Longido, Arusha: Vijana 70 wakamatwa na chuo chao kufungwa wakifundishwa karate na mafunzo ya siasa kali

Longido, Arusha: Vijana 70 wakamatwa na chuo chao kufungwa wakifundishwa karate na mafunzo ya siasa kali

Natumai vyombo vya ulinzi na Usalama vimo humu watachukua hatua mapema sana either kwa ukimya au kwa kutoa taarifa.

Hii Amani yetu Watanzania imetufanya tujisahau sana hakika, hivi na kesho Kkkt, kesho kutwa Rc, mtondogoo wakaanza kufundishana Judo na Karate makanisani itakua nchi ya aina gani hii.

Plse vyombo vya ulinzi na Usalama kwa masuala nyeti kama haya naomba asiangaliwe MTU usoni angalieni Nigeria wanavyoteseka Leo, angalieni Syria na Isis wanavyoteseka, angalieni Hamas, Hezbollah, Houthi haya yote yalikua ni matokeo ya kuzembea mapema.

Mungu ilinde Tanzania na fichua waovu wote wenye nia mbaya na nchi yetu.
 
Nigeria walipuuzia hayo mafunzo. Yamekuja kuwatesa sana mbeleni. Boko haram ilianza kama utani.

Hao vijana kiislam wanaitwa المُهَاجِرْ "al-Muhājir,"

Wanachukuliwa kutoka kwa wazazi wao toka wadogo wanapelekwa mbali na nyumbani kwao kambini na kuanza kufundishwa uislamu tu wenye siasa kali.. hawatakiwi kusoma elimu dunia maana itawafanya wajanjaruke.

Hao ndio wanatumika kwenye kujitoa muhanga. Maana uislam unakuwa ume wa brain wash wamefanyiwa indocrinations. Hawaogopi kufa hao. Wao jukumu lao ni kupigania dini

Nigeria boko haram ndio inatumia hao vijan waliopitia mafunzo ya al-Muhājir .. wanawekwa kambini mbali na nyumbani kwao wanafundishwa siasa kali za uislam.

Wazazi wa hao vijana ni wale waislamu maskini.. wasio na exposure. Na unajua waislamu wanazaliana sana sababu ya ndoa zao za mitala na kupeana talaka na kuoa upya kila mara. Hivyo unakuta baba ana watoto 20 ila kuwahudumia wala kuwasomesha hawezi.. hivyo huyo mzee anafosi watoto wapelekwe kambi za المُهَاجِرْ "al-Muhājir," wakafundishwe uislamu huku wanakula chakula cha bure.

Huwezi kukuta mtoto wa muislamu mwenye maisha huko. Mfano kikwete ama bakhressa watoto wake hawajui hata maana ya al-Muhājir ni nini japo ni waislamu
Shida inakuja hapa mnapoongea kichuki


Uislamu toka lini unabrainwash watu?


Uislamu unakataza kusoma elimu isiyo ya dini?

Hao wenye misimamo hiyo hata huo uislamu hawaujui
 
Kamati ya Ulinzi na usalama Wilaya ya Longido Mkoa wa Arusha imekifunga chuo kimoja cha mafunzo ya kiislam kwa kutishia Amani na usalama wa nchi ambapo wamewakuta vijana walioachishwa shule za msingi na sekondari walioenda kufunzwa Imani Kali na mapigano (Karate na judo)
Shost Faiza analizungumziaje hili
 
Hata dar kuna misikiti wanajifunza kug fu sijui wanataka kumpiga Allah yaan hawa watu wamevurigwa
Ngosha...
YMCA Dar es Salaam walikuwa na mafunzo ya karate na vijana wengi walihitimu pale na kuipata mikanda.

Nadhani na Don Bosco walikuwa na mafunzo kama hayo.

Mimi siwezi kuandika kama ulivyoandika wewe kuwa walikuwa wanataka kumpiga nani?
 
Hawa jamaa ni wale huwaambii kitu kuhusu dini,wanakuchinja kama wanachinja kuku..wao wanaamini wanaenda peponi! Ni upuuzi wa kiwango cha juu sana MKATA KIU hapo juu kamaliza kila kitu.
 
Kingine kiko kijiji cha kiangara,kata ya kibutuka wilaya ya liwale mkoa wa Lindi,kijiji hapo kuna msikti mkubwa sana, nadhani wilaya nzima hauwezi ukuta tofauti na huo,una simamiwa na wasuni,mwanzilishi wa msikiti huu ni ndugu salimini mbite,kipindi cha magufuli alishughulikiwa sana bwana huyu kwani huwa anaendesha mafunzo ya itikadi kali.

Nasasa ameanza tena mafunzo kwa kukusanya vijana na kuwafunza itikadi kali,serikali ichukue hatua
 
Habari hii imerushwa ITV saa 2 hii usiku.

Kamati ya Ulinzi na usalama Wilaya ya Longido Mkoa wa Arusha imekifunga chuo kimoja cha mafunzo ya kiislam kwa kutishia Amani na usalama wa nchi ambapo wamewakuta vijana walioachishwa shule za msingi na sekondari walioenda kufunzwa Imani Kali na mapigano (Karate na judo)

Mkuu wa Wilaya ha Longido amefanya hilo leo baada ya kamati ya usalama kupata taarifa juu ya mafunzo yanayofanywa kwenye chuo hiko kisichosajiliwa.

Kimsingi vyuo hivi vipo sehemu mbalimbali nchini na ni hatari kwa usalama wa nchi kwani vijana hawa huchukuliwa sehemu mbalimbali kwa lengo la kuja kufundishwa dini na itikadi mbali.
Kimsingi vyuo hivi vipo sehemu mbalimbali nchini na ni hatari kwa usalama wa nchi kwani vijana hawa huchukuliwa sehemu mbalimbali kwa lengo la kuja kufundishwa dini na itikadi mbali.

Swali muhimu: mfadhili/hi ni akina nani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida inakuja hapa mnapoongea kichuki


Uislamu toka lini unabrainwash watu?


Uislamu unakataza kusoma elimu isiyo ya dini?

Hao wenye misimamo hiyo hata huo uislamu hawaujui


the founder of the Boko Haram Muhammad Yusuf was a graduate of the Almajiri school who did not had the opportunity to attend the formal school,

Kwa kiswahili maana yake muanzilishi wa Boko Haram anaitwa muhammad yusufu alipitia hayo mafunzo ya almajiri huko north nigeria. Na hakuwai kusoma elimu dunia
 
Karate ina shida gani! Na hizo imani au sijui siasa kali ndiyo zipi? Nchi ina udini hii watangaze tu kama nchi ni ya kikristo kama Zambia kuliko kuwafanyia visa Waislamu kila siku halafu nawashangaa sana viongozi waislamu wanavyokaa kimya kama mazuzu!
 
Tuweke udini pembeni

Je Watanzania hawapaswi kujifunza karate na judo? Je mbinu za kujilinda ni kinyume na sheria za nchi? Hizi tahariko tunazobabatizwa nazo kila mara kwa jina la ulinzi na usalama, kwa nini serikali isipeleke mamluki wake hapo nao wakajifunza hayo mafunzo ili kuyachuja kama ni hatari kwa jamii? Naona badala yake ni hizi Kamati za Ulinzi na Usalama zimejikita kwenye kupambania taharuki kuliko kutumia weledi na akili kudeal na haya mambo
Kiuhalisia hayo mafunzo si wajibu wala hayana nafasi yoyote katika uislamu

Kuondoa Shubha Kwa watu wenye chuki na uislamu, yangeondolewa misikitini


Watu wajifunze sehemu nyinginezo kama Kuna ulazima


Lakini pia katika uislamu kuna madhehebu yanayouchafua uislamu ikiwemo MAKHAWARIJ ambao wao aqida yao ndio hizo


Kibaya zaidi wanauchafua uislamu kupitia ujinga wao
 
Shida inakuja hapa mnapoongea kichuki


Uislamu toka lini unabrainwash watu?


Uislamu unakataza kusoma elimu isiyo ya dini?

Hao wenye misimamo hiyo hata huo uislamu hawaujui
Kek...
Historia ya Nigeria si sawa na historia ya Tanganyika.

Nimeweka hapa historia kwa maneno na picha jinsi Mwalimu Julius Nyerere alivyopokelewa na Waislam.

Nimeeleza umoja uliojengwa na TANU hadi uhuru ukapatikana kwa salama.

Swali la kujiuliza na mara kadhaa nimeuliza lakini sijajibiwa.

Hapa tulipo leo tumefikaje?
 
the founder of the Boko Haram Muhammad Yusuf was a graduate of the Almajiri school who did not had the opportunity to attend the formal school,

Kwa kiswahili maana yake muanzilishi wa Boko Haram anaitwa muhammad yusufu alipitia hayo mafunzo ya almajiri huko north nigeria. Na hakuwai kusoma elimu dunia
Osama hakusoma shule?

Point ya kipuuzi sana
 
Habari hii imerushwa ITV saa 2 hii usiku.

Kamati ya Ulinzi na usalama Wilaya ya Longido Mkoa wa Arusha imekifunga chuo kimoja cha mafunzo ya kiislam kwa kutishia Amani na usalama wa nchi ambapo wamewakuta vijana walioachishwa shule za msingi na sekondari walioenda kufunzwa Imani Kali na mapigano (Karate na judo)

Mkuu wa Wilaya ha Longido amefanya hilo leo baada ya kamati ya usalama kupata taarifa juu ya mafunzo yanayofanywa kwenye chuo hiko kisichosajiliwa.

Kimsingi vyuo hivi vipo sehemu mbalimbali nchini na ni hatari kwa usalama wa nchi kwani vijana hawa huchukuliwa sehemu mbalimbali kwa lengo la kuja kufundishwa dini na itikadi mbali.
Kwanini hawa wanapenda sana Mapigano????
 
Karate ina shida gani! Na hizo imani au sijui siasa kali ndiyo zipi? Nchi ina udini hii watangaze tu kama nchi ni ya kikristo kama Zambia kuliko kuwafanyia visa Waislamu kila siku halafu nawashangaa sana viongozi waislamu wanavyokaa kimya kama mazuzu!
Kuna upuuzi mwingine tunautaka wenyewe

Kuna ulazima gani wa kufundishana karate tena misikitini?

Wakati huo kushakuwa na dhana mbaya juu ya hilo

Kuna ulazima gani wa kuwaachisha watoto shule??
 
Back
Top Bottom