Longido, Arusha: Vijana 70 wakamatwa na chuo chao kufungwa wakifundishwa karate na mafunzo ya siasa kali

Vipi itikadi Kali nayo ni mazoezi?
 
unajua kujifunza martial arts kwenye vituo ambavyo havijasajiliwa ni kosa kisheria? jumlisha na mafunzo ya itikadi kali ukiongezea na umri wa watoto wanaotakiwa kuwa shule bado unaona wazee wa kitengo wanazingua
 
Hii dini miyeyusho sana,wao wanawaza tu vurugu,hii dini inafanya dunia isiwe mahali salama, sasa ndo nini dini kufundisha judo na karate? Wakitoka hapo wanaenda kuwa vibaka na kubaka watoto

Sent using Jamii Forums mobile app
kule libya walinishangaza, wanaswali huku wana bunduki, wakimaliza kuswali wanaendelea na mapigano. Pale sudan nako ni vurugu tupu, watafunga na kuswali huku wanalipuana. Mungu gani huyo anayeabudiwa mpenda shari? Ni upuuzi mtupu
 
Siku nikiwa Raisi wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar na Tanganyika.

Nitaifuta rasmi hii Dini. Kama Angola na China.
 
unajua kujifunza martial arts kwenye vituo ambavyo havijasajiliwa ni kosa kisheria? jumlisha na mafunzo ya itikadi kali ukiongezea na umri wa watoto wanaotakiwa kuwa shule bado unaona wazee wa kitengo wanazingua
Swalu langu ni kuwa, kwa nini waliachwa muda mrefu kama siyo kuzingua?
Kwani chipukizi si umri wa shule?
 
Umeandika jambo kubwa sana nilishaona hizi kambi nikiwa kondoa, mtwara kijiji cha nahyanga na tunduru..
Hali ni mbaya.
Nakumbuka kupitia taarifa yangu kambi mojawapo ilivunjwa ilikuwa tandahimba.
Hawa jamaa wamejipanua sana, serkali iwe na jicho kali waachane na chadema ambao hawana madhara.
 
Juzi nipo kwenye pantoni nilikutana na wawili watoto wadogo from my psychological point ya view yaowatakuwa hatari na wanaitadi kali.
 
Cc Pascal Mayalla mayalla Maxence Melo fanyieni kazi hii taarifa
 
Masta...
Mimi sina taarifa kamili ya hicho walichokuwa wanafundishwa hao vijana 70 wa Kiislam ambacho walioamua kufungia chuo chao wamekiona.

Ningefahamu hayo masomo yaliyoonekana ni itikadi kali ningeweza kujaribu kuchangia.
Utayaonea wapi na wakati umejifika kitambaa cheusi machoni mzee wangu..
Kuna siku nilikuchokonoa kuhusu ilunga na ulionyeaha kumsapoti..

Sasa kama ulikuwa na moyo huo.. haya ya vijana kufunzwa ugaidi utayaona kweli?
Cc Nguruvi3
 
Ngosha...
YMCA Dar es Salaam walikuwa na mafunzo ya karate na vijana wengi walihitimu pale na kuipata mikanda.

Nadhani na Don Bosco walikuwa na mafunzo kama hayo.

Mimi siwezi kuandika kama ulivyoandika wewe kuwa walikuwa wanataka kumpiga nani?
Kwanini hizo sehemu nyingine ziwe za kificho na hazijasajiliwa? Au ymca na don bosco zinajulikana wazi na activity kisekali na kiulasama kama vituo vya vijana
 
Wakristo mnategemea waislamu (sio uislamu) wakosee mpate kujisafisha kupitia hilo na hio ni njia pekee ya kupata relief

Any way, wafuasi wa Brian Deacon wamepata Cha kuongea
Hii peleka kigogo, buguruni,vingunguti na mbagala kwenye midhara ya kina mazinge na wajinga wengine wa ukristo hapa sio level yake.
 
Ila sidhani kama hao vijana wa YMCA waliacha shule/elimu dunia wakajikita kwenye elimu ya dini tu na karate.
Ymca nimepita don bosco nimepita sanaaa.. huyu mzee ms asitake ku'justify mambo
 
Tukisema hii dini ni tatizo kwa ulimwengu watu wanadhani tunatania,beware
Hawapendi amani popote hata makwao.. namkiwakaribisha sehemu zenu zenye amani pia wanataka kuzifanya ziwe na fujo..
 
We mnafiki,unajitoa akili umesahau mabomu ya ubalozi wa usa,mauaji ya kibiti,mapango ya amboni n.k
Atakwambia ni hila za wakatoliki..
Wakati haohao ndio wamemsomesha pale st joseph dar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…