hy ndio tunaita id hominemis yaana kuishiwa kwa goja kumshambulia mtoa hojaSIdhani kama kuna kabila lenye watu wasio na akili, hebu ulieandika mada hii leta sababu za kuona makabila hayo yana akili, na makabila ambayo hukuyataja eti hayana akili weka sababu.
Na ikiwezekana uelezee kwanza akili nini, ndipo ulete hizo sababu.
Toa Wasukuma na Wakurya, OngezeaNyuzi nyingi zimezungumzia makabila yenye watu wengi wenye elimu nasiyo akili. Elimu pekee haitoshi ila tunahitaji uwezo wa akili pamoja na elimu ili kuleta ubunifu ili tubali taifa.
Pamoja kwamba wahaya, wachagga na wanyakyusa kusifiwa kama makabila yenye wasomi wengi lakini hakuna cha maana walichofanya katika nchi hii yenye umaskini wakunuka usio hata na dalili za kupungua kila siku afadhali ya jana.
Wasomi kazi majigambo na kujisifia kwa watanzania wenzao na kujiona wao ni bora zaidi, mfano wachaga wanajiita waislaeli wa Tanzania daah! kwakweli hivi ni vichekesho.
Most ya makibila yenye wasomi wengi ni kwa sababu ya ukoloni na siyo jitihada zao.
Haya nisiwachoshe sana twende kwenye list ya makabila yenye watu wengi wenye akili kama wangepata elimu mapema tungefika mbali sana:
1. Wakinga
2. Wasukuma
3. Waha
4. Wahehe
5. Wakurya
6. Wamasai
7. Wapemba
Kuna watu watabisha kwa sababu ya egoism lakini huo ni ukweli.
Wapo Kila idara SerikaliYeye Kwa sababu anawaona wapo pale kariakoo basi Wanaakili.Hii Nchi tatizo sio CCM.
Punguza wivu,wapo Kila sehemu sio Kariakoo tuu ni Wasomi Toka enzi za kina Tuntemeke Sanga.Poor mind.! Kila kabila lina watu wenye akili hao wakinga kuibuka na kujazana kariakoo basi mnazani mmemaliza.!
Kila kabila lina mchango wake mkubwa tu kwny maendeleo ya nchi hii.! Tembea uone
2&3 ndio Wana akili nyie wengine ni nyumbu wengi na Maarufu ila hakuna kitu.1.Msukuma
2.mkinga
3.Maasai
4.Mchaga
5.Mkurya
Udumavu wa lishe ila ni very bright,Je wangekuwa hawana udumavu ingekuaje?Sasa wakinga na ule udumavu wa lishe akili watoe wapi. Kweli kibaya chajitembeza.
Naona umeongezea vilaza ππ1.wakerewe
2.wachagga
3.wamanda
4.wahaya
5.wairaq
6.wanyakyusa
7.wajaluo
8.wasukuma
9.wamakua
10.wayao
11.maasai
12.wapare
13.waha
Onyesha neno linalomshambulia alieandika mada hii hapa, kwenye maeneo yote niliyoandika.hy ndio tunaita id hominemis yaana kuishiwa kwa goja kumshambulia mtoa hoja
Nyuzi nyingi zimezungumzia makabila yenye watu wengi wenye elimu nasiyo akili. Elimu pekee haitoshi ila tunahitaji uwezo wa akili pamoja na elimu ili kuleta ubunifu ili tubali taifa.
Pamoja kwamba wahaya, wachagga na wanyakyusa kusifiwa kama makabila yenye wasomi wengi lakini hakuna cha maana walichofanya katika nchi hii yenye umaskini wakunuka usio hata na dalili za kupungua kila siku afadhali ya jana.
Wasomi kazi majigambo na kujisifia kwa watanzania wenzao na kujiona wao ni bora zaidi, mfano wachaga wanajiita waislaeli wa Tanzania daah! kwakweli hivi ni vichekesho.
Most ya makibila yenye wasomi wengi ni kwa sababu ya ukoloni na siyo jitihada zao.
Haya nisiwachoshe sana twende kwenye list ya makabila yenye watu wengi wenye akili kama wangepata elimu mapema tungefika mbali sana:
1. Wakinga
2. Wasukuma
3. Waha
4. Wahehe
5. Wakurya
6. Wamasai
7. Wapemba
Kuna watu watabisha kwa sababu ya egoism lakini huo ni ukweli.
While people are making papers.. We are busy discussing their origins...!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Chanzo cha utafiti huu please acha blahblahNyuzi nyingi zimezungumzia makabila yenye watu wengi wenye elimu nasiyo akili. Elimu pekee haitoshi ila tunahitaji uwezo wa akili pamoja na elimu ili kuleta ubunifu ili tubali taifa.
Pamoja kwamba wahaya, wachagga na wanyakyusa kusifiwa kama makabila yenye wasomi wengi lakini hakuna cha maana walichofanya katika nchi hii yenye umaskini wakunuka usio hata na dalili za kupungua kila siku afadhali ya jana.
Wasomi kazi majigambo na kujisifia kwa watanzania wenzao na kujiona wao ni bora zaidi, mfano wachaga wanajiita waislaeli wa Tanzania daah! kwakweli hivi ni vichekesho.
Most ya makibila yenye wasomi wengi ni kwa sababu ya ukoloni na siyo jitihada zao.
Haya nisiwachoshe sana twende kwenye list ya makabila yenye watu wengi wenye akili kama wangepata elimu mapema tungefika mbali sana:
1. Wakinga
2. Wasukuma
3. Waha
4. Wahehe
5. Wakurya
6. Wamasai
7. Wapemba
Kuna watu watabisha kwa sababu ya egoism lakini huo ni ukweli.
Noma sana!While people are making papers.. We are busy discussing their origins...!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawana lolote hao wachaga na wahaya miaka yote na elimu ya mkoloni waliyonayo kazi ubinafsi na kuwekana ndugu sehemu nzuri utafikiri tanzania siyo wapo kwa muda, wakati hata ukimsaidia mmakonde ni sawa umemsaidia mchaga au muhaya.Toa Wasukuma na Wakurya, Ongezea
-Wangoni/Matengo
-Zanaki
-Wabena
-Jaluo
Mwisho una utani na Wahaya na Wachaga wewe sio Bure ππ
Acha ubinafsi kabila lako litatajwa kwa mengine siyo lazima kwa kila jamboChanzo cha utafiti huu please acha blahblah
Wanyakyusa mbona wanakuzwa sana alafu wakawaidanilitegemea
mhaya
mchaga na
mnyakyusa ndio top.
Hata wewe mshana jr unakaubinafsi! Je, ujawahi support mada kama hii au kwakuwa wachaga hawatajwa katika list?While people are making papers.. We are busy discussing their origins...!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kariakoo ndo kipimo chako seriousUhalisia wao naenda kariakoo ndio utaujuwa.
Daah! πHii Nchi tatizo sio CCM.