Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sampuli moja na wakingaMkuu wabena unawajua... vipi unawaonaje nao?
Wapare sampuli moja na wachagaWapare waingie kwa kigezo kipi?
wapare wanakosaje kwenye hiyo list
Kwanza kabisa inabidi ujuwe kuna utofauti wa akili, ubabaishaji na ujanja. Hawa wakinga, wapemba, Waha, na wakurya ni wajanga tu na ndiyo maana ni watundu sana kwenye masuala ya nguvu za giza kwa kila kitu maishani mwao haswa Waha, Wakinga, na Wapemba.Nyuzi nyingi zimezungumzia makabila yenye watu wengi wenye elimu nasiyo akili. Elimu pekee haitoshi ila tunahitaji uwezo wa akili pamoja na elimu ili kuleta ubunifu ili tubali taifa.
Pamoja kwamba wahaya, wachagga na wanyakyusa kusifiwa kama makabila yenye wasomi wengi lakini hakuna cha maana walichofanya katika nchi hii yenye umaskini wakunuka usio hata na dalili za kupungua kila siku afadhali ya jana.
Wasomi kazi majigambo na kujisifia kwa watanzania wenzao na kujiona wao ni bora zaidi, mfano wachaga wanajiita waislaeli wa Tanzania daah! kwakweli hivi ni vichekesho.
Most ya makibila yenye wasomi wengi ni kwa sababu ya ukoloni na siyo jitihada zao.
Haya nisiwachoshe sana twende kwenye list ya makabila yenye watu wengi wenye akili kama wangepata elimu mapema tungefika mbali sana:
1. Wakinga
2. Wasukuma
3. Waha
4. Wahehe
5. Wakurya
6. Wamasai
7. Wapemba
Kuna watu watabisha kwa sababu ya egoism lakini huo ni ukweli.
Umeshindwa kuingia hata Google!Akili ni nini?
NDIYO, NA WANAONGEA KIPEMBA.Wapemba nalo kabila?
Wana ongea lugha gani hawa?
Hamna kitu chochote, overrated tribe, leta watu watatu wafanyabiashara giants wa kikinga ambao wana biashara zenye mtaji wa bilioni 20+Uhalisia wao naenda kariakoo ndio utaujuwa.
Hakuna mtu mweusi mwenye akili duniani wote wana utashi wa kula ugali kunya na kulala tu akili wanazo whites ndio wanaindesha dunia nyie black mamba ni km ng'ombe tuNyuzi nyingi zimezungumzia makabila yenye watu wengi wenye elimu nasiyo akili. Elimu pekee haitoshi ila tunahitaji uwezo wa akili pamoja na elimu ili kuleta ubunifu ili tubali taifa.
Pamoja kwamba wahaya, wachagga na wanyakyusa kusifiwa kama makabila yenye wasomi wengi lakini hakuna cha maana walichofanya katika nchi hii yenye umaskini wakunuka usio hata na dalili za kupungua kila siku afadhali ya jana.
Wasomi kazi majigambo na kujisifia kwa watanzania wenzao na kujiona wao ni bora zaidi, mfano wachaga wanajiita waislaeli wa Tanzania daah! kwakweli hivi ni vichekesho.
Most ya makibila yenye wasomi wengi ni kwa sababu ya ukoloni na siyo jitihada zao.
Haya nisiwachoshe sana twende kwenye list ya makabila yenye watu wengi wenye akili kama wangepata elimu mapema tungefika mbali sana:
1. Wakinga
2. Wasukuma
3. Waha
4. Wahehe
5. Wakurya
6. Wamasai
7. Wapemba
Kuna watu watabisha kwa sababu ya egoism lakini huo ni ukweli.
Hiv tz kuna mtu mwenye elimu au akili je hizo akili na elimu inawasaidia vp kenge nyinyi ikiwa kila kitu mnasubiri mfanyiwe na weupe?Nyuzi nyingi zimezungumzia makabila yenye watu wengi wenye elimu nasiyo akili. Elimu pekee haitoshi ila tunahitaji uwezo wa akili pamoja na elimu ili kuleta ubunifu ili tubali taifa.
Pamoja kwamba wahaya, wachagga na wanyakyusa kusifiwa kama makabila yenye wasomi wengi lakini hakuna cha maana walichofanya katika nchi hii yenye umaskini wakunuka usio hata na dalili za kupungua kila siku afadhali ya jana.
Wasomi kazi majigambo na kujisifia kwa watanzania wenzao na kujiona wao ni bora zaidi, mfano wachaga wanajiita waislaeli wa Tanzania daah! kwakweli hivi ni vichekesho.
Most ya makibila yenye wasomi wengi ni kwa sababu ya ukoloni na siyo jitihada zao.
Haya nisiwachoshe sana twende kwenye list ya makabila yenye watu wengi wenye akili kama wangepata elimu mapema tungefika mbali sana:
1. Wakinga
2. Wasukuma
3. Waha
4. Wahehe
5. Wakurya
6. Wamasai
7. Wapemba
Kuna watu watabisha kwa sababu ya egoism lakini huo ni ukweli.
Anhaa sawa mkuuWapare sampuli moja na wachaga
Ya kubisha/Ubishi [emoji1787]Waha wana akili gani
Wanaelimu ya kukalili darasani hawana akili ya kutumia maarifa waliyopata kuleta changesWasomi wa bongo ndio wanaangamiza nchi hii. Mpaka wageni wawepo ndio utaona kitu au mradi unapumua
Wakiambiwa waratibu miradi , wanafanya madudu, wakienda kwenye tribunal, wanaongea madudu. Hapa naongelea ma professor walimu wa chuo kikuu wenye PhD.Wasomi wa bongo ndio wanaangamiza nchi hii. Mpaka wageni wawepo ndio utaona kitu au mradi unapumua