magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Ubongo wake ni mdogo sana kuelewa ulichoandika. Niamini.Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu;
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubongo wake ni mdogo sana kuelewa ulichoandika. Niamini.Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu;
Mimi nahisi serikali ya awamu ya sita inacheza mchezo fulani, na kama si hivyo mtanisamehe kwa hisia hizo. Wale mabinti 132 waliokutwa kwenye nyumba moja huko Dodoma walichukuliwa na serikali na kupelekwa katika Makao ya Taifa ya Malezi na Makuzi ya Watoto hapo Dodoma, ambapo wanapewa mafunzo na matunzo kwa gharama ya serikali. Hatukusikia kama mmiliki wa ile nyumba iliyowakusanya akichukuliwa hatua yoyote.Habari hii imerushwa ITV saa 2 hii usiku.
Kamati ya Ulinzi na usalama Wilaya ya Longido Mkoa wa Arusha imekifunga chuo kimoja cha mafunzo ya kiislam kwa kutishia Amani na usalama wa nchi ambapo wamewakuta vijana walioachishwa shule za msingi na sekondari walioenda kufunzwa Imani Kali na mapigano (Karate na judo)
Mkuu wa Wilaya ha Longido amefanya hilo leo baada ya kamati ya usalama kupata taarifa juu ya mafunzo yanayofanywa kwenye chuo hiko kisichosajiliwa.
Kimsingi vyuo hivi vipo sehemu mbalimbali nchini na ni hatari kwa usalama wa nchi kwani vijana hawa huchukuliwa sehemu mbalimbali kwa lengo la kuja kufundishwa dini na itikadi mbali.
Aki...Ni hatari mno. Hivyo vituo vya Ilimu ndio viwanda vya kuzalisha magaidi.
ila papa anachekesha zaidiNimecheka sana yaani.. Hawa watu ni wajinga sana
Ameandika kuwa Yesu amelaaniwa mana aliwekwa msalabani halafu hapohapo anasema alitwaa laana hiyo kwa kutukomboa. Yani kitu ameandika mwnyw lkn bado haelewiUbongo wake ni mdogo sana kuelewa ulichoandika. Niamini.
Kwanini sanaa ya Mapigano ifundishwe katika Nyumba za Ibada au taasisi za kidini?Aki...
Suala la ugaidi limekuwa nyeti sana.
Mamlaka husika zimeshindwa kuthibitisha bila chembe ya wasiwasi kuwa tunalo tatizo la ugaidi Tanzania.
Shikamoo BabuAki...
Suala la ugaidi limekuwa nyeti sana.
Mamlaka husika zimeshindwa kuthibitisha bila chembe ya wasiwasi kuwa tunalo tatizo la ugaidi Tanzania.
Uislamu na ugaidi ni nyama na mfupaWakristo mnategemea waislamu (sio uislamu) wakosee mpate kujisafisha kupitia hilo na hio ni njia pekee ya kupata relief
Any way, wafuasi wa Brian Deacon wamepata Cha kuongea
Naamini umesomeka na wahusika wameliona hilo.Kingine kiko kijiji cha kiangara,kata ya kibutuka wilaya ya liwale mkoa wa Lindi,kijiji hapo kuna msikti mkubwa sana, nadhani wilaya nzima hauwezi ukuta tofauti na huo,una simamiwa na wasuni,mwanzilishi wa msikiti huu ni ndugu salimini mbite,kipindi cha magufuli alishughulikiwa sana bwana huyu kwani huwa anaendesha mafunzo ya itikadi kali.
Nasasa ameanza tena mafunzo kwa kukusanya vijana na kuwafunza itikadi kali,serikali ichukue hatua
Hapo hakuna utachomwambia ataelewa. Kwa lugha nyepesi amejiandaa kutoelewa.Ameandika kuwa Yesu amelaaniwa mana aliwekwa msalabani halafu hapohapo anasema alitwaa laana hiyo kwa kutukomboa. Yani kitu ameandika mwnyw lkn bado haelewi
Ukiristo una mafunzo ya ajabu zaidi. Baraka Kwa wapenzi wa jinsia moja na dini wapi na wapi!!?Uislamu una mafunzo ya ajabu sana. Dini na karate wapi na wapi ?
Mungu gani anahitaji ujue karate ?
Kinacholeta utata hapo ni kuchanganya dini pamoja na karate na judo.Tuweke udini pembeni
Je Watanzania hawapaswi kujifunza karate na judo? Je mbinu za kujilinda ni kinyume na sheria za nchi? Hizi tahariko tunazobabatizwa nazo kila mara kwa jina la ulinzi na usalama, kwa nini serikali isipeleke mamluki wake hapo nao wakajifunza hayo mafunzo ili kuyachuja kama ni hatari kwa jamii? Naona badala yake ni hizi Kamati za Ulinzi na Usalama zimejikita kwenye kupambania taharuki kuliko kutumia weledi na akili kudeal na haya mambo