazi ya kumuingizia kipato, lakini anatalii majiji ya Ulaya na Marekani akila maisha kwa fahari kuu, hatujui chanzo Cha mapato yake
Wewe kila siku unaleta upuuzi mtupu, hakuna simu hata moja akili yako inakaa sawa?

Nani ilikuambia kuwa Lisu hana kazi? Kama hujui, uliza kwanza kabla ya kuropoka.

Baada ya yeye Lisu kuwa targeted na utawala wa kishetani, ulitaka watoto wabakie hapa ili nao washambuliwe kwa risasi kama ngiri, kama alivyofanywa Baba yao?

Usiwe mjinga, soma historical intelligency uelimike. Unafahamu Mwalimu Nyerere alienda kuificha wapi familia yake wakati wa kupigania uhuru? Unafahamu Samora alienda kuificha wapi familia yake wakati wa mapambano? Unafahamu Augustinho Neto alienda kuificha wapi familia yake wakati wa mapambano? Hivi unadhani wakati wa mapambano familia ya wewe kapuku itawindwa kwa nguvu sawa na familia ya kiongozi wa mapambano?
 
Kauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter.

Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi.! Wanahamasisha watoto wetu waandamane, wapigwe rungu, wa kwao wako Trump Hotels wanakula baga na pizza.

Kwa nini Lissu hawaambii watoto wake wakane uraia wa Marekani ili wafaidi matunda ya anavyopigania? Je, Lissu sio mpango wa C.I.A katika taifa letu?

Muda utasema. Kwa Sasa hana kazi ya kumuingizia kipato, lakini anatalii majiji ya Ulaya na Marekani akila maisha kwa fahari kuu, hatujui chanzo Cha mapato yake
The world is a global village. Kama wamepata opportunities huko, why not. Hapa nchi inamilikiwa na wachache... Akina Mwinyi, Kikwete, Makamba, Suluhu, Nahuye,. Kama huna jina kupenetrate ni ngumu labda uwe na God father.

George Weah, Rais wa Liberia, mtoto wake kachukua uraia wa Marekani na yuko Qatar kuwasilisha USA.
 
Mzee nawe umeandika hoja mfu Sana aisee...aliyekuwa anatishia maisha ya Lissu na serikali yake wote sasa hivi hawapo...Mama Samia alimtembele mpaka ubeligiji akamwambia Rudi nyumbani..na zaidi akamlipa na stahiki zake za ubunge...akahojiwa na BBC aksema atakuja nchini mwezi Nne mwaka huu.., hivi sasa ni mwezi wa 11, jamaa anadunda ulaya Kisha anatoa matamko ya kijinga...why asirudi bongo kama.mwenzake mbowe baada ya kusikia magu kafa akarudi chap..
Hawezi akarudi saa hizi, atarudi maana hawezi kukaa bila kazi,
 
Kauli hii ameitoa Tundu Lissu wakati akichangia mada katika space huko Twitter.

Kumbe wenzetu wanataka kuleta vurugu hapa nchini, wao wameshatanguliza familia zao nje ya nchi.! Wanahamasisha watoto wetu waandamane, wapigwe rungu, wa kwao wako Trump Hotels wanakula baga na pizza.

Kwa nini Lissu hawaambii watoto wake wakane uraia wa Marekani ili wafaidi matunda ya anavyopigania? Je, Lissu sio mpango wa C.I.A katika taifa letu?

Muda utasema. Kwa Sasa hana kazi ya kumuingizia kipato, lakini anatalii majiji ya Ulaya na Marekani akila maisha kwa fahari kuu, hatujui chanzo Cha mapato yake
hata ungekuwa wewe, Mungu amekuepushia assassination kama ilivyokuwa kwa Lisu, hautataka kuiokoa familia yako? Utaiacha tu iendelee kuzurura kariakoo?.....
 
George Weah ni Rais wa Liberia mtoto wake juzi kafunga bao na timu ya taifa ya marekani

So na George ni C.I.A?

Wakina Mandela waliishi Morogoro na Butiama wakati wa ubaguzi wa rangi south africa so hoja yako Haina mashiko.

Rais wa Congo wa Sasa aliishi Sana ubelgiji so na yeye ni mbelgiji?

Huyo trump mwenyewe na obama ukiwatazama hawana hata asili ya marekani lakini wametawala

Obama katumwa na kenya marekani na mke wake alitumwa na israel?

Hoja zako za kipumbavu Sana watu wataishi vipi kwenye nchi ambayo usalama wao hauna uhakika? Hakikisheni kwanza usalama wa watu ndio muanze kuwahukumu.

Wakina Akwilina, Azory, Mawazo wako wapi?
Huyu Chinembe lazIma ana uwendawazimu wa aina fulani. Hakuna siku analeta jambo la maana. Sidhani kama ana faida yoyote kwa yeyote.
 
Black hawk si attack helicopter ya marekani!!..kimsingi uingereza waliojifanya kumpa safe escape route ndiyo waliomuuza,na aliuawa na majasusi wa ufaransa, Gaddafi alitishia zaidi maslahi ya ufaransa kwa kutaka kuzifanya francophone countries kutopeleka gold reserve bank kuu ufaransa
Sorry, Globo hawk not blackhawk
 
Wewe kila siku unaleta upuuzi mtupu, hakuna simu hata moja akili yako inakaa sawa?

Nani ilikuambia kuwa Lisu hana kazi? Kama hujui, uliza kwanza kabla ya kuropoka.

Baada ya yeye Lisu kuwa targeted na utawala wa kishetani, ulitaka watoto wabakie hapa ili nao washambuliwe kwa risasi kama ngiri, kama alivyofanywa Baba yao?

Usiwe mjinga, soma historical intelligency uelimike. Unafahamu Mwalimu Nyerere alienda kuificha wapi familia yake wakati wa kupigania uhuru? Unafahamu Samora alienda kuificha wapi familia yake wakati wa mapambano? Unafahamu Augustinho Neto alienda kuificha wapi familia yake wakati wa mapambano? Hivi unadhani wakati wa mapambano familia ya wewe kapuku itawindwa kwa nguvu sawa na familia ya kiongozi wa mapambano?
Hao walienda kuficha familia, sisi ikulu yetu ikaliwe na wamarekani kweli, wazurure huko na huko mpaka vyooni?
 
Back
Top Bottom